wakuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Webabu

    Mawaziri Wakuu wa zamani wa Israel wamkacha Netanyahu. Waja na hila nyingine kuendeleza vita dhidi ya wapalestina mpaka wawamalize

    Waziri mkuu wa zamani wa Israel Ehud Baraka na Ehud Olmert wameungana na Rais Isaac Hezrog kumponda sana Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa sasa kwa jinsi ambavyo amelitumbukiza taifa lao katika matatizo na vita. Katika pendekezo lake, Ehud Olmert amesema baada ya vita NATO itumike kuirudisha...
  2. Mhaya

    Saudi Arabia wadhamini wakuu African Football League

    Saudi Arabia imeingia kwenye ushirikiano wa kihistoria wa miaka mitano na soka la Afrika ukihusisha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na Shirikisho la Soka la Saudi Arabia (SAFF). Nukuu CAF | Mkataba uliosainiwa utazingatia mipango na maendeleo ya kiufundi na soka katika klabu na taifa, soka la...
  3. TUKANA UONE

    Nataka kuwekeza kwenye Ujenzi, naomba ushauri

    Ukihitaji salamu rudi kijijini kwenu, kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku! Wakuu nimekuja kwenu nahitaji ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kutoka kwenu,natambua ya ksmaba humu jukwaani wapo wadau ambao sekta ya ujenzi wamesomea na wanaifahamu kinagaubaga. Mimi kama mbangaizaji na mganganjaa...
  4. INJECTION TECHNICIAN

    Nimeota Al Ahly ikishinda 0-4, wapinzani wao sikuona ni timu gani

    Habari za wikiendi na skukuu ya Baba wa Taifa. Bila kuchelewa ngoja niende kwenye mada husika. Usiku wa jana kuamkia leo nileota ndoto ya ajabu mpaka hivi sasa cjajua inamaana gani. Nimeota Al Ahly ya Misri ikishinda magoli 4-0 huku wapinzani wao sikuweza kuwaona ni timu gani. Mwenye ujuzi wa...
  5. dump

    Leo napenda kuvipongeza vyombo vyetu vya usalama na wakuu wa inchi na sisi raia

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu, nimekaa Congo drc nimeona mengi kuhusu usalama. Inchi ya Congo usalama ni ziro kabisa, Wanajeshi na police ni majambazi, wanatembea mtaani na bunduki za kivita kabisa mpaka baa wanaingia na siraha. Ni kama hakuna serikali kabisa,kila siku...
  6. MK254

    Mmojawapo wa wakuu wa HAMAS auawa kwenye shambulio la bomu

    Gaza inaendelea kusambaratishwa huku HAMAS wakiliwa, kuna huyu Mohammed Abu Shamala kawahishwa kule kwa mabikira..... The Israeli military has reported that it has attacked several operative HQs from which Hamas had organised the terrorist invasion of Israeli territory, and killed a...
  7. MamaSamia2025

    Wakuu naombeni ushauri kuna kitu sijaelewa

    Huwa inamaanisha nini ukiona mpenzi wako kapost picha yako watsapp status halafu caption kaandika UNCLE?
Back
Top Bottom