KUGOMBANA NA WAZUNGU NI KUGOMBANA NA UTAJIRI.
Anaandika Robert Heriel.
Kutokana na Elimu duni ya Watanzania waliowengi kuhusu mambo ya kihistoria, wengi hawana Uelewa Dunia imetoka wapi, ilipo na wapi inapoelekea. Hivyo sio ajabu kumsikia Mtanzania Fulani akisema Wazungu ni adui zetu, Wazungu...