Habari zenu wanaJF
Naomba msaada hapa.
Kuna rafiki yangu ana ofisi ya kutoa huduma za wakala wa fedha, kama m-pesa, halopesa na tigopesa.
Sasa anabinti amemuajili pale, jana Binti katapeliwa lakini kwa jinsi anavoelezea na kama huu utapeli una uchawi ndani yake.
Yani kuna binti mdogo kwa...