uturuki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TODAYS

    HII NDIYO ROBOTI: Ilichukua Jukumu Muhimu Kutambua Mabaki ya Rais Raisi.

    Kwa waturuki wao wanasema ni hatua kubwa waliyofikia kwa mara ya kwanza katika historia ya dunia. AKINCI UAV ya Uturuki ilichukua jukumu muhimu katika kutambua mabaki ya helikopta ya Rais wa Iran Raisi. Ni operesheni ya utafutaji na uokoaji ilitangazwa moja kwa moja 'LIVE COVERAGE' kupitia...
  2. B

    Uturuki: Tutaendelea kusimama na HAMAS katika vita vyao vya Ukombozi!

    1. Rafiki wa kweli hujulikana wakati wa dhiki: 2. Hii itakuwa habari mbaya mno kwa wasayuni wote kuanzia Tell Aviv, hadi Buza pande za kwa Mpalange huko. 3. Mwizi ni mwizi tu huyo ni wa kusema naye siku zote na popote atakapoonekana! 4. Ngoja tumsubiri mwenye mpango wake wa kuifuta...
  3. Kaka yake shetani

    Uturuki wanyama wanaishi kwa raha

    Wenzetu wana tamaduni zao za kuwaheshimu wanyama haijalishi ni mnyama wa aina gani japo kuwa nchi ya kiislamu ila inawapenda wanyama kama mbwa na wanazingatiwa kabisa. Suala la paka na njiwa kule wanapendwa sana na wanajitawala kweli kweli yani paka wa mitaani wana uthubutu wa kukuribisha. Sio...
  4. N

    Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

    Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.
  5. B

    Uturuki yamkandia Natenyahu, yaipongeza HAMAS

    1. Hawa ndiyo wale vigogo wachache wa aina ya South Africa huko: 2. Kwamba Natenyahu ni kama yale mapanya road yale ya pande za kwetu tu? 3. Ana sifa gani, wapi, kiumbe huyu kwenye ulimwengu iliyostaarabika? 4. Kuwa tunatembea? 5. Tujikumbushe kinachotakiwa: 6. Viva resistance...
  6. FaizaFoxy

    Rais Samia Atunukiwa Udaktari wa Uchumi (Doctorate of Economics Degree) Uturuki

    Ankara | 17.04.2024 🇹🇿🇹🇷 Baraza la Seneti la Chuo Kikuu cha Ankara, chuo kikuu cha pili kwa ukubwa nchini Türkiye, limeamua kwa kauli moja kumtunuku Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Uchumi kwa kutambua uongozi wake wa kipekee katika kuendeleza mageuzi ya...
  7. kijanamtanashati

    Tetesi: Ubalozi wa Tanzania Uturuki unashirikiana na jeshi la polisi la Uturuki kuwadeport Watanzania

    Balozi kazi yake ni kutetea raia zake lakni ubalozi wetu wa Tanzania uliopo Uturuki haufanyi kazi hii badala yake umekuwa ukishirikiana na jeshi la polisi la Uturuki kuwaondosha watanzania nchini umo na kuwarudisha Tanzania. Mchezo upo hivi Mtanzania akikamatwa na polisi kama hana makaratasi...
  8. Boniphace Bembele Ng'wita

    Maombi ya kuahirishiwa ziara ya Rais Samia inayotazamiwa kuanza nchini Uturuki

    Wanabodi heshima kwenu wakuu! Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia tarehe 17/04/2024 Naomba nitoe maoni yangu binafsi juu ya hii ziara, kwa kuikumbusha tu taasisi ya Rais...
  9. L

    Rais Samia kufanya ziara ya kikazi ya Siku Tano Nchini Uturuki kuanzia Tarehe 17-21 Mwezi huu

    Ndugu zangu Watanzania, Habari ni kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mualiko maalum wa Rais wa nchi hiyo Mheshimiwa Erdogan. Hii imeelezwa na waziri wa mambo ya nje na...
  10. Webabu

    Uturuki japo imechelewa nayo imeanza kujiunga na Hamas dhidi ya Israel

    Uturuki kwa muda mrefu tena muda uliokuwa mgumu zaidi kwa wapalestina ilitumia mdomo pekee kuilaani Israel bila kutoa msaada ambao ina uwezo nao. Miezi sita kuelekea saba ndio sasa imeamua kuibana Israel kiuchumi kwa kuzuia bidhaa zake 54 zisisafirishwe kwenda nchini huko.Miongoni mwa bidhaa...
  11. MK254

    Uturuki wajitetea kwamba matamshi yao dhidi ya Israel ilikuwa siasa tu, wasichukuliwe serious

    Kwamba jameni ile ilikua siasa tu, msiwe mnachukulia kila kitu kwa uzito. ============ While Turkish President Recep Tayyip Erdogan has been attacking Israel since the war in Gaza began, he actually wants to improve diplomatic relations with Israel, Maariv reported on Tuesday. Last week, the...
  12. MK254

    Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

    Limetetemeka kweli kweli na kufunguka yote, sijawahi kuelewa mawazo ya hawa watu na haya maugaidi ya kwenye dini yao.................... This is the moment the gunmen suspected of carrying out an attack on a concert hall in Moscow are arrested by Russian authorities. Videos shared online...
  13. Mto Songwe

    Putin to Visit Turkey in First Trip to NATO Country Since War

    Subscribe Politics Putin to Visit Turkey in First Trip to NATO Country Since War Russia has forged ties with Turkey as relations with EU soured Talks with Erdogan expected to focus on energy, war in Ukraine Vladimir Putin Photographer: Gavriil Grigorov/AFP/Getty Images By Selcan...
  14. Webabu

    Uturuki kumekucha: Watetezi wa Palestina wavamia kiwanda cha Marekani na kushikilia mateka

    Kiwanda kimoja cha vyakula karibu na mji wa Istanbul kinachomilikiwa na kampuni ya kimarekani,Procter & Gamble kimevamiwa na watu waliovalia sare zenye nembo za kipalestina na kushikilia mateka kadhaa. Kampuni hiyo imethibitisha kutokea kwa tukio hilo kama walivyothibitisha polisi wa nchini humo...
  15. S

    Je, kwanini bidhaa za Uturuki zina bei?

    Habari, Nchi ya uturuki imekuwa miongoni mwa nchi ambazo Watanzania wengi wamejivunia utajiri kutokana na kuagiza bidhaa mbalimbali kupeleka Tanzania. Katika kipindi cha miaka ya Karibuni miongoni mwa bidhaa zinazoongoza kuchukuliwa kutoka uturuki ni bidhaa za umeme vyenye thamani ya shilingi...
  16. Ritz

    Uturuki wakamata majasusi wa Israel

    Wanaukumbi. Dangerous These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed. According to Turkish police reports, their plans were...
  17. MK254

    Uturuki yakamata magaidi wa Islamic State (Dola ya Kiislamu)

    Mbwa kala mbwa........... === Turkish authorities have detained 29 people suspected of having ties to terrorist group Islamic State in operations across nine provinces, Interior Minister Ali Yerlikaya said on Friday. Suspects captured in "Operation Heroes-37" on Friday were planning to attack...
  18. A

    Uturuki: Refa achapwa makonde kwa kuongezwa muda uliosababisha wapinzani kusawazisha

    Ni siku ya Jana katika mechi ya Ankagurcu vs rizespor. Aliongeza mda mrefu na kusababisha wapinzani kusawazisha. Maamuzi yenye ukakasi na wanayolalamikiwa sana marefa huenda yakaleta madhara kama haya Tanzania. Inasemekana wengine Huwa Wana beti.
  19. JanguKamaJangu

    Uturuki yatoa Hati ya Kukamatwa kwa Mtoto wa Rais wa Somalia kutokana na ajali mbaya ya barabarani

    Uturuki imetoa Hati ya Kimataifa ya kukamatwa kwa Mtoto wa Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, baada ya kudaiwa kumgonga msafirishaji wa pikipiki, ambaye alifariki baadaye. Ripoti ya Polisi imesema Mohamed Hassan Sheikh Mohamud alipata ajali hiyo Mchana Jijini Istanbul aipokuwa akiendesha...
  20. T

    Honeymoon for Men & Women, dawa ya kuongeza nguvu za kiume ya Viagra iliyojificha kwenye jina la dawa za Asili kutoka Uturuki

    Wakuu, habari za muda. Kuna hii dawa inaitwa Honeymoon for Men & Women. Ni Vifurushi vya asali ambavyo unapewa unatakiwa umeze kimoja baada ya siku 3. Nimeambiwa kabla ya hapo ilikua ni vidonge, sasa wameboresha wamevileta kama asali. Kwa nini nimejua hii dawa. Ni hivi, hivi karibuni...
Back
Top Bottom