vitu

Vitus (), according to Christian legend, was a Christian saint from Sicily. He died as a martyr during the persecution of Christians by co-ruling Roman Emperors Diocletian and Maximian in 303. Vitus is counted as one of the Fourteen Holy Helpers of medieval Roman Catholicism.
Saint Vitus' Day is celebrated on 15 June. In places where the Julian Calendar is used, this date coincides, in the 20th and 21st centuries, with 28 June on the Gregorian Calendar.
In the late Middle Ages, people in Germany celebrated the feast of Vitus by dancing before his statue. This dancing became popular and the name "Saint Vitus Dance" was given to the neurological disorder Sydenham's chorea. It also led to Vitus being considered the patron saint of dancers and of entertainers in general.Vitus is considered the patron saint of actors, comedians, dancers, and epileptics, similarly to Genesius of Rome. He is also said to protect against lightning strikes, animal attacks and oversleeping. Vitus is the patron saint of the city of Rijeka in Croatia; the towns of Ciminna & Vita in Sicily, Forio on the Island of Ischia, in Campania, Italy; the contrada of San Vito, in Torella dei Lombardi, in Avellino, Italy; the town of Rapone, Italy; the town of Winschoten and the Gooi region in the Netherlands, the Italian colony of San Vito in Costa Rica, and the town of St. Vith located in Belgium.
Various places in Austria and Bavaria are named Sankt Veit in his honour.

View More On Wikipedia.org
  1. Maleven

    Vitu vyenye majina mengi hapa duniani

    1. Pesa : hela, mavumba, mshiko, sabuni ya roho, mkwanja, maokoto, kibunda, vyuma .... 2. Uke: papuchi, kipochi manyoya, kitumbua, sambusa, bibi, mfereji maringo .... 3. Uume: Abdallah kichwa wazi, mti nyama, kisiki kisichoota majani, babu, nyoka, mkuyenge, deliboro .. 4. Wali : cha mtume...
  2. matunduizi

    Mambo ya kawaida saba lakini yatasababisha ufe mapema

    1: Kupenda kujitamkia kifo au kufakufa hata kama ni utani. Sisi watu wa maandiko tunamstari unasema, mtu atakula matunda ya kinywa chake. 2: Kustaafu kabla ya Muda wako Watu wanaostaafu kwa hiyari kabla ya muda wa lazima wanauwezekano mkubwa wa kufa mapema. 3: Matumizi ya vidonge vya usingizi...
  3. crankshaft

    Liliishia wapi kanisa la kushea vitu la mitume?

    Kwa mujibu wa biblia, Mara baada ya yesu kuondoka duniani, kanisa la kale kabisa walitumia mali zao kwa pamoja. Yaani mfano una kiwanja chako,unauza pesa Zote unapeleka kanisani. Hapa ndio kuna kisa Cha anania ambae alikufa kwa kosa la kuweka pembeni mali yake ambayo ilipaswa kutumika na...
  4. sky soldier

    Ndugu yangu kakamatwa kwa simu ya wizi, Nawasihi sana tuchukue tahadhari tunaponunua simu 'used'

    Tamaa ni moja ya sifa kuu inayowatafuna vijana wengi sana hasa wenye kupenda vitu vyenye gharama kuzidi uwezo wao. Sikuhizi kwenye makundi mengi ya vijana ili uonekane kijana wa kisasa inaaminika inabidi uwe na simu nzuri zenye brand kubwa kama iphone, Samsung, Google pixel, Nokia, n.k. Kijana...
  5. Mhafidhina07

    Reasoning ni vitu ambavyo hatutakaa kuvielewa abadani

    Salaam!reasoning,logic na judgement ni vitu vitatu kwenye boksi moja la logic!! Katika vipindi tofauti tumeishuhudia historia ya dunia ikibadilika kutokana na umma?au nyakati (zama) tumesimuliwa kipindi cha enlightment era ndipo kulikuwa na ombwe la wanafalsafa simuongelee mjomba hamis wa tanga...
  6. Replica

    Bidhaa kutoka Zanzibar kutolipishwa kodi, Serikali kuunganisha mifumo ya kodi Bara na Zanzibar

    Ukinunua vitu Zanzibar na kuja navyo Tanzania Bara vitu husika vilikuwa vinalipiwa kodi ikiwa ni mara ya pili baada ya kulipiwa kodi Zanzibar kabla. Jambo hilo linaenda kuwa historia baada ya kamishna wa kodi wa mamlaka ya mapato Zanzibar(ZRA), Yussuf Juma Mwenda kusema wanamalizia hatua za...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Takasa na safisha vitu na mambo yako kwa usalama wako

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Vita ya Maisha ni baina ya makundi hasimu mawili. Nuru na Giza, Juu na chini, Uchafu na usafi, Wema na Ubaya, Inuko na anguko, Mng'ao na mfubao. Kwa watu makini wanajua wazi kabisa kuwa ili mambo yako yaende lazima yasafishwe, yatakaswe, na ili mambo yako...
  8. george aloyce

    Fahamu jinsi ya kutengeneza ndege ya kichawi, kwenda kokote Duniani

    WAKATI baadhi ya watu wakiepuka kabisa mijadala kuhusu uchawi na kutilia shaka kuwepo kwake kwa sababu ya jamii zetu kupokea imani ya Kikristo, na imani ya Kiislamu, wengine tunaendelea kutafiti mambo hayo kinaga ubaga. Miongoni mwa vielelezo vinavyopatikana huko ni kwamba uchawi ni elimu ya...
  9. Maleven

    Vitu gani ambavyo ni mtego?

    1. Ukiwa unaondoka ugenini wakakwambia mbona haraka, usiondoke kesho usubiri kesho kutwa n.k huo ni mtego. Ondoka, hapo wanajikosha tu. 2. Unaaga kwenda kazini, mpenzi wako anasema usiende mpunzike kidogo, huo ni mtego, ukibaki unajipunguzia credits. 3. Unaongea na mtu af anasema nikipata...
  10. Mganguzi

    Katika vitu ambavyo hutakiwi kusahau katika maisha yako ni kutoa Zaka, uwe Mkristo, Mpagani au Muislam

    Kama wewe unajua kwamba Mungu yupo! Hakikisha unatoa ZAKA. Fanya utani na masihara kwenye mambo yote lakini toa ZAKA! Babu yangu miaka Kumi iliyopita aliugua tb ambayo ilifanya apofuke macho! Hivyo akahudhuria kliniki na kuchoma sindano 120, lakini Bado hali yake haikubadilika ,naikumbuka siku...
  11. Samedi Amba

    Usalama wa Kununua Vitu Mtandaoni (Online Trade Assurance) Tanzania

    Habari wanajamvi, Natumaini wote tunaendelea vizuri. Moja kwa moja kwenye mada... Nimekuwa mdau wa kununua vitu mtandaoni kwa muda mrefu. Imenilazimu sana kumtuma mtu endapo nafanya biashara na "mgeni" nisiyemfahamu. Kwa mfano, mwaka jana nilinunua laptop kwa mdau mmoja Mwenge, DSM. Ilinibidi...
  12. MIRA01

    Sherekea vitu vidogo kuelekea vitu vikubwa

    Idadi kubwa ya watu haswa jamii yangu ya kitanzania imekubwa na tatizo sugu la msongo wa mawazo. Tatizo hilo limekuwa sugu kiasi kwamba watu wengi huishia katika maamuzi mabaya na hata wachache wao kuishia kuyatoa maisha yao. Kuna mambo machache nimekuja kujifunza na hii mara baada tu...
  13. Mhaya

    Huwapendi Freemason ila unapenda vitu vyao

    Kitu cha kwanza kitakachokupa nguvu katika dunia hii ni elimu. Utake usitake elimu ina nguvu kuliko kitu chochote kwenye hii dunia. Kwa nini Mafreemason na Illuminat wanaitawala hii dunia? Ni kwa sababu wamesoma sana. Wanajua mambo mengi mno. Ukikutana na Freemason mwenye digrii 33 na akaanza...
  14. Vincenzo Jr

    Kwanini wanajeshi wanapenda sana kukopa vitu ovyo?

    Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na...
  15. matunduizi

    Tujadili changamoto tunazokutana nazo tunapotoa misaada kwa ombaomba njiani na wenye shida katika jamii

    Wakuu huu ndio msimamo wangu katika kutoa msaada kwa chochote nitakachokuwa nacho. Sitaki kusaidia Pesa nataka huduma au vitu, Kama ni nauli, nitakukatia tiketi au namlipa konda, kama ni ada nitakupa bank slip. Kama ni chakula nitakununulia au nitatuma mtu akuletee manually kama uko mbali. Hii...
  16. I

    Kuna vitu vinakwaza ila ndio uhalisia wenyewe

    Kuna mzee nilikuwatana nae kazini na diye aliyenifanyia mpango mpaka napata ajira (namshukuru kwenye hili alikuwa njia nzuri katika utafutaji wangu). Nni mtu mcheshi sana na anapenda sana kuongea, na isitoshe kipindi hicho alikuwa njia kusaidia vijana wengi kupata ajira. Basi bwana shida ya...
  17. hermanthegreat

    Ni vitu gani vijana wa kiafrika tunaweza kujifunza kutoka kwa wajapani?

    Habari wanajf Japani ni nchi inayoendelea kwa Kasi Sana, vijana wapo busy sana , wanajali mda sana, na wanasaidiana wao kwa wao hata mitandao yaao ya kijamii Ina mada zinazolenga kujifunza kitu fulani. Vijana wa kiafrika tuna mambo mengi sana ya kujifunza kutoka kwa wajapani ili kulikomboa...
  18. hermanthegreat

    Ni vitu gani vijana wa kiafrika tunaweza kujifunza kutoka kwa Wajapani?

    Habari wanajf Japani ni nchi inayoendelea kwa Kasi Sana, vijana wapo busy sana , wanajali mda sana, na wanasaidiana wao kwa wao. Hata mitandao yaao ya kijamii Ina mada zinazolenga kujifunza kitu fulani. Vijana wa kiafrika tuna mambo mengi sana ya kujifunza kutoka kwa wajapani ili kulikomboa...
  19. M

    TANESCO mtatuunguzia vitu

    TANESCO ni wa kushtakiwa. Tangia jana usiku wanakata umeme wanarudisha wanakata wanarudisha zaidi ya mara 10. Hii ni kuunguziana vitu. Ufundi gani huo. Kama kuna mtoto anachezea switch.
  20. MamaSamia2025

    Wananchi wanaotaka kuanza mazoezi wajue kupunguza mwili na kuondoa kitambi/tumbo ni vitu viwili tofauti. Six packs ni kwa wito maalum.

    Wakuu kwa mara nyingine nipo hapa kwenye jukwaa la michezo kushea mawili matatu kuhusu mambo ya michezo na mazoezi. Kuna mwamko mkubwa sana wa wananchi kupenda michezo na kujihusisha na matukio yote ya kuweka mwili fit. Ni jambo la kujipongeza kwa kweli. Vikundi vya jogging vinazidi kuongezeka...
Back
Top Bottom