waganga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. logan007

    Kweli wapo waliopata kazi/ajira kwa kutoa pesa taslim au kupitia kwa waganga?

    Habari wana JamiiForums Hivi jamani wapo kweli watu waliopata kazi au ajira za kudumu kwa kutoa kiasi cha fedha (hongo, bakhshishi, takrima) au kupitia kwa waganga ili waweze kupata KAZI?
  2. mitale na midimu

    Kila aliyewahi kwenda kwa waganga wanaotumia ramli anamajini. Hili hapa suluhisho.

    Waganga wa kienyeji wamegawanyika katika makundi mawili. 1: Wanaotumia mitishamba kutibu bila kuhusisha mizimu au ramli au ushirikina. Hata nabii isaya aliwahi kutumia mitishamba kumtibu Mfalme Hezekiah. Hata Yesu aliwahi kutumia tope kumtibu kipofu macho. Sizungumzii hawa... 2: Kundi kubwa LA...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Kwa waganga wasiende; Kwa manabii wasiende, mnataka waende wapi?

    Angalizo; Andiko hili linaweza likawa na Lugha Kali inayoumiza, hivyo Kama wewe sio mtu wa kuhimili lugha Kali nakusihi ishia hapahapa! Au usome ukiwa chini ya uangalizi wa Wanasaikolojia na Wataalamu wa mihemko. Kama utaendelea kusoma itahesabika kuwa unahimili au upo chini ya uangalizi...
  4. J

    Ukweli mchungu: Ngumu lakini ndivyo ilivyo...

    Jiulize swali hili kwanza Je, kwa wale wa mama na wadada waliowahi kupata matatizo ya uzazi na hatimae katika kuzunguka mwisshoni wakajikuta kwa waganga wa kienyeji ma kubahatika kupata watoto huko, je watoto hao kwa asilimia ngapi walitoka kwa MUNGU BABA muumbaji wetu? Ni dhahiri kuwa dini...
  5. LIKUD

    Mpoki: kwenye benchi la ufundi la Simba Kuna waganga

    Ameyatamka hayo leo wakati alikilitambulisha benchi la ufundi la Simba..
  6. Inck

    SoC01 Jinsi Ambavyo Waganga Huwafanya Watu Kuwa Matajiri

    Je, umewahi kujiuliza ni kwanini watu wengi wanaamini kuwa bila kwenda kwa mganga huwezi fanikiwa? Bila shaka umewahi kujiuliza, lakini je, ulishawahi kwenda mbele kidogo na kujiuliza ni kwa namna gani hawa waganga huwafanya watu kuwa matajiri? Ni watu wachache hujiuliza swali hili. Basi dhamira...
  7. Ritz

    Wanaharakati wetu wengi wao ni waganga njaa wanataka Rais wetu alindwe na Sungusungu

    Wanaukumbi. Hawa wanaojiita wanaharakati wengi wao ni waganga njaa wanasema Rais analindwa na ulinzi wa kidikteta daaah wamekosa agenda kwa hiyo walitaka alindwe na mgambo au Sungusungu ndiyo wafurahi. Wanajiita wanaharakati za haki za binadamu lakini kwenye ulinzi wa Rais wanaonyesha chuki ya...
  8. Analogia Malenga

    Wilaya ya Handeni ina waganga wa jadi 6600, Kwamsisi inasifika zaidi

    Wilaya ya Handeni imejipanga kuhamasisha jamii kuondokana na imani za kishirikina, badala yake ijikite kwenye shughuli za maendeleo kwenye ngazi za kaya na vijiji. Wakati yakielezwa hayo wilaya hiyo inatajwa kuwa na jumla ya waganga wa jadi 6,600. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Toba...
  9. Tomaa Mireni

    Kwa sasa viongozi wa dini ni hatari kuliko hata waganga wa kienyeji

    Inasikitisha sana viongozi wengi kuacha kufanya walichoagizwa na kuanza kuogopesha watu. Badala ya kufundisha kilicho kwenye maandiko na kuacha mtu afanye uamuzi, wengi wanapamba zaidi kuwatisha. Kiongozi anaedai anahubiri anahubiri hivi Hapo amehubiri nini? Amefundisha nini? Umeamua...
  10. Mshana Jr

    Makinika na masharti ya waganga wa kienyeji

    Kisa cha wanandoa walioachanishwa kisheria wiki hii baada ya kuishi pamoja kwa miaka 21 kimenitafakarisha sana... Tatizo sio kuachana bali ni sababu za kuachana Mwanaume hakuwa na korodani (lugha isiyovaa nguo korodani ni pumbu) hizi ndio kiwanda cha manii zinazoleta malighafi ya kuumba watoto...
  11. J

    Rais Samia: Tukutane Jumanne baada ya Pasaka kwa uapisho mwingine, hapa hapa Ikulu

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema Jumanne kutakuwa na uapisho wa wateule wengine Ikulu, Dodoma. Je, ni nani hao watakaoteuliwa na kuapishwa? Ngoja tuone. Maendeleo hayana vyama!
  12. J

    Hawa Waganga Njaa wanaoishi kwa majungu aliowasema Kikwete siyo Chadema kweli?

    Kuna wakati Rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema Chadema kuna kiwanda cha kutengeneza uongo Leo Kikwete kasema wanaozusha kwamba yeye alikuwa hamkubali hayati Magufuli ni Waganga njaa wanaoishi kwa majungu. Ndio najiuliza hawa waganga njaa ndio wale wale jamaa zetu Chadema wa Ufipa st? RIP...
  13. J

    Simulizi yangu ya kwenda kwa waganga wa kienyeji sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi

    Waungwana habari ya leo fuatana nami kwenye simulizi yangu hii ambapo niliwahi kwenda kwa waganga wa kienyeji sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi baada ya kukutana na changamoto mbalimbali za kimaisha. Kiukweli ni vigumu kumjua yupi ni mganga wa kweli na yupi ni mganga feki ni kama vile...
  14. M

    Kocha Mgunda, Wachezaji wako 9 na Waganga wenu 7 tumeshamalizana nanyi, hivyo tafadhali msituangushe leo

    Wazee wa Fitna na Roho tumeshagawana Majukumu tayari huku wengine wakiwa Khartoum Sudan ambako tumeenda kutafuta Sare (Draw) tu ili tuje kupata Alama (Points) zetu 6 tu kwa Mkapa tuwe na Jumla ya Alama 13 tutinge Robo Fainali CL. Nikiwa Kiongozi wa Kamati ya Fitna, Umafia na Roho mbaya...
  15. GENTAMYCINE

    Wana 'Kahama' wote mnipokee tafadhali kwani nakuja 'Kuhiji' huko kwa 'Waganga' wenu wazuri kwakuwa kuna 'Mbabe' nimemkosea nataka anisamehe

    Ni 'Mbabe' ambaye Kiukweli alinipa Jukumu la Kutunza Nyumba yake nzuri ila Mimi kwa tamaa zangu ( japo ni Mchapakazi mzuri tu ) nikawa nachukua Magari yake ya 'Kifahari' na Kutamba nayo Mitaani nikijifanya yangu na Wambea wakamfikishia taarifa. Kuna Mtu kaniambia niende 'Kuhiji' Mji wa Kahama...
  16. Mung Chris

    Kwanini waganga wakubwa na wachawi wa kike kwa wakiume hawakosi magonjwa makubwa na ni maskini sana

    Nimejiuliza sana, kati ya waganga nilio wahi kuwafahamu au kuwatembelea na wale ambao marafiki zangu wachache wali wahi kuwaona hakuna ambaye nimewahi kutana naye ambaye hana magonjwa makubwa kama Presha, HIV, au kwa wanawake wana matumbo makubwa utadhani ni wajawazito, na ni maskini sana...
  17. Deejay nasmile

    Connection ya namba za waganga wakali Bongo

    Mwaka ushausha huo, tupia hapa namba za mtaalamu wako unayemkubali kwenye ndumba zako 1. Waganga wa kupata likes nyingi 2. Waganga wa kupata ubunge wa kuteuliwa 3. Waganga wa kupata pisi kali ma- C.E.O 4. Waganga wa kula mgahawan bure 5. Waganga wa kupasua pepa 6. Waganga wa kutokuombwa hela na...
Back
Top Bottom