Na:
McWenceslaus
31/10/2020
Wapinzani sikieni,
Ujumbe mshikeni,
Iloletwa na wageni,
Ndicho chenu kishikeni.
Wambieni Mabeberu,
Na Robert Amstardamu,
Nchi yetu ipo huru,
na CCM ndio Nuru.
Magufuli 5 tena,
Ndio neno lilojema,
Tumaini lipo tena,
Kazi ndio wetu wema.
Haki uhuru na amani,
Ndizo...