watumiaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cybergates

    Backdoor: Watumiaji wa linux distribution sasa tumefikiwa

    Wakuu! Wazee wa kutafuta vichaka vya kujifichia sasa tumefikiwa. Nimekua nikitumia linux kama primary kernel kwenye laptop yangu kazi Moja ya sababu ni usalama, kupinguza attack, virus etc zinazo sumbua kwenye windows os Sasa kuanzia update ya trh 25 - 29 /3, red hat waligundua backdoor...
  2. Fundi kipara

    Watumiaji wa DLS 2024 pitieni hapa tafadhali

    Wasaalam Natumai Hamjambo Kabisa...!! Wakuu nisaidieni jinsi ya ku connect DLS 2024 nataka kutembeza kichapo mahali halafu mtu nnaetaka kucheza nae yupo Marekani. Mie nipo Tanzania msaada tafadhali
  3. Stroke

    Kwa kuangalia uchangiaji wa mada nimegundua watumiaji wengi wa JF hutumia device za maofisini mwao

    Ukifuatilia uchangiaji wa mada kwa siku za kawaida za wiki na za weekend utaona mada nyingi hupata wachangiaji wengi kwa siku za ijumatatu mpaka ijumaa. Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana. Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin...
  4. S

    Kwa Watumiaji wa Printer za Epson na Nyingine. Inkpad Reset software Nauza

  5. A

    KERO Barabara ya Njeteni, Kata ya Kwembe (Ubungo) ni changamoto kwa watumiaji kutokana na ubovu

    Mimi ni mkazi wa Njeteni, Kata ya Kwembe (Ubungo, Dar es Salaam) huku kwetu kuna kero ya barabara kuwa mbovu. Changamoto hiyo inasababisha ajali na usumbufu mkubwa hasa kwa watoto wa shule, Barabara hiyo haijawahi sawazishwa kwa miaka karibu miwili sasa. Tunaomba Serikali ya Mkoa iangalie hali...
  6. Mjanja M1

    Habari mbaya kwa watumiaji wa Tik Tok

    Kama wewe ni mtumiaji wa mtandao wa Tik Tok basi tambua kuwa Kuanzia sasa muziki wowote unaomilikiwa na Universal Music Group hautakuwepo kwenye orodha ya nyimbo za kutumia TikTok. Video za zamani zilizotumia nyimbo za wasanii wa Universal Music Group hazitakuwa na sauti tena. Kwenye barua ya...
  7. Powell Gonzalez

    UTAFITI: Ukweli kuhusu watumiaji wa JamiiForums

    Kama mtu ambae napenda kufanya research, Kutokana na utafiti (si utafiti wa kisayansi kwa 100%) nilioufanya nimegundua kuwa wengi wa member wa JF huamini ndivyo sivyo kuhusu member wenzao. Baadhi wamekuwa wakiamini kuwa asilimia kubwa ya member ni watu wa kipato cha chini lakini hujikweza kuwa...
  8. J

    TCRA imesema watumiaji wa internet wapo 35M

    TCRA Wametoa report ya Q2 inaonyesha watumiaji wapo 35M wa internet. Hii ni work force kubwa sana , na ni muda wa serikali kuwaza sasa kutengeneza ajira za mitandaoni nyingi sana. Ukosefu wa ajira za kawaida na ongezeko la watumiaji wa internet inaleta picha ya ama serikali itengeneze ajira...
  9. shamzugi

    Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Tanga kuna uozo mkubwa, Serikali imulikeni

    Kwanza nianze kwa kuwapa salam. Muende moja kwa moja kwenye malalamiko yangu. Ni jumanne ya wiki hii nyumba tunayoishi Mimi pamoja na wapangaji wenzangu tulikatiwa maji kutokana na baadhi yetu kulimbikiza malipo ya Ankara za Kila mwezi. Siku ya jumatano tulifanikiwa kulipa bili pamoja na faini...
  10. J

    Wale watumiaji wa Tecno tunateseka sana na hili jambo

  11. sky soldier

    Mnaotumia windows 11, tupeni ushauri watumiaji wa windows 10, tuhamie huko au tubaki ?

    Ni mwaka wa sita huu natumia windows 10, najikuta kwenye mazingira ya kushawishika kuweka windows 11 maana ndio windows toleo jipya zaidi, ila nimeona kwanza nipate ushauri wenu mnaotumia ama mliowahi kutumia windows 11. Kuna mambo gani tunayakosa watumiaji wa windows 10 ? mipangilio...
  12. Nyendo

    Ripoti TCRA: Watumiaji wa Intaneti Tanzania wafikia Milioni 34.4

    Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa taarifa ya mwenendo wa Sekta ya Mawasiliano katika kipindi cha July hadi September mwaka huu ambapo imesema kumekuwa na ongezeko la Watumiaji wa Intaneti kwa 1.24% kutoka Watumiaji 34,047,407, mwezi June 2023 hadi kufikia 34,469,022 mwezi September...
  13. JohMkimya

    Kati ya app ya SportPesa, Sokabet na Mbet ipi ina watumiaji wengi?

    Oiii wadau wa majamvi enh nataka nianze kuweka majamvi ila makmpuni yamkuwa mengi sana sahv, Mnashauri nicheze na kampuni gani na kwanini?
  14. D

    Waziri Biteko iwajibishe TPDC kwa makusudi wanayoifanya kwa watumiaji wa Gesi kwenye magari

    Kwa muda sasa kumekuwa na usumbufu mkubwa wanaoupata watumiaji wa magari ya gas. Foleni ya kujaza gas ni masaa 3 hadi 4. Hakuna sababu za msingi zaa kunyima watu vibali vya ujenzi wa vituo vya gas. Wajibisha hawa watu ili hili tatizo liishe.
  15. BARD AI

    Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hilo linatokana na ongezeko la Wananchi zaidi ya 50% kutumia Intaneti ambapo kama kuna mtu ana mawazo ya hovyo atatamani kufanya majaribio yake huko, hivyo Serikali imekuwa ikitunga Sheria zitakazowalinda watumiaji wake...
  16. V

    Wanaoishi karibu na bahari kuchukua tahadhari kutokana na uwezekano wa kutokea Tsunami katika Bahari ya Hindi leo jioni

    Habari zenu ndugu zangu tunaomba tuchukue tahadhari ikiwa habari hii ni ya kweli, kwani Tsunami maafa yake ni makubwa.
  17. Analogia Malenga

    Watumiaji wa Apple (iOS) wana hatari ya kudukuliwa ikiwa hawajasasisha vifaa vyao

    Kwa muda mrefu, Apple imepongezwa kwa faragha na usalama wa watumiaji wake. Mfumo wa iOS, ulijijengea sifa ya kuwalinda watumiaji dhidi ya vitisho vya kidijitali. Hata hivyo, hakuna mfumo ambao hauwezi kushambuliwa kabisa. Watafiti wa Citizen Lab na Kikundi cha Utafiti cha Usalama cha Google...
  18. DR HAYA LAND

    Maisha ya kijijini na Maisha ya Sehemu au mitaa ya kijijini hayana utofauti wowote.

    Personally ukiyatazama Maisha ya uswahilini huwezi yatofautisha na Maisha ya kijijini. Mfano Tandika Bidhaa zipo bei Rahisi Sana Kuanzia soko la sterio na masoko mengine. Mzunguko wa hela , uswahilini pesa haizunguki Sana labda bidhaa za chakula. Warembo wa huku ni wale ambao hawana...
  19. Gulio Tanzania

    Watumiaji wa alkasusu wameongezeka sana

    Hichi kinywaji kadili siku zinavyozidi kwenda kinazidi kupata umaarufu mkubwa hasa kwa vijana mida ya jioni wengi wameachana na kahawa wamehamia huku kwenye alkasusu Ukisikiliza story za vijiweni vijana wanakuambia kinywaji hichi kinasaidia kudumisha ufanyaji wa tendo la ndoa kwa muda mrefu...
  20. BARD AI

    META kulipa Faini ya Tsh. Milioni 243.7 kila siku kwa kuingilia Faragha za Watumiaji wake

    Adhabu hiyo imetolewa na Mamlaka ya Ulinzi wa #TaarifaBinafsi ya Norway baada ya META kutoweka wazi jinsi inavyoingilia Faraga za Watumiaji wake kupitia Matangazo ya Biashara ============ Facebook owner Meta Platforms (META.O) will be fined 1 million crowns ($98,500) per day over privacy...
Back
Top Bottom