wachawi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sir robby

    Kwanini Membe alazimishwe kumsamehe Musiba wakati maaskofu hao walikaa kimya Musiba alipomtukana Membe?

    Watanzania tuache unafiki. Wakati Musiba anamtukana membe watu wote tulisikia na hao maaskofu walisikia. Wananchi tulinyamaza hakuna aliyesimama kumkaripia au kumkataza musiba asimtukane membe na hata hao maaskofu walikaa kimya. Mzee Membe na familia yake na marafiki zako walikubali aibu ya...
  2. beatboi

    Hawa Waha wanaokopesha vyombo ni wachawi kweli kweli

    Nilijaribu kukopa begi la elfu 65 huku nikilipishwa bukumbili kila siku hadi itimie yote, kwa thamani ya lilie begi Kariakoo imezidi sana 35 ndio nikapanga kumlipa 40 kwa huruma yangu. Sasa hawa jamaa huwezi kuwadhurumu aseee, hata ukisafiri mwaka ukirudi utamkuta anakusubiri. Kuna jamaa yangu...
  3. Gily Gru

    Naota navamiwa na majambazi au wachawi

    Wasalaam Usiku wa kuamkia leo niliota nimevamiwa na majambazi, nikaamka kuangalia saa ni saa tisa na dakika nne usiku. Nikatoka sebuleni nikaona mtu ananifanyia ssssssssssssshhhh kuashiria nikae kimya nisitoe sauti cha ajabu ila huyu mtu anafanana na Steven Seagal (sura yake) ghafla ile sura...
  4. K

    Wachawi wanatumia sura yangu kwenda kurogea. Wakuu Nisaidieni

    Wachawi wanachukua sura yangu wakati wa Usiku kwenda kuwanga. Nashangaa naambiwa mi mchawi wakati sijawahi kuwa mchawi nilipofatilia nikaambiwa wachawi ndo wanatumia sura yangu na kunishikisha uchawi bila Mimi kujua. Wakuu akina Mshana jr na wengineo nisaidieni nitumie mbinu gani kujikinga!?
  5. Mamujay

    Njia za kuzuia wachawi wasiingie ndani ya nyumba yako

    Thread hii kwanza naiona na views wengi sana maana wabongo wengi wanapenda kujifunza. Nawapongeza kwa hilo. Back to the matters. Njia za kuzuia wachawi wasiingie ndani kwako zipo nyingi na kila mtu anaifahamu yake. Naiweka hapa ninayoifahamu na wengine waweke wanazozifahamu tujifunze. Chukua...
  6. Jemima Mrembo

    Hivi kweli Wasukuma ni wachawi sana kama wanavyoandikwa hapa JF?

    Jamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu. Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi. Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
  7. J

    Wanaodhaniwa kuwa wachawi wanasa Njombe

    Wanawake wawili, wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Wamachinga wakazi wa Wilaya ya Makete, mkoani Njombe wanaofanya shughuli zao ujasiriamali mjini Makambako wamezua taharuki mjini Njombe baada ya kuganda ghafla barabarani wakishindwa kusema chochote na kutembea kwa zaidi ya saa moja huku...
  8. Masangutu

    Hivi Ulaya pia kuna wanga? Mlioishi ughaibuni mpite hapa

    Habari zenu wananzengo, natumai mnaendelea kupambana na mfumko wa bei?! Nisiwachoshe sana, nataka kujua hivi Ulaya pia kuna wanga kama huku kwetu? Hawa wanaorukia mabati na kukaba watu usiku, kifupi wanga nawachukia sana. Mlioishi ughaibuni naomba mpite hapa kutupa experience yenu juu ya...
  9. B

    Lissu aendelea kuumbua wachawi

    Leo imeendelea kuwa siku njema kwa wengi na chungu mno kwa wale wengine. Akihojiwa na Mwananchi, amekuwa wazi kuhusu chokochoko za wachawi: Ama kwa hakika washindwe na walegee. Katiba mpya ni sasa. ------- Source: Lissu ataka pangua zaidi jeshi la polisi
  10. Mamujay

    Hizi hapa njia nyepesi za kujikinga na wachawi

    Habari Naomba kuwathirisha nondo kidogo ambazo nimepata kwa wakulungwa na wakali wa hizi kazi Kama unazo ambazo hatujui ziweke hapa Ila kwa kuanzia hizi hapa 1. Kipande cha mti wa muhogo (siyo muhogo mpira ) 2. Kipande cha shaba (bangili ya shaba vaa mkononi) 3. Chumvi ya mawe Kubwa...
  11. M

    Nimeamini matingasi ndio suluhu ya wachawi

    Jana nilikula kavaluu kadogo. Kama kawa nikashashusia za kienyeji baadae nikasakafia na balimi tatu. Nimerudi home saa tano nipo matingasi. Sijasikia malue wala ndoto za ajabu za majinamizi na kukimbizwa usiku
  12. M

    Msaada: Nisipokula tungi huwa nakabwa na majinamizi ya kichawi. Ina maana tungi ni kiboko ya wachawi?

    Mwili huwa unatetemeka na kuwa kama unapigwa shoti. Huwa naota ndoto za ajabu na kupiga makelele. Lakini kama nipo matungileee huwa nalala vizuri asubuhi napiga mishe zangu tu.
  13. Shemasi Jimmy

    Aina mbili za Wachawi

    1. Wachawi wa kawaida wanaojulikana; wanaopaa na Nyungo, na kuloga na kuwanga!. Hawa wanamharibia mtu Maisha yake ya kimwili tu, kufanya mtu awe na kasoro fulani fulani za kimwili, au kimaisha. 2. Manabii wa Uongo: Hili ni kundi la Pili la wachawi!, ambalo ni hatari sana kuliko hilo la...
  14. M

    Wazungu nao kumbe wachawi?

    Mzuka Wanajamvi! Kuna msitu hapa ukivuka reli, nikaamua niende kutembea usiku huu kuzuga. Pupwe likawa linapuliza kichizi, na pia kwa wakati kama huu unajinyoosha vichakani huku unavuta mjani yaani unajiskia huko kwenye high mood. Ghafla nikashtukizia kaajuza fulani mweupee, pale skin na macho...
  15. Verified

    Mbwa wana uwezo wa kuwaona Wachawi?

    Wasalaam ndugu wana JF Kwa almost miaka 12 iliyopita, ninaishi katika eneo ambalo inasemekana lina mauza uza japo binafsi sikuwahi kuyaona kwa macho, ingawa nishaua wanyama ambao wamekuja kiajabu ajabu mara nyingi sana kama nyoka, ndege n.k Katika eneo langu, ninafuga Mbwa, ninao mbwa 5...
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    Nasoma uzi wa Umughaka, unanisisimua sana, sasa naona nafukuzwa na wachawi

    UMUGHAKA ana uzi wake wa kichawi, aisee unasisimua sana. Nilipoanza kuusoma niliona ni hadithi tu, lakini sasa ninachokiona ni zaidi ya hadithi. Kuna wamama niliwaota usiku uliopita wakiwa uchi, cha ajabu wale wamama niliowaota nimekutana nao leo asubuhi Puma, Mwenge. Nikatoka hapo nikaenda...
  17. sifi leo

    Hongera Abdulmajid Nsekela kwa kuteuliwa na Rais Samia kuingia Tume ya Maendeleo ya Ushirika, ila nakujuza haya...

    Ni tarehe 26/08/2022 Andiko langu la pongezi na onto kwa kijana wetu mpendwa ambae binafis ni kijana mwenzake lakini lazima nimwoneshe yakuwa aliko teuliwa kwenda Kuna vichaka vya wachawi kwa masilai Yao awe makini. Lazima nikili yakuwa uteuzi wa Huyu kijana kuwa mkurugenzi wa CRDB...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    Wamama wengi wa Afrika huwafundisha watoto kuwachukia ndugu wa upande wa baba. Mashangazi ni wachawi, bibi mzaa baba anaturoga ila MJOMBA NI MAMA

    Familia nyingi sana za ki Afrika zina mpasuko mkubwa. Ndugu wa mume wakitembelea familia hufanyiwa vitimbi na vibweka vya kila aina. Wakija dada wa baba wa mwenye nyumba watasimangwa kwa maneno mbalimbali kwamba wamekuja kuvunja ndoa, wameleta uchawi na mbaya zaidi inafikia wanakataliwa hata...
Back
Top Bottom