wawekezaji

  1. Camilo Cienfuegos

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Wawekezaji njooni tuna umeme wa kutosha

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha. Aidha, Waziri Majaliwa pia ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kuendelea na utaratibu wa kukutana na wizara au taasisi za serikali na binafsi...
  2. S

    Kipindi cha miezi 6 wawekezaji wamevunja rekodi ya kuja wengi nchini

    KIPINDI CHA MIEZI 6 WAWEKEZAJI WAMEVUNJA REKODI YA KUJA WENGI NCHINI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amesema katika kipindi cha miezi sita ikiwa ni kuanzia mwezi Machi hadi Agosti, 2021, idadi ya wawekezaji wanye nia ya kutaka kuweza nchini imeongezeka...
  3. L

    Kuwaendeleza waafrika kwa kutumia rasilimali zao ni mtindo mpya wa wawekezaji binafsi barani Afrika

    Tangu mwaka 2000 serikali ya China ilianza kuwahimiza wafanyabiashara kuwekeza katika nchi nyingi duniani ikiwemo nchi za Afrika. Na matokeo yake ni kuwa mwaka 2019 thamani ya uwekezaji wa moja kwa moja wa China barani Afrika ulifikia dola bilioni 44.39, ukiwa ni asilimia 4.7 ya jumla ya...
  4. MBWARI

    Waziri Ndumbaro: Royal Tour ya Rais Samia yaanza kuzaa matunda kwa kuleta wawekezaji

    SHUGHULI za Royal Tour zilizokuwa zikifanywa kwa mara ya kwanza nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan za kutangaza vivutio vya Utalii, Biashara na Uwekezaji nchini zimeanza kuzaa matunda kwa wawekezaji kuanza kujitokeza kuwekeza hoteli za kisasa ndani ya hifadhi...
  5. MK254

    Uganda yaongoza kati ya mataifa yenye mazingira rafiki kwa wawekezaji kutokea Kenya

    Wawekezaji kutokea Kenya huona nafuu sana kuwekeza Uganda, labda ni kwa sababu raia wa huko hawajalishwa majungu na chuki..... Uganda has been ranked as the most preferred investment destination by Kenyans according to a report by the Kenyan government. In the 2020 report released on...
  6. I

    Serikali ikubali uraia pacha na kutoa likizo ya kodi kwa wawekezaji wazawa ili kuchochea ajira

    Nchi yetu imebarikiwa maji, ardhi yenye rutuba, watu wenye afya, Rasilimali lukuki lakini 60% ya raia wanaishi katika umasikini wa kutupwa. Kitu kinachowashinda wengi ni mitaji ya kuanzisha biashara. Hili si tatizo kubwa kama tukiwashirikisha diaspora. Diaspora anaweza kupata mtaji wa...
  7. TheDreamer Thebeliever

    Wananchi tumeanza kumkumbuka Magufuli. Wananchi wanatapeliwa viwanja na maeneo yao kwa watu wanaojiita Wawekezaji

    Habari wadau! Hali sasa imekuwa mbaya sana, wananchi wamekuwa wakitapeliwa maeneo yao kupitia hawa wawekezaji ambao kipindi cha JK walisumbua sana lakini alipoingia madarakani Magufuli walijificha kama hawapo na wakatelekeza maeneo yao kama hawayajui. Ndio Rais Samia Hassan ameruhusu...
  8. Shujaa Mwendazake

    Uwekezaji Simba: Wako wapi wawekezaji wengine wawili waliotajwa kwenye kanuni za Tume ya Ushindani?

    Tatizo la huu mjadala yeyote anayehoji kuhusu Mambo ya kimkataba anaonekani ni Chura au utopolo na kuzimwa ghafla. Wanasimba tumeamua kutia Pamba masikioni kama tuko kwenye honeymoon tukifurahia mahusiano. What about the Dark days? Tuliambiwa katika kanuni za huu mchakato wa uwekezaji wa Klabu...
  9. M

    Utaratibu wa Waziri wa Ardhi wa kudhalilisha wawekezaji umepitwa na wakati. Akumbuke hii awamu ya 6

    Leo Waziri Wa Ardhi alimwita mwekezaji Bagamoyo na kumdhalalisha mbele ya Wananchi.Inawezekana huyu mwekezaji ni mkosaji lakini utaratibu huu umekufa katika awamu hii ya 6. Utaratibu huu ni kutaka kuzijolea sifa tu,kwani angewaeleza wananchi kuwa suala la mwekezaji na watendaji wake...
  10. Bams

    Rais Samia, bila mabadiliko ya msingi ya Sheria hutapata wawekezaji makini

    Natambua kuwa Rais Samia anataka kuvutia uwekezaji wa ndani na nje lakini hajagusa maeneo ya msingi ambayo yanaangaliwa na wawekezaji. 1) Nchi ambayo sheria za kodi zinabadilishwa kila mwaka, kamwe haiwezi kuvutia uwekezaji mkubwa kutoka kwa wawekezaji makini Kati ya vigezo vikubwa...
  11. CM 1774858

    Tozo za miamala zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025. Uzalendo zaidi unahitajika

    Tozo za miamala ya simu zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; Zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025, Uzalendo zaidi unahitajika kwani vizuri vinamaumivu, Tupige moyo konde, nikweli pesa hakuna,nikweli mzunguko wa pesa si mzuri sana ila tuwaache wenye pesa walisaidie...
  12. Red Giant

    Hivi ingekuaje kama Wilaya au Mikoa ingepewa uwezo wa kusaka wawekezaji toka nje?

    Habari wakuu. Hivi ingekuwaje iwapo halmashauri za wilaya a mikoa ingepewa ruhusa ya kusaka wawekezaji popote duniani, kwa kujitangaza na kuwapa incentives zilizopo katika maeneo yao kama ardhi, kuwapelekea maji na kuwachongea barabara? Mfano labda wilaya ya Mbinga itangaze kuwa inahitaji...
  13. kmbwembwe

    Rais Samia asifikiri kuwa mwanamke itavutia wawekezaji

    Nilimsikia Rais wetu Samia Suluhu akithamanisha uwepo wake kama Rais Mwanamke katika kuvutia vitega uchumi toka nje. Hiki ni kiinimacho tusije ruhusu uwekezaji usio na tija kwa maendeleo ya nchi. Lengo letu sio kua na wawekezaji wengi tu. Samia asije legeza kamba akaanza kutoka kwenye misingi...
  14. pombe kali

    Kauli ya "tusiwabugudhi wawekezaji" itumike kiumakini

    Hongera/pole kwa majukumu, Rais Samia hongera kwa jitihada ulizoanza kuzionyesha kwa kipindi hiki ulichoshika madaraka vitu kama mahusiano ya kimataifa, uhuru wa vyombo vya habari, haki za binadamu na demokrasia ni baadhi tu ya mambo ambayo umeelekeza nguvu na kiukweli nikupe hongera katika...
  15. jingalao

    Sheria au Sera gani inayotuongoza katika kufungua uchumi kwa hisani ya wawekezaji?

    Salamu! Ni vyema tunaposema kuwa tunaenda kufungua uchumi kwa kualika wawekezaji wa nje tuwe na sera mahsusi na sheria dhibiti zinazotuongoza katika utekekezaji. Iwapo Sera na Sheria zetu ni duni katika hili tutegemee kuanguaka kiuchumi. Je, Sheria au Sera ya kufungua uchumi kwa hisani ya...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Ukipata nafasi ya kumshauri Rais kuhusu kuleta wawekezaji ungemshauri alete wawekezaji wa viwanda gani?

    Je, ungepata nafasi ya kumshauri Rais kuhusu kuleta wawekezaji ungemshauri alete wawekezaji wa viwanda gani. Toa maoni yako, hapa. Maoni yako ni muhimu.
  17. JABALI LA KARNE

    Waziri wa Mambo ya Nje: Wawekezaji na Wafanyabiashara sasa wanarudi, foleni Wizarani ni kubwa

    Namsikiliza mama Waziri hapa anasema kuwa hali ilikuwa mbaya ila Wawekezaji wanarudi kwa kasi, foleni za Wafanyabiashara kutoka nje zimekuwa kubwa, na baadhi ya mabalozi wakiri kurahisishiwa kazi na mtindo wa Samia alioanza nao kwani kabla kujitetea kulikuwa ni kwingi mno. SOURCE TBC 1 SIKU...
  18. Sky Eclat

    Ureno (Portugal) inakaribisha wawekezaji, kiwango cha chini uwe na €350,000

    Under the current Portuguese Nationality Act (Law 37/81), persons who reside in Portugal for at least 6 years can obtain Portuguese citizenship. Acquisition of residence permit is stipulated by Golden Residence Permit Programme through the implementation of a financial...
  19. Semahengere

    Mnaita wawekezaji warudi ili muwakamate? Tulidhani Rais anataka kufufua uchumi

    Kwa kifupi hapa tumekosea. Manji hakukimbia nchini aliondoka. Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani? Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery. Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo...
  20. Mwamuzi wa Tanzania

    Ushauri: Balozi yeyote aliyeko Ughaibuni asipoleta wawekezaji atimuliwe kazi

    Habari! Ni wakati sasa wa nchi kubana matumizi na kuruhusu matumizi matakatifu tu (matumaini yenye tija). Ni muda muafaka Sasa kwa mabalozi wa Tanzania katika nchi zilizoendelea za Ulaya, Amerika na Asia kufanya ushawishi wa hali ya juu kwa matajiri wakubwa na kampuni kubwa kuja kuwekeza...
Back
Top Bottom