waarabu

  1. B

    Tuige Mfumo wa Kifamilia kama Waarabu na Wahindi, Tutafanikiwa kama Familia na Taifa kwa Ujumla

    Nimeishi kwenye jamii za Hawa watu Takriban miaka 8 sasa. Nimefanya nao kazi za Maofsini na za Nje ya ofisi yaani za kijamii na Uchumi. Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi. Hizi jamii...
  2. MKATA KIU

    Mechi ya Yanga vs CR Belouizdad ianze saa tisa Dar kama Mamelodi anavyoruhusiwa kucheza na Waarabu Afrika Kusini

    Waarabu mchawi wao jua tu Mamelodi na makali yake ila akiona kapangiwa waarabu tu. Mechi huwa anaweka saa tisa Pretoria. Jua kali maana anajua jua Waarabu hawaliwezi.
  3. Exile

    Ujerumani: Kijana wa miaka 16 afariki baada ya kushambuliwa na kundi la wahamiaji 15

    Filipp kijana wa miaka 16 raia wa Ujerumani alifariki kutokana na majeraha baada ya kushambuliwa na kundi na Waarabu wahamiaji. https://twitter.com/RadioGenoa/status/1756794417304780992?t=2PGGgHlh8PQBdbKjhjC61g&s=19 =============== In a devastating incident that has sent shockwaves...
  4. MK254

    Mbona waarabu wameogopa kujiunga kwenye kesi ya SA dhidi ya Israel kule ICJ

    Hawa waarabu wamekua wakilalamika sana kwa kichapo cha Israel dhidi ya HAMAS, ila waoga likija suala la matendo, wameshindwa kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel..... Last Friday, the International Court of Justice (ICJ) concluded the first hearing of the South African case...
  5. Mlaleo

    Waarabu wa Gaza walalamika kulishwa ugali, wasema ni chakula cha Ndege

    Haya sasa twende wale raia wavivu wa Israel waliozoea misaada maisha yao yote sasa wajanja wao wanaokusanya misaada yote inayoingia Ukanda wa Gaza wameacha kuwaletea mchele wa basmat na unga wa ngano for bread na wameanza kupeleka mahindi na nafaka zingine ukiwepo mchele kitumbo, so kinachoweza...
  6. M

    Kesho ndo watu watajua kuwa waarabu wana figisu figisu ya kufa mtu kwenye mechi ya Misri Vs Cae Verde

    Misri haitakubali iishie kwenye hatua ya makundi wakati itakapokutana na Cape Verde. Hadi sasa Misri ina pointi 2 tu kwenye mechi zake mbili. Kesho ikifungwa itakuwa imeyaaga mashindano!! Kesho waarabu watakuambia KAMA MBWAI NA IWE MBWAI, watafanya lolote linalowezekana hata kama ni kulazimisha...
  7. William Mshumbusi

    Swala la Phiri, Onana na Baleke nashauri Benchika achunguzwe. katumwa na waarabu aje kuiua Simba

    Kama maamuzi hayo ya kuwaacha Saidoo, Onana na Bocco kafanya Benchika basi yupo hapo Simba kuiua. Kama maamuzi hayo kafanya mo basi mpango wake ni kuiacha Simba mbovu kama aliyoikuta. Lengo ataeichukua aumize kichwa. Kama maamuzi kafanya try Again na Mangungo basi wametukomesha. Phiri kaja...
  8. FaizaFoxy

    Waarabu wa Morocco Wawashangaza Waafrika

    Baada ya nchi za Kiafrika Mali, Burkina Faso na Niger kutengwa na Waafrika wenzao ndani ya umoja wa ECOWAS na kutiwa adabu ya kufungiwa biashara zote, kufungiwa umeme na huduma zote za kibinadamu hadi chakula. Wametengwa baada ya nchi hizo kupinduwa serikali zilizokuwa zinajineemesha kwa kundi...
  9. Jackal

    Israel katika mazungumzo na Kongo na nchi nyingine kuhusu mpango wa 'uhamiaji wa hiari' wa Gaza

    Makazi mapya ya "hiari" ya Wapalestina kutoka Gaza polepole yanakuwa sera rasmi ya serikali, huku afisa mkuu akisema kuwa Israel imefanya mazungumzo na nchi kadhaa kwa ajili ya kufyonzwa kwao. Zman Israel, gazeti la The Times of Israel ambalo ni dada wa Kiebrania, limegundua kuwa muungano wa...
  10. MK254

    Mataifa ya Waarabu yasema vita vikiendelea mwakani wataacha kutoa misaada ya chakula

    Kwamba watawaacha Wapalestina aidha wajifie au walishwe na Israel, hapo sijui wanadhani wanakomoa Israel au Wapalestina, au HAMAS................... Gulf countries, led by the United Arab Emirates and Saudi Arabia, have issued an ultimatum to Israel stating that if the war between Israel-Hamas...
  11. SaintErick

    Malaika aliyeiokoa Israel dhidi ya maangamizi ya Waarabu miaka 50 iliyopita. Wakati huu Israel hawakua na bahati

    MALAIKA WA ISRAEL NA VITA YA WAARABU. Ilikua wakati mmoja ambapo waisrael walikua katika mapumziko ya siku takatifu zaidi katika utamaduni na dini ya Kiyahudi na Kisamaria ambayo huangukia mwishoni mwa September ila mara nyingi ni October. Siku hio maduka hufungwa na kiufupi huduma nyingi hua...
  12. MK254

    Mnaoshabikia HAMAS mfahamu walikamata hadi Waarabu mateka

    Huyu Bilal, dogo muarabu ambaye alikua mateka wa HAMAS, anaeleza jinsi walikamatwa mateka na namna walijaribu kujitetea kuwa wao ni waarabu, ila HAMAS hawakujali, walimkamata yeye na dadake Aisha na familia yote. Kati ya familia yake, yeye tu na Aisha ndio wameachiwa, wengine wote bado...
  13. Sol de Mayo

    Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli!

    Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli! Mara nyingi huwa nasema hakuna jamii hapa duniani watu wake wakarimu, wana imani na roho nzuri kama waarabu, namaanisha kweli. Wengi wao wamejaaliwa haswaa Hizi clip zimetrend mitandao mingi, kwa wale wabaguzi, wenye chuki dhidi...
  14. Webabu

    Waarabu wakataa ujanja wa US. Waikatalia kujadili yahusuyo baada ya vita vya Gaza.Kinachotakiwa ni kusitishwa kwa vita na kufufuliwa kwa Palestina

    Ile dilomasia ya kinafiki ya Marekani kuwazuga waarabu inazidi kukwama. Mawaziri wa nchi za nje wa jumuiya ya nchi za kiarabu wamemkatalia waziri wa masuala ya ulinzi wa Marekani kujadiliana nao juu ya namna ya kuiendesha Gaza baada ya vita kumalizika.Mazungumzo ya aina hiyo yamepata vikwazo...
  15. sky soldier

    Jitihada za magaidi wa Hamas kuhamasisha kutokula migahawa ya Mc Donald zaangukia pua, Waarabu wanaendelea kula bata

    Mcdonald ni mgahawa wa fast food mkubwa zaidi duniani Katika mashambulizi ya October 7 Israel ilipovamiwa na Hamas, Mcdonald walitoa vyakula bure kwa wahanga. Hali hii ilipelekea magaidi kuhamasisha kugomea kununua vyakula vya Mc Donald, Chuki hizo hazina nafasi kwa mamilioni ya waarabu...
  16. benzemah

    Rais Samia afupisha ziara yake Dubai kurejea nchini haraka iwezekanavyo, Serikali kugharamia mazishi na matibabu ya majeruhi wa mafuriko ya Hanang

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuelekeza Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa kuwa serikali igharamie mazishi ya wote waliopoteza maisha kutokana na mvua kubwa iliyotokea na mafuriko katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang. Rais Samia pia ametaka majeruhi wote...
  17. Girland

    Je, wajua kuwa Palestina siyo Waarabu? Waarabu halisi ni Saudi Arabia? Je, kwanini vita ya israeli na Palestina itaendelea?

    Kwanza kabisa, uzi huu hauna lengo la kukashifu imani au itikadi yoyote na msimamo wa mwandishi haufungamani na upande wowote! ASILI YA ISRAEL, SAUDI ARABIA na PALESTINE, katika dini kuu tatu, yaani Uislamu(Islamic), Ukristo(Christianity) na Uyahudi (Judaism) anatajwa IBRAHIMU au Abrahamu...
  18. MK254

    Huyu Mwarabu popote alipo, aagize soda nitalipa, kawasuta sana waarabu na dini yao

    Kaeleza kama ilivyo tena bila chenga, muda umefika waarabu wajiulize maswali mengi sana. Kuna video yake hapa chini. ila kiukweli bado wamepofushwa na maupuzi ya karne za kitambo. Nafikiri wakibadilika na hata waliodandia hiyo dini yao nao watabadilika, ila wakiendelea kujifanya misukule...
  19. MK254

    Picha bandia za akili mnemba (AI) zilivyotumika kuwadanganya waarabu mpaka wakaanza kuandamana

    Tatizo uwongo huwa haudumu, hizi picha bandia za kutengenezwa kwa kutumia Aritificial Intelligence (AI) zilisambazwa sana kwenye mitandao na kusababisha Waarabu kuandamana hatimaye zimeanza kugunduliwa na wataalam. The war between Israel and Hamas has generated so much false or misleading...
  20. JanguKamaJangu

    Wydad wachapika nyumbani 1-0, wamepigwa na Jwaneng Galaxy ambao watacheza na Simba

    Msimamo ulivyo baada ya mechi za kwanza kwa timu zote za Group B
Back
Top Bottom