wazungu

Mzungu (pronounced [m̩ˈzuŋɡu]) is a Bantu language term used in the African Great Lakes region to refer to people of European descent. It is a commonly used expression among Bantu peoples in Kenya, Tanzania, Malawi, Rwanda, Burundi, Uganda, Democratic Republic of the Congo, Comoros, Zimbabwe, Mayotte, Zambia and in Northern Madagascar (but the word changed to become vozongo in malagasy, but the locals will still understand the word mzungu) dating back to the 18th century.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Ukipigwa kirungu na demu wakati wazungu wanataka kutoka utaweza kukikwepa?

    Hi gentlemen! Siku moja huku nampiga demu mmoja hivi aliyejaaliwa utamu nilipigwa kirungu( niliombwa nitoe ahadi yoyote) kipindi ambacho kichwa cha juu kimeishiwa nguvu dhidi ya kichwa cha chini. Duuuhhhhh, nilikomaa nikajifanya utamu umenikolea siwezi kuongea ili tu nisije kumwahidi kumpeleka...
  2. P

    Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

    Hivi umepata kujiuliza unapopita katika mitaa mbalimbali ya mjini Dar au mji mwingine wowote Tanzania, jina la mtaa au eneo husika limetokana na nini? Kwa mfano, Kijito Nyama limetokana na nini? Au Mlalakuwa, Au Mtoni kwa Aziz Ali n.k, n.k. Labda utadhani imetokea tu ... just ipo ipo, hapana...
  3. kavulata

    Taliban wamewawewesesha Wazungu

    Wazungu wako bize kutuma madege kuhamisha "watu wao" kutoka Afghanistan baada ya Wataliban kuiangusha serikali yenye askari waliofunzwa vizuri kwa miaka 20 na kupewa silaha nyingi za kisasa na ujuzi wa kuzitumia. Kinachowauma na kuwashangaza wazungu ni: 1. Kwanini Askari wenye silaha bora...
  4. my name is my name

    Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies/ series bila gay scenes?

    Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂 Hee kufika episode ya 4 wameonyesha gays km kawaida yao. Halafu scene yenyewe ina km sekunde 5 tu hta...
  5. comte

    MKAPA: Kutovumiliana (intolerance) na kutoshirikishana (exclusion) umeletwa na demokrasia ya kimagharibi, si Uafrika

    Katika makala yake Mkapa anaandika:- Yet, when we embraced Western forms of democracy we fell into the trap of making political parties, not as mechanisms for tolerance and inclusion, but of intolerance and exclusion. The concept of “winner takes all” has no African roots. Traditional Africa is...
  6. M

    #COVID19 Chanjo ya korona ni salama. Wazungu wangetaka kutuua wangetuua kwenye chanjo za surua, polio na pepopunda

    CHANJO YA KORONA NI SALAMA, UKIDHARAU YATAKUPATA MADHARA, TUSIAMINI UZUSHI, TUSIKILIZE WATAALAMU WA AFYA. WAZUNGU WANGETAKA KUTUUA WANGETUUA KWENYE CHANJO ZA SURUA,POLIO NA PEPOPUNDA. Ni siku ya jumapili tulivu, Mimi na mdogo wangu aitwae Maria tumekaa barazani tunapunga upepo mwanana. Ghafla...
  7. W

    Baada ya kukosa ushawishi kwa Wananchi, CHADEMA sasa wanaishitaki Serikali kwa Wazungu

    Ndugu zangu, Laana ya usaliti ni mbaya, enzi zile za Dr. Slaa, Chadema ilikuwa inategemea umma kwa dhahma yoyote waliyopata ungesikia "tunaenda kushtaki kwa wananchi" na kweli Serikali ingebadili msimamo. Chadema hii ya sasa jambo lolote utasikia akina Lissu wakisema "tumesambaza barua kwa...
  8. Tony254

    Kenya ni hatari kwa kupiga pesa. Hata Wazungu wanatutambua

    Hii nchi ndogo ya Kenya inaogopwa hata na Wazungu. Wakenya kwa kutafuta pesa ni hatari sana. Sasa wanafunzi lazy wa Marekani ambao hawataki kufanya homework huwa wanatuma homework huku Kenya ili vijana wa Kenya wawasaidie kufanya homework yao. Hata mitihani pia Wakenya wanafanya kwa niaba ya...
  9. The Genius

    #COVID19 Chanjo ya Corona ni mpango wa wazungu kutuua?

    Kuna "misconceptions" nyingi kuhusu chanjo ya Covid19. Baadhi za kitabibu na nyingine za elimu ya tabia. Zile za kitabibu nawaachia madaktari na wataalamu wa afya wazijibie. Mimi najibu hizi ambazo ni Socio-Cultural infuenced. 1. Chanjo ya Corona ni mpango wa wazungu kutuua? JIBU: Wazungu...
  10. Mwanamayu

    Hii ndio nia haswa ya wazungu kwa Mwafrika na Mtanzania - tuamke hasa kiakili!

    Huyo mama wa kizungu anaonesha mtazamo wa wazungu walio wengi dhidi ya Afrika, ingawaje hata huyo mtoa mada ni mzungu. Lakini, mtoa mada inaonekana anaongea hivyo baada ya nchi yake, Ugiriki, kupigika kiuchumi. Mama huyo anahofia maisha yao ya mbeleni endapo Afrika itaamka kiakili, kiuchumi, na...
  11. M

    Wazungu nao wana wivu mwenzao akiwa tajiri

    Likija suala la utajiri utachukiwa tu uwe mzungu ama mswahili kutakuwa na wivu na chuki. Tumeshuhudia Diamond alivyonunua Rolls-Royce. Malaki ya watu wamesaini petion dhidi ya Jeff Beezos tajiri namba moja duniani wakinuombea kesho tarehe 20 akipaa anga za juu asirudi duniani tena abaki na...
  12. K

    Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

    Sijui hata niseme vipi?!. Kwa lugha nyepesi tu naweza kusema wenzetu WAZUNGU wameumbwa tofauti kabisa na sisi (ngozi nyeusi) WAAFRIKA. Sitaki kutumia maneno yanayoweza kufanya nikufuru, lakini ninachoweza kusema ni kwamba Mwenyezi Mungu aliwaumba wazungu kwa namna ya pekee sana. Kusema hivi...
  13. A

    Matajiri wa Afrika wanapenda kuvaa nguo za label ya gharama tofauti na Matajiri Wazungu

    Mzee Bozi Boziana amevaa track suit ya Christian Dior lakini Bill Gate, Mark Zuckerbergs hata Jeff wa Amazon huvaa nguo za kawaida sana.
  14. A

    Hivi tunaweza kufungua kesi ya madai kwa Wazungu kutokana na nyara walizochukua Afrika?

    Wakati wa Ukoloni Wazungu waliwinda wanyama na wakisafurisha nyara bila ridhaa yetu. Pichani ni urembo wa vichwa vya wanyama na ngozi, haya yalikua ni mapambo ya kawaida kwa Wazungu matajiri. Wanasheria wanaweza kufungua kesi ya madai?
  15. kavulata

    Tuendelee kukumbushana kila siku kuwa Wazungu hawana cha bure

    Kila unapokutana na wazungu usisahau kujikumbusha na kuwakumbusha kuwa wazungu hawana kitu cha bure kwao "No free lunch" Kila mara utakapoona dili lao kwako ni zuri sana usiache kufikiria mara mbilimbili kabla ya kujiingiza.
  16. James Martin

    Tishio la Wakenya kuitaka ardhi yetu ni zaidi ya Wachina na wazungu

    Wakenya ni majirani zetu na ndio nchi pekee duniani ambayo naweza kusema tunachangia vitu vingi sana. Kwa mfano, tunaongea lugha moja, chakula chetu kinafanana na kuna makabila mengi ambayo yapo Kenya na Tanzania. Pamoja na ujirani wetu na mila na tamaduni kufanana lakini pia kuna tofauti kubwa...
  17. J

    Kenya hii ni aibu, mnajengewa hadi vyoo na wazungu?

    Hii pengine inafanyika hata Tanzania sema sijswahi kuiona, nikiiona nitaisema Hii ni aibu wakuu, hii sio miradi ya kufadhiliwa na wazungu, tutazidi kudharaulika Mradi kama huu wananchi wanachangishwa tu fedha kidogo na unajengwa
  18. Opportunity Cost

    Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

    Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi. Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri. Hawa mabwana nchi zao zimepiga...
  19. Kibosho1

    Wazungu wana akili na maarifa, Waafrika tuna vipaji na nguvu

    Hawa ni moja ya watu waliotumia akili na maarifa kugundua vitu: 1. Isaack Newton 2. Albert Einstein 3. Stive Jobs 4. Eric Yuan 5. Sergey Brin na Larry Page Hawa ni moja ya waafrika (black) waliovunja rekodi za dunia kwa vipaji vyao. 1. Edison Arantes do Nascimento[Pele] kwenye (mchawi wa...
  20. Mwande na Mndewa

    Maendeleo yanaendana na mahitaji ambayo pia huwafanya Wazungu na Wachina kuja Afrika

    MAENDELEO YANAENDANA NA MAHITAJI,MAHITAJI HAYO NDIYO YANAFANYA WAZUNGU NA WACHINA WAJE AFRIKA. Leo 19:30hrs 21/05/2021 Tangu 1st hadi sasa 4th industrial revolution, maendeleo ya ubunifu wa viwanda yamekuwa yakiendana na mahitaji maalum ya matumizi ya “Materials” kuzalisha mashine...
Back
Top Bottom