Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.
Kuishi na mtoto wa kambo kunahitaji unafiki wa hali ya kiwango cha SGR,
Hebu fikiria kuna wakati hata wife ananichukia sababu sicheki na mtoto anapokosea je? Wangekuwa ni wakambo ingekuwaje?
Mfano. Juzi nimembeba mtoto akawa analia kwa sauti mama alikuwa na kazi zingine ikabidi nimwambie njoo...
N:B: Baba wa familia anaehudumia sio aliekimbia au kukwepa majukumu
Kwa tamaduni za waafrika wengi baba ndie injini ya familia, ndio maana familia nyingi sana baba akiondoka mambo yanayumba hata kula inakuwa ya shida.
Injini inahitaji service, kuwekewa oili mara kwa mara kulainisha vyuma na...
Habarini wadau na wazazi wote katika jukwaa hili...
Ukizungumza na watoto wadogo waliopo madarasa ya awali, utakutana na wengi wao wakiwa na hulka au ushawishi wa kujua mambo mengi ya kisayansi na mazingira.
Na wanauliza maswali muhimu, wanauliza " ndoto ni nini, kwanini tunalala usingizi...
Siyo wote ila kuna baadhi ya wazazi\walezi wanaishi vizuri na watoto ambao siyo wao kiasi kwamba usipoambiwa siyo wazazi wao huwezi kamwe kujua.
Nimewahi kushuhudia kisa cha mtoto wa yatima katika familia fulani, yeye alifiwa na wazazi wake wote wawili hivyo ikabidi achukuliwe na ndugu wa...
JINSI SHULE INAVYOHARIBU UBAADAE WA WATOTO WA KI-AFRIKA.
Tafadhari soma hii ukiwa umekwisha graduate 🎓,
Kabla hatujaendelea, naomba nikuweke sawa kwenye maneno Shule na Elimu,
Elimu (Knowledge/Wisdom) ndio muhimu kwenye maisha ya mwanadamu na sio Shule ambayo ipo ndio kama mfumo wa Elimu wa...
Habarini za asubuhi. Kama mdau wa elimu sipendezwi na hawa watengeneza maudhui wa mtandaoni ambao wamekua wakikashifu wasomi na elimu kwa ujumla.
1. Ni ukweli usiopingika kwamba wasanii wengi imeonekana wamefanikiwa kuliko wasomi walio wengi lakini haimaanishi elimu haina umuhimu kwa kizazi...
Anonymous
Thread
dotto magari
kukataa
magari
shule
watotowatoto wengi
wengi
From the river to the sea ndio kauli mbiu yao, Kuua waisrael wengi kadri inavyowezekana.
Mungu ni Mwema maisha ya wanawake, watoto na wazee wengi wa kwenye mkusanyiko yameokolewa.
Kuna possibilities zifuatazo
yawezekana kulikuwa na hitilafu za kiufundi kwenye bomu
Mossad wana teknolojia ya...
Ni 23 yrs natarajia kuanza kutafuta mtoto lkn nimekuwa Kuna hisia zinanifanya nipate wasiwasi juu ya kiumbe nitakaemleta duniani..swali je can the ugly parents have beautiful babies?..sikuamini Kwa muonekano wangu nimekuwa nikikutania na bulling sana juu ya sura yangu sitamani na atakaezaliwa...
Is it coincidence? Au dunia imeamua KUNIKUTANISHA na watu wenye mtazamo kama wangu?
Au dunia imeamua kuni - prove right kuhusu mtazamo wangu kuhusu English Mediums za Tanzania?
Only God knows, hivyo ndivyo unavyoweza kusema but all in all, watu wameanza kuamka sasa.
Back to the topic 👇👇...
Kitendo cha kuvibonyeza, kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya, hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto. Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.
Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha, hasa...
Jeshi la Polisi Tanzania kwa siku hizi mbili wametumia si chini ya shillngi millioni 300 kwa kutengeneza hofu"fear of unknown" na kwenda kupambana na hofu waliyo jitengenezea wao wenyewe.
1.Hatua ya Kwanza walihakilisha wanamdanganya Mama wawa tu kuwa anaenda Kupinduliwa Mbeya na BAVICHA...
Umaskini ni fedheha. Umaskini ni jambo la kupambana nalo kufa na kupona. Fanya ufanyavyo usiwe maskini. Umaskini huambatana na mambo mengi sana ya hovyo. Mtu mwenye njaa ana sura mbaya na roho mbaya. Sijui kwa enzi za mababu zetu ila maskini wa leo hii ni ngumu mno kuiona pepo. HAIWEZEKANI...
Mtanisamehe kwa makala ndefu ila hili inabidi leo tuliongelee.
Mimi ni mmoja wa watu ambao kuna kipindi nilikuwa nashangaa nikikuta mwanaume ana jina la kike. Kyrie, Shannon, Courtney, Lindsay, Klay yote ni majina yalikuwa yananishangaza kukuta amepewa mwanaume. Nikaja kukutana na Joyce ndiyo...
Ni kwamba nimekosea kuwapa namba yangu ya whatsapp au?
mbona watoto wa 2000 mnaanza kunitongoza bibi yenu tena?
sasa mtapita wapi na mimi
"eti, Tsup ma, how ya doin'
baby send me your photo
ma, you love my swaga?
hey babe, lil mama
hey honey money
money penny i got money for ya''
yani huku...
Ni kama wiki hivi sina hamu ya tendo la ndoa, wala nikiamka asubuhi sioni kama mshedede unasimama!
Nikawa najiuliza nimepatww na nini?
yaan unakuta kanyamakazi kamesinyaaw😳….
Sasa juzi homa imechochea leo nimeendaa naambiww nina UTI.
Je, ni kawaida?
Terms of Reference – for Reviewing USAID Tuwajali Watoto project implementation from February 2023 to September 2024
Background
The Christian Social Services Commission (CSSC) is an ecumenical body established in 1992 by the Christian Council of Tanzania (CCT) and Tanzania Episcopal Conference...
Heri ya nane nane wakuu
Ebana,nimepokea kesi moja hapa mezani kwangu ikimhusu jamaa yangu flani hivi.
Kesi yenyewe iko hivi,jamaa ameoa hawa totoz wa mjini na kamzalisha two kids za kiume.umri wa shemeji ni 30+ kwa kumkadiria but shemeji yeye pigo zake akiwa home huwa ni skin tight tu na mavazi...
Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya
Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)
Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.
Familia
Alifanikiwa...
Ukizingatia "hype" ya mitandaoni watu wapo "aggressive"kutaka kuona wanaume waliofanya matendo ya kishetani kwa wale mabinti kutaka kuona wanawajibishwa haraka iwezekanavyo,huku mkuu wa mkoa na wale wanajeshi wakiwa nyuma ya nondo wakilia na kusaga meno.
2. Sisi kama wazazi wenye watoto wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.