Sipo hapa kudhibitisha hili..hili lipo wazi na lishadhibitika mara nyingi sana.
TLS ashawahi shinda Lissu
Jana kashinda Mwambukusi hawa wote waliwabwaga Machawa wa Ccm.
The same Madaktari washawahi itikisa hii Nchi hadi wakaanza wafanyia ukatili NB:Yule Daktar Ulimboka.
Hii Nchi taaluma moja...
Nini maana ya maisha?, Nini sababu ya uwepo huu?, Ni ipi siri ya safari hii?
Nini maana yangu? Nini sababu ya uwepo wangu? Ni ipi siri ya uundaji wangu?
Ni ujinga wangu au ni hatma ya safari yangu?
Ni mapungufu yangu au ni ubabe wao?
Ni dhambi zangu au ni laana yangu?
Je hii safari yangu hadi...
In a dramatic turn of events, Tanzania has struck a $90 million settlement with Australian-based Indiana Resources Limited over the contentious expropriation of the Ntaka Hill Nickel Project in Lindi. This high-stakes resolution comes after a prolonged legal battle stemming from Tanzania's...
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji
Na Wakili Zawadi Lupelo
Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja...
Habari wakuu vipi wazima?
Mimi mzima nina swali naomba nikuulize.
Hivi kuna Sheria ya kumshitaki mwajiri kama alikuwa haweki hela za NSSF na loan board ukamshitaki, na lingine kama bima yangu haifanyi kazi.
Natakiwa nifanye nini na pia zile hela za helsb ambazo zimekatwa kwangu hazijaenda...
Mwanasheria/ Jaji mzuri ni yule anae paswa kutazama sheria kama inavyo paswa kuwa na sio kama ilivyo andikwa.
Lakini hii haipo kwa wanasheria wa Tanzania. Wengi hawana busara. Wanakariri vifungu vya sheria na procedures tu.
KWA mfano:
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Mtu mzima ananzia...
katiba ya jamhuri ya muungano ya mwaka 1977 yenye marekebisho madogo,nimeona katika kifungu namba 34 ibara ndogo ya sheria 4 na 5 yenye kipengele a na b,nimepata ugumu kufahamu naomba nifahamishwe.
(4) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii,
madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya...
Leo, katika ukumbi wa JNICC uliopo Posta, Dar es Salaam, Tanzania, kuna tukio muhimu la kihistoria linalofanyika mara mbili kila mwaka. Tukio hili ni uapisho wa mawakili wapya 555 wa Tanzania bara, ambao ni hafla ya 70 ya aina yake. Uapisho huu utafanywa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Jaji Mkuu...
Jana Mhe. Mpina alifukuzwa Bungeni na kutakiwa kutohudhuria mikutano 15 ya Bunge. Tulisoma HOJA zake lakini uamuzi ukafikiwa kuwa afukuzwe. Kwa kuwa nchi hii inaongozwa kwa kufuata UTAWALA BORA, pia inafuata sheria, kanuni na taratibu hivyo ninaomba Wanasheria nguli watufafanulie hoja za Mpina...
Karibuni sana hapa Banana, Tumefungua ofisi mpya kwa huduma zilizopo hapo juu; Licha ya hayo, pia;
1. Tunasajili Kampuni, jina la biashara
2. Tunasajili Miradi ya uwekezaji (TIC)
3. Tunafuatilia leseni, TIN, number
4. Maandalizi ya Business strategic plans Business Proposal
5. Maandalizi ya...
Habari wakuu, nna jamaa yangu alikuwa anafanya Kazi kampuni tuiite X, lakin kampuni X ime outsource position yake kwenye kampuni Y ambayo kampuni Y ndo iliyo muajiri na kumpa mkataba na inahusika na issue zote za Mambo ya HR.
Sasa katik Kazi kuna mengi kampuni X inamshutumu jamaa ameisababishia...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Nauliza ni kesi zipi unaweza kufunguwa mahakamani direct bila kupitia Polisi kulikojaa rushwa na mtuhumiwa kuwa ndio mwenye haki?
Chama cha Wanasheria Tanganyika (The Tanganyika Law Society - TLS) imeendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo asasi za kiraia toka sahemu mbalimbali nchini juu ya haki ya uhuru wa kujieleza ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake kwa umma.
Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 20 Mei 2024 jijini...
Hivi ninyi msio wanasheria, mnajua kama Wanasheria tunaitambua Tanganyika, na hata chama chetu kinaitwa "chama cha wanasheria wa Tanganyika", sio Tanzania. HIi nchi yafaa ashike mwanasheria ili kurudisha Tanganyika.
Kwema Wakuu!
Nimekua nikisikia hizi kauli kwenye majukwaa ya kisiasa. Lakini moja ya viongozi wa juu niliowahi kuwasikia wakisema kauli hiyo ni pamoja na Spika mstaafu Mzee wetu Job Ndugai.
Sasa kila nikisikia au kusoma ujumbe wenye maana ya nchi kuuzwa ninajikuta ninamaswali.
Miongoni mwa...
Nafahamiana na wanawake wengi sana wanasheria, wenye tabia njema na wenye uzuri na mvuto wa kila aina.
Wanawake hawa wengi hawana waume, hata kama wana watoto.
Baadhi walifanikiwa kuingia kwenye taasisi ya ndoa, wengi ndoa zao zikafa, licha wapo wachache zimesimama imara.
Kwanini hali ni...
Idara ya ardhi inapotenga eneo kuwa hii ni la viwanda, makazi, soko, shule kanisa, msikiti, Open Space, Soko etc, inatumia sheria gani kuingia kwenye eneo la mtu na kuligawa kwa matumizi mbali mbali as such? Kote bila fidia.
2. Eneo la mtu unalipitisha barabara bila fidia.
What is the law...
Mtu akistaafu (on compulsory retirement) , hawajamlipa stahiki zake time limitation ni ipi to claim that in a court of law? Nijuavyo if UNFAIR termination from employment, time limitation to lodge grievances at CMA is 30 days. What about a retiring person on retirement age?
Wanakumbi.
Kutana na Jopo la Wanasheria Nguli kutoka Afrika Kusini ambao wameweka historia pale kwenye Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ) kwa kuishtaki Israeli juu ya udhalimu wanaoufanya pale Gaza.
• John Dugard
• Max Du Plessis
• Adila Hassim
• Tembeka Ngcukaitobi
• Tshidiso Ramogale
•...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.