Wajameni, hebu tufanye tuko ndani na tunaishi ndani ya nyumba moja ambapo vihoja, vituko na vibwanga havikosekani!
Vingine vinafurahisha na vingine vinakera!
Haya mimi naanza…..
“Nani kala kiporo changu…, halafu mbona sioni kamba za viatu?”
Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa...
kipre Jr ame improve sana game yake this season. yeye ndo alikuwa anafanya kazi yake na nusu ya Feisal salum pale Azam fc.
which made Feisal shine.
Game yake ingekuwa kitu muhimu sana kwa Azam fc kuwa tofauti in group stage qualifications round amefit vizuri na team. Boss wa Azam tajiri...
Nakumbuka miaka hiyo ndio nimepata kazi benki Fulani, nikapata nyumba Sinza ya mama mtu mzima kijana.
Akanikaribisha sana, hakuwa na noma, nilipokuja kununua flat TV enzi hizo plasma tv ndio zimetoka, hamna cha LCD na LED ni ndoto kabisa, yaani ndio kwanza watu wachache sana tumeamza kujikwamua...
Hii ni list inayo onesha mabunge yanayo ongoza kwa vituko, fujo na vibweka bungeni hapa duniani.
1. Bunge la Taiwan
Hii kwangu naanza na hawa wachina wa Taiwan hawa jamaa wanachekesha kweli kweli.
Wabunge wa Taiwan ni ngumi mkononi kitu kidogo tu wasicho kubaliana basi ngumi huanza kupigwa...
Katika harakati za kuwatumia madogo application za polisi leo nimegundua kuwa kuna tatizo upande wa database za hawa jamaa(www.polisi.go.tz) kwani ukiupload document za user huyu zinaenda kwa user mwingine pia hauwezi ku preview muda wote SERVER ERROR, kwa nchi kama hii na ukubwa wake ninasikitika.
Habari yenu wanajukwaa.
Juzi kati hapa waziri Ummy amesema mh. Rais amepunguza vifo. Nikajiulizatu maswali mawili. 1. Je kuna mtu anayepunguza idadi ya vifo au ni uchawa?
2. Kama amevipunhuza mama je nani alichochea vikawa vingi ili tumkemee na hata kumzomea
Sasa kupitia magazetini leo nimesikia...
Duniani kuna mambo Sana, watu wengi wakiangalia mambo yanavyokwenda sasa hivi huwa wanaamini kuwa dunia sasa imekwisha.
Sasa Mimi ngoja niwaeleze dunia ndio Kwanza inaanza, utakwisha wewe tu.
Je unazijuwa sarafu za dollar ya Marekani prulibus unum ambayo ndio Motto wa Marekani kwenye National...
Mamelodi sundowns ni timu yenye CV ya ajabu sana.
Imewai kutwaa kombe la africa mara moja mwaka 2016.
Na hiyo mara moja walitwaa kwa vituko vingi sana. Vinachekesha. Baada ya kushindwa uwanjani waliamua Mpira uchezwe na wanasheria wa mamelodi mahakamani
Mwaka huo 2016 mamelodi alishiriki...
Mikataba mingapi ya ujenzi ilisainiwa na Profesa Mbarawa mwaka jana 2023?
Je, mikataba inasaiwa hadharani Tanzania kweli kuna vituko.
Sijui ataendelea na mchezo huu huko Mawasiliano.
Ni mingapi imeanza?
Kumbe barabara nyingi za nyuma hazjakamilika halafu anafanya upuuzi wa hali ya juu kama...
Namkumbuka Mzee Maeda...alikuwa na majumba na mabasi ya Kilimanjaro Bus Service (1967) Ltd.
Yeye na mkewe walikuwa ni wachapa kazi balaa...mzee yuko stand anabeba mizigo kama kuli na kuipandisha juu ya carrier.
Kuna siku basi imepakia abiria dereva kaingia kwenye basi kalewa,mama akamshusha...
Mzuka wanajamvi.
Huyu demu tulikutana naye njiani mwaka jana mwezi wa 8. Nikampiga sound aka tick.
Akawa girlfriend wangu. Ila baadaye akaanza kiburi na mimi nilishaanza kufall in love.
Hanijibu msg zangu hanipigii simu mara kwa mara kama mwanzo namuona yuko online WhatsApp lakini hanijali...
Hii ni baada ya hayo magaidi ya kidini kupigwa na Marekani, sasa kila mmoja anajtokeza kuwalaani.....
The United Arab Emirates (UAE) has voiced serious concerns regarding the impact of recent attacks by Houthi militants on shipping vessels in the Red Sea, deeming them an "unacceptable threat"...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea taarifa ya Mradi wa Skimu ya Umwagiliaji wilaya ya Nzega mkoani Tabora leo tarehe 18, Oktoba, 2023.
https://www.youtube.com/live/PLLdAPmreBQ?si=Je1yaQd5Nk5_cf-o
Katika siku za hivi karibuni, nime kuwa niki kutana na Picha za huyu mwamba.
👉 akiwa ana Pigana na wanyama was ardhini au hata majini.
Jamaa ana pigana kwa Uwezo mkubwa. wanao mjua watu ambie je ni mtu wa wapi???
👉Ona mfano wa mapigano yake🤔🤒
Kwa Sasa Africa, tuna kila sababu ya kujivunia...
Wakati Al Ahly yupo Austria akijiandaa na mtanange wa African Super League na Ligi ya Mambingwa Afrika, wawakilishi wetu hapa Tanzania katika michuano ya Kimataifa Simba na Yanga wapo bize kushindana nani kajaza mabasi mangapi kuelekea mechi zao za kimataifa za ugenini.🤣
Hivi ni nani...
UKIPEWA SH.10000 UMFUKUZE KANGA KATAA, HUTAMPATA
Tanzania inatajwa kama taifa linaloongoza kwa kuwa na mbuga pamoja na wanyama wengi duniani.
Itapendeza iwapo tutakuwa tukizielewa tabia za wanyama tuliona pamoja na vituko vyao ambavyo huwa ni burudani kwa binadamu na watalii kutoka nje.Na vile...
Yaan nimeduwaa sijaelewa una maanisha nini, sawa wewe umeijenga website kwa ajili ya desktop sawa sijakataa nakubariana na wewe lakini je huo muonekano wake UI umeangalia kwenye simu zetu hizi za smartphone inaonekanaje in accordance to UX umeuliza users wako kadhaa wanaonaje au ipo ipoje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.