It is very irritating, unahangaika kumtumia mtu mamia ya ujumbe PM Halafu hajibu wakati ni yeye mwenyewe ndio alikuwa anasema anatafuta mwenzi.
Mkiwapata semeni ili tusipotezeane muda
Hello ladies and gentlemens?
Poleni na pilika pilika za maisha nimekuja na habari nzuri kwenu kwa wale wapenzi wa Sato wabichi (fresh)
Tunatoa huduma ya kuuza samaki fresh aina ya Sato kwa bei ya Tsh 8,500 kwa kilo, wanaingia kati ya samaki 5 - 4 kwenye kilo 1.
Samaki wetu wanaradha nzuri kwa...
Wakati takwimu za Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids) zikionyesha maambukizi ya ugonjwa huo yameshuka kwa asilimia 47, ripoti mpya ya Wizara ya Afya imeonyesha viashiria vya uwezekano wa kuongezeka kwa virusi kutoka kwa wasiokuwa wanandoa wala wachumba (michepuko).
Ripoti hiyo ya...
dar
dar es salaam
kondomu
maambukizi ya virusi vya ukimwi
matumizi ya kondomu
michepuko
mtu
ripoti
ripoti ya afya
tisa
wapenziwapenzi wanaochepuka
wapenzi wenye michepuko
wapenzi zaidi ya wawili
wastani
Wazee wenzangu wale tunaozunguka nchi mbalimbali na mikoa mbalimbali kuonja mbususu za aina aina, leo tiririka nami nikupe orodha ya nchi zinazoongoza kwa kuwa na visu vikali Afrika.
Utafiti wa mwaka 2022 umeonesha kuwa nchi zifuatazo zinaongoza kwa wanawake warembo barani Afrika.
1...
Wasalaam JF
Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.
Mungu awatie nguvu mshichoke wala...
Salaaam vijana wenzangu.
Naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?
Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya...
Nchini Misri, wapenzi wa jinsia moja wananyanyapaliwa sana, na kwa muda mrefu kumekuwa na madai kwamba polisi wanawinda LGBT mtandaoni.
Sasa BBC imepata ushahidi wa jinsi mamlaka zinavyotumia programu za uchumba na kijamii kufanya hivi, Ahmed Shihab-Eldin anaripoti.
Majina ya waathiriwa wote...
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
bmw
discovery
dualis
fuso
isis
mark x
mazda
nissan
nissan dualis
note
offa
pdf
raum
scania
series
spacio
subaru
subaru forester
suzuki
toyota
ubaya
ufupi
ushauri
volvo
wapenzi
Kuanzia sasa (leo) GENTAMYCINE natangaza rasmi nikikuta ama Wanandoa au Wapenzi (ninaowajua) wanagombana hadharani tena huku Wameshikiana Silaha za HATARI nitakachokifanya ni Kuwasakizia zaidi ama Waumizane au hata Wasitishiane rasmi Pumzi zao na siyo Kuwaokoa na Kuwatatua.
Sijui kwanini Wema...
Habari wana jamii.
Huwa nashindwa kuelewa kwanini unakubali kupigwa picha za utupu na mpenzi wako wakati wa kufanya ngono.
Je, hufikirii kuwa mkiachana yaweza kuwa kama ndo fimbo ya kukuchapia pindi akizivujisha?
Tubadlikeni jamani tusiige ulimbukeni
Hello ndugu zangu wapenzi wa Gangster movies ni movie gani ya mahadhi haya unaipenda??kwanini??quote gani unaipenda??Mimi Naipenda Sana The Godfather haswa scene ambayo Don Corleone anachezea paka
Ndugu zanguni hodi hodi tunaingia. Sasa tunakuja kwa nguvu mpya. Kamanda Mbobezi mwenye uwezo mwingi na nguvu nyingi asiyechoka na hoja za ukweli anaingia.
Sio mwingine ni Kijana Jeuri, mjuaji, jasiri, mwelevi yule aliyetabiriwa na Mwl Nyerere. Sio mjeuri wa jinai bali wa akili, itikadi, mpenzi...
Sina maneno mengi. Mapenz yangu kwenu ni ya kutoka moyoni mwangu.
Mwaka huu 2023 na ukawe faraja kwenu. Pale kwenye tumaini na Mungu aweke tumaini pale penye Nia Mungu akaihuishe iwe na itendeke.
Maisha hapa duniani kila sehemu kuna wazuri na wabaya, katika hali ya kawaida tunapokuwa na wake, wapenzi, na wachumba, huwa hatuwafugi wala kuwachunga kama mifugo, na pia katika maisha kuna kuwa vizuri kiuchumi, kufulia na Kuyumba, kuna kuwa na gari, pikipiki etc vyote kama kishawishi au mvuto...
Dunia hadaa ulimwengu shujaa.
Ni imani yangu sote tu buheri wa afya.
Nina kisa Cha mpenzi aliitwa Agnes, katika ubora wake huyu mtoto wa kingoni alikuwa na roho nzuri ya kila kitu yaani kila kitu,
Hakuwa mchoyo wa chochote iwe pesa, penzi, chakula, kuazimisha nguo, viatu, simu, kukopesha...
Hii Dunia acha iitwe Dunia pamoja na usiku na mchana ila kuna rangi nyingi sana hapa duniani, mwaka 2020 nilipigwa matukio ya hatari sana, Gari ikabondwa na ajali, Pesa nikayumba kibiashara, demu nikachapiwa mbaya sana, madharau kama yote, upepo wa pesa ulipotea, viazi hola, mpunga hola...
Nakumbuka huyu Mwamba alimgusa mpaka Rais wao akatangaza siku kadhaa za maombolezo na mapumziko wakati wa kifo chake>
Madilu System collapsed on Friday, 10 August 2007.
He was taken to the University Hospital in Kinshasa, where he died the next morning, Saturday 11 August 2007. His last album,
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Madawa na Uhalifu (UNODC) na UN Women imesema Afrika ina kiwango kikubwa cha unyanyasaji dhidi ya Wanawake ikilinganishwa na idadi ya Wanawake wote.
Kwa mujibu wa Ripoti Wanawake 5 wanauawa kila saa, na kwa mwaka 2021, karibu Wanawake na Wasichana 45,000 duniani...
Kwa wale wa wapenzi wa aina hii ya muziki tukutane hapa.
Baadhi ya nyimbo ningependa usikilize pia;
1. Hollow Coves - coastline, these memories
2. Haevn - we are, the sea
3. Out of my hair - In the morning
4. Bon iver - Holocene
5. The sweeplings - be by our side, in between
6. Harbrs - a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.