Aandika Mohammed Ghassani
Uzalendo gani!?
Mpendwa muheshimiwa, anapanda jukwaani huku mbweu anatowa, anukia biriani tutakaohutubiwa, hatuna kitu tumboni
Muheshimiwa ajuwa kwamba watu wana njaa lakini kalewa pawa.
Basi anatuhimiza: “uzalendo ndu’ zanguni!” “uzalendo!” “nchi yetu!”, hii...