viatu

  1. Nazawari Abdallah

    Biashara ya viatu vya kimasai mkoa wa Singida

    Jamani naombeni msaada wa jinsi soko la viatu vya kimasai mkoa wa Singida kwa mfanyabiasha anayeanza
  2. buffalo44

    Naomba kujua ushuru wa yeboyebo na viatu ukiagiza toka China

    Hello wakuu. Naomba kujua ushuru wa yeboyebo na viatu ukiagiza toka China. Import duty ya bidhaa aina hizo. Nitashukuru sana.
  3. B

    Wapi napata duka la Viatu vya Mtumba Orginal?

    Habari wadau. Kwa Dar es Salaam wapi naweza kupata duka la viatu vya mtumba bei ya kati. Mimi sio mdosi. Bei zake range kuanzia 30K mpaka 80K. Mtumba OG kabisa. Naomba kuwasilisha.
  4. hemed rasuli

    INAUZWA Tunauza makabati ya zipu ya nguo na viatu

    Nauza makabati ya nguo na viatu ya zipu Ni imara na zinapendezesha nyumba Yapo ya rangi mbalimbali Wateja wa dar unaletewa buree Unafungiwa pia buree Kwa wateja wa mkoani tunatuma kupitia mabasi kwa gharama za mteja Milango 2 tsh 65,000 Milango 3 tsh 75,000 Mawasiliano; KUPIGA SIMU NA MESEJI...
  5. Sam Gidori

    Ukraine: Wizara ya Ulinzi yatetea uamuzi wa Wanajeshi wa Kike kuvaa viatu vya mchuchumio

    Wizara ya Ulinzi ya Ukraine imetetea uamuzi wake wa kuwavalisha wanajeshi wa kike viatu vya mchuchumio (vyenye visigino virefu) katika gwaride la kusherehekea miaka 30 ya kujitenga na Umoja wa Kisovieti baada ya baadhi ya wabunge kulalamikia uamuzi huo. Picha za wanajeshi hao zilisambaa katika...
  6. hemed rasuli

    INAUZWA Nauza kabati za zipu za nguo na viatu

    Nauza makabati ya nguo na viatu ya zipu Ni imara na zinapendezesha nyumba Yapo ya rangi mbalimbali Wateja wa dar unaletewa buree Unafungiwa pia buree Kwa wateja wa mkoani tunatuma kupitia mabasi kwa gharama za mteja Milango 2 tsh 55,000 Milango 3 tsh 70,000 Milango 4 tsh 85,000 Mawasiliano...
  7. mwanzo wetu

    Kakimbia bila viatu kwa kuogopa kupima

    Habari wataalamu, na tumaini ni wazima wa afya. Leo nimeona kituko na nilikuwa sijajua Kama wadada au watu ni waoga wakujua afya za au kupima HIV. Kimsingi kujuana afya wapenzi inapendeza Sana, hasa mda huu ambapo vijana Dunia imetuamini sana hivyo lazima na sisi tujiamin kwa kila Hali na njia...
  8. stineriga

    Mfanyakazi wa kuuza duka la viatu, rasta anahitajika Dodoma

    Mfanyakazi wa kuuza duka la viatu, rasta na vitu vingine anahitajika. Majukumu: Atauza vitu vya dukani na kupiga mahesabu ya dukani ya kila siku na kuchukua maoni ya wateja na kupendekeza nini wateja wanahitaji. Kituo cha kazi/duka lilipo: Mkonze, Dodoma Jinsia: awe mwanamke /msichana Umri...
  9. The Eric

    INAUZWA Hivi Hapa Viatu vikali

    Viatu vikali hivo hapo angalia kipi kina waka kwako zipo simple raba za kike 30,000Tsh na Nike 38,000Tsh. Vipo viatu kama Nike vikali, scorpions nzuri, sebago, airmax, airforce, jordan, timberland, fimbo,clark boot, casual shoes. chagua kimoja hapa nikupe bei. Serious buyer only do not...
  10. JF Member

    Balo la viatu vya Mtumba

    Wadau haya marobota yanapatikana wapi kwa hapa Dar? Najitahidi robota mwa ajili ya kufanya biashara. Mchango wa mdau
  11. Gudasta

    Viatu vya Kanye West vyauzwa kwa $1.8m

    Viatu ambavyo mtindo wake ulibuniwa na kuvaliwa na mwanamuziki Kanye West vimeuzwa kwa $1.8m (£1.3m) katika mnada ikiwa ni bei ya juu zaidi kuwahi kununuliwa . Viatu hivyo aina ya Nike Air Yeezy 1vilivunja rekodi iliowekwa na viatu vya Nike Air Jordan 1s vilivyouzwa kwa $615,000 mwaka uliopita...
  12. Najiona Mimi

    MSAADA:Namna ya kun’garisha viatu vya aina hii

    Kama kichwa cha habari kinavojieleza, napata tabu ya kun’garisha boot lang maana mwanzoni nilikua nafosi natumia kiwi ila sasa nikawa naona kama rangi yake inafifia. Then nikaona niwe navifuta tu na maji kidogo kwenye kitambaa napo naona havin’gai vinafifia. Wenye ujuzi wa viatu vya ngozi hii...
  13. Mwanakulipata

    Pendelea kuvaa rangi ya mkanda inayofanana na viatu

    Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo wanaume tunakosea katika uvaaji wa nguo. Kama unavaa mashati na unachomekea kwenye suruali basi hakikisha rangi ya mkanda wako inaendana na viatu unavyovaa. Vitu vingine sio lazima uwe na hela nyingi ndo uvifanye[emoji123]
  14. Mzee Mwanakijiji

    Viatu na Kivuli cha Magufuli kwa Tanzania ya Samia - Kuna cha Kuhofia?

    Na. M. M. Mwanakijiji (Makala hii imetoka kwenye gazeti la Raia Mwema, Jumatano Machi 31, 2021. Picha juu kutoka kwa Michuzi Blog). Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan ana kibarua kigumu. Anakabiliwa na kuridhisha pande nyingi kiasi kwamba upande wowote ambao...
  15. Shadow7

    Kampuni ya Nike yafungua kesi kwa madai ya kuibiwa chapa ya Viatu vya shetani

    Kampuni ya Nike inashitaki ubunifu wa kampuni ya MSCHF iliyopo Brooklyn juu ya uzinduzi wa kile kinachosemekana kuwa “Kiatu cha shetani” chenye tone la damu ya kweli ya binadamu kwenye soli za viatu. Viatu hivyo vinavyouzwa kwa dola 1,018 sawa na (Tsh 2358910.76), ambavyo vimechorwa alama ya...
  16. Prof Koboko

    Tunaomlaumu Tundu Lissu hebu basi tuvae viatu vyake

    Wasalaam wapendwa! Kila mara humu mtu ukisoma vizuri comments za kila mada huwezi kupita bila kukutana na neno UNAFKI. Hili neno linasemwa kulingana na sisi wenyewe tulivyo na vitabia vyetu. Hivi Tundu Lissu kabla haijapigwa risasi akachungulia kaburi na kurudi tuwahi kusikia akiitwa msaliti...
  17. Mathanzua

    Tanzania imezizima, dunia imetaharuki kwa kuwa Magufuli alifanya yale wanadamu waliyotarajia kama kiongozi. Je, yupo atakayeweza kuvaa viatu vyake?

    Magufuli alionyesha utofauti kama kiongozi tangu mwanzo wa safari yake ya uongozi na siasa.Katika ngazi zote za utendaji na kama Waziri,alitimiza wajibu wake katika kila eneo.Akawa kivutio kikubwa kwa wananchi na hata adui zake ndani na nje ya nchi. Kwa siri adui zake walikiri umahiri wake...
  18. T

    Je, Mama Samia ataweza kuvaa viatu vya JPM kwa ukamilifu? Nafahamu ana washaauri lakini nasi tumshauri pale tunapoweza

    Tunafahamu JPM (R.I.P) alikuwa rais mwenye msimamo mkali na maamzi magumu. Swali hapa ni je, mama atafuata nyayo zake au atakuja na sera mpya? Je, haya yafuatayo atayashughulikia vipi? - Suala la wafanyabiashara kuhamishia biashara zao nchi za nje. - Suala a ajira rasmi kwa wahitimu. - Suala...
  19. Richard

    Mzee Uledi na Msafisha Viatu wamuonya Tundu Lissu vita alioanzisha imeingia kwenye "Grey Zone", kutoka itakuwa shida

    Juzi jioni bila kutarajia niliwakuta hawa wazee mtaa wa Tandamti ndo wanafunga biashara mapema saa 10. Nawauliza imekuwaje? wakanambia kuna kikao cha dharura. Nikawauliza kuna nini? Msafisha viatu akasema alitaka kusoma ujumbe wa WhatsApp ulosema kwamba uvumi na uzushi dhidi ya kiongozi wa...
  20. Gan star

    Ushauri, Nataka kuanza biashara ya handbag au viatu toka China/Uturuki

    Wakuu habari za majukumu, Nataka nifungue biashara ya kuuza mikoba au handbag za wadada, wallet na viatu pia special toka China na Uturuki. Eneo ni Kibamba Dar es salaam. Kwa wale wenye ujuzi vipi inalipa wakuu, ushauri nahitaji wakubwa, mtaji ni 1.5 mil plain nje ya Gharama za fremu. Mimi ni...
Back
Top Bottom