Mwishoni mwa mwaka Jana, nilienda nchini Kenya kupitia mpaka wa Sirari.
Kwa sababu nilifika "border" Usiku, niliamua kulala gesti ili niendelee na safari Asubuhi yake.
Nilimka vizuri, na nikatafuta wanakotoa huduma ya vyakula, nikaagiza supu ya kuku, ndizi mchesmsho na Pepsi.
Baada ya hapo...