wanasiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

    Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya. Mpaluka Mdude Nyagali alikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin gramu 23.4 mwaka 2020. Mdude...
  2. Idugunde

    TAKUKURU mnatumika vibaya ipo siku ukweli utajulikana. Mlitumiwa na wanasiasa wa CCM 'kum-harass' Deusdeth Kakoko ili mhalalishe mradi wa kifisadi

    Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7. Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika pamoja na uwezo wa kudadavua mambo mengi. Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba...
  3. P

    Wanasiasa na Machinga (Jeshi kubwa)

    Majiji na Miji mingi kwa kipindi cha miaka kadhaa iliyopita imekuwa ikijenga masoko mazuri ya ghorofa kama masuper market yenye thamani kubwa. Machinga/Mjasiria Mali ana tabia za maisha ya bata. Tania hizi zimefanya vizimba kukosa wateja. Je, tunatatua tatizo kujenga masoko ya maghorofa au...
  4. GENTAMYCINE

    Wanasiasa, mna Takwimu hii mpya ili muanze kujipanga kimkakati kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025?

    Takwimu mpya kutoka Mamlaka husika imesema kuwa kwa hivi sasa 77% ya ' Population ' ya Tanzania ni Vijana. Mnaotaka Kugombea Urais au Kuendelea nao baada ya 2025 Kazi Kwenu sasa katika Kulishawishi, Kulidanganya, Kulirubuni na hata Kulitumia vizuri hili Kundi ili 2025 Ikulu iwe Nyumbani Kwako...
  5. Chagu wa Malunde

    Kwa wanasiasa tulionao, Tanzania hatuwezi kusonga mbele

    Taifa letu limetokea kuwa la ajabu sana tumekuwa na wanasisa wa ajabu ambao hawana mikakati ya kuwasaida wananchi. Wananchi nao wamekuwa watu wa ajabu wanadanganywa kama watoto wadogo ambao wakipewa zawadi ya peremende basi wao husahau shida zote. Sijaona mwanasiasa ambae yupo serious na hali...
  6. U

    Suala la kuachiwa Mashehe wa Uamsho ni vema wanasiasa wakaliacha kando

    Leo tena jamii ya Watanzania wameshusha pumzi kwa mara nyingine baada ya kusikia Mashehe wa uamsho kuachiliwa huru. Kuna maoni mengi sana kwa watu. Mengi ya maoni hayo pamoja na kupongeza kitendo hicho wameenda mbali kwamba serikali iwalipe fidia. Hili limekuwa kubwa zaidi. Wanasiasa na...
  7. Z

    Wanasiasa wanaposhindana kuijua Biblia na Koran badala ya Katiba na Sera za Nchi

    Tangu awamu ya 4, 5 na sasa awamu ya 6 hali imekuwa kutoa mifano ya Biblia na Koran, Bungeni na majukwaani. Wanasiasa wanaotoa hotuba zinazostahili kuwa msikitini na kanisani. Leo hii mkuu wa mkoa wa Mwanza anamwita rais Samia ni mtumishi aliyeletwa na Mungu. Sijui anatutisha au anajisemea...
  8. B

    Misiba ya wanasiasa, ishara ya mtengano wa kiitikadi kwenye shida na raha

    Viongozi wa dini kemeeni, wanasiasa kemeaneni. Msiba miaka yote haujawahi kuwa na itikadi wa chama ni wetu sote. Mmezalisha tabia ya kuvunja mashirikiano kwa sababu ya awamu na Matakwa ya kiongoz aliyetangulia. Aliwajengea woga na kuwafanya kuishi kwa kubaguana. Si afya kuendelea hivyo, msiba...
  9. P

    Kwako Prof. Janabi, Heshima yako na hongera sana kwa kuitendea haki taaluma yako vyema

    Kwako Prof JANABI. Heshima yako na hongera sana kwakuitendea haki taaluma yako vyema. Tarehe 12/6/2021 umewasilisha international report kwa Mh Rais. Ulijipanga vizuri mno. Ulitulia sana, Body language inamvuta msikilizaji tangu ulivyopresent kabla ya uzinduzi na hatimaye hotuba yako nje...
  10. Wakusoma 12

    Serikali kuongeza kodi kwa vikundi vya scheme za umwagiliaji ni kukosa Hekima kwa Wanasiasa wetu

    Waziri wa fedha amesoma bajeti na tunaendelea kuichambua kipengele kimoja baada ya kingine. kwa ufupi ni kwamba wanasiasa wameshindwa kutatua changamoto zetu. Wakati taifa likiwa katika mtanzuko mkubwa wa ajira na kuhimiza vijana wetu waegemee zaidi kilimo hasa cha umwagiliaji, Serikali...
  11. SirAlfred006

    Aisee! Wanasiasa...

    Huyu kazindua transformer.
  12. Kasomi

    Watu hatari zaidi tusiowajua ni Wanasiasa

    Watu hatari zaidi tusio wajua ni "wanasiasa" Wana urafiki wa kinafiki. Hawa ni watu hatari zaidi duniani! Huleta vita duniani. Hutengeneza chuki, uhasama kwa jamii na jamii. Huwatenganisha watu na jamii. Huchafua watu waonekane wabaya. Bora mchawi kuliko mwanasiasa. Mchawi hawezi kukologa...
  13. mtimawachi

    Wanasiasa bora watano kwangu mimi kwa sasa

    1> Philip Mangula Huyu kama ni umeme tungeita 'under ground cable' yaani unaona taa tu zinawaka lakini nyaya huzioni. 2> Abdulhman Kinana Huyu yupo makini sana na ndio huyu alizunguka nchi nzima kuisafisha CCM 3> Freeman Mbowe Huyu ndiye ameifanya CHADEMA itambulike kitaifa na kimataifa 4>...
  14. J

    Je, Wamachinga bado ni mtaji wa Wanasiasa au waanze kufuata sheria bila shuruti?

    Wamachinga katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam na nchini kwa ujumla wamekuwa wakidemka demka kwa kuamini hawawezi kuguswa kwasababu wao ndio ngome kuu ya ushindi wa chama tawala yaani CCM. Ndio nauliza, hivi Wamachinga bado ni mtaji wa wanasiasa?
  15. Corticopontine

    Katiba yetu ni bora sana isinajisiwe kwa masilahi ya wanasiasa imetuvusha kwenye kipindi kigumu sana

    katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nzuri Afrika na Duniani imejidhihirisha kuleta Amani na utulivu ndani ya nchi yetu mfano mzuri ni mwaka huu ambapo Taifa liliingia kwenye majaribu makubwa lkn kwa mjibu wa katiba yetu nzuri na bora tumevuka salama Tumevuka nyakati ngumu sana...
  16. D

    Makamanda wa Polisi kupambana na ujambazi kwa maelekezo ya wanasiasa inakupa tafsiri gani?

    Je, Polisi wanawaelimishaje Raia namna ya kutoa taarifa za kiuharifu haraka? Jukumu la kwanza kabisa la polisi ni kulinda Raia na Mali zao. Na hiki ndicho kiapo wanachopewa. Ujambazi, uporaji na ukabaji unapotukia hauhitaji kabisa kauli ya mwanasiasa yoyote ili polisi watekeleze wajibu wao...
  17. Wakusoma 12

    Suala la ajira likizidi kupuuzwa na wanasiasa, basi nasema "This country will be fated to end badly''

    Sekta binafsi ndiyo mwarobaini wa ajira nchini. Nchi za ulaya pamoja na kuwa na teknolojia pamoja na wataalamu lukuki lakini hazijafikia kiwango cha kuwa na madaktari wanaozurura mtaani, walimu wanaozurura mtaani pamoja na wauguzi wanaozurura mtaani eti kwa kisingizio cha ajira ni tatizo la...
  18. William Mshumbusi

    Uzawa ni dhana ya kishenzi inayotumiwa na wanasiasa janja janja na wenye Akili ndogo kabisa

    Ukifatilia tawala kubwa zilizopitA kale, za Sasa na matAifa yaliyoendelea kiuchumi Kuna mchango mkubwa Sana wa wageni kutoka nje. Ukiangalia asili ya Trump na Obama wote walitoka nje ya marekani. Ukizungumzia nguvu ya kivita Basi zungumzia nguvu za waisraeli waishio Marekani na Russia ndio...
  19. Wakusoma 12

    Wanasiasa nawaonya kwa mara ya kwanza. Hili Taifa ni mali ya watanzania na si mali yenu

    Kuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu. Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya. Kununua magari yenu pesa zipo...
  20. GENTAMYCINE

    Watanzania wenzangu sasa ni wakati wa kuwa makini na wanasiasa wanafiki, waongo na wanaotumika kucheza na akili zetu kama huyu

    Asubuhi.... "Jamani Watanzania wenzangu nafuatiliwa na Watu wa CCM na Gari zao wakiwa na Panga, Sime na Mundu huku Kura za Uwizi zikiwa zimepakiwa mniombee nisife kwani nami nina Familia na Bata nalipenda vile vile na hiki Cbama sitaki nimuachie kabisa Mtu mwingine " Usiku.... "Nampongeza...
Back
Top Bottom