kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mwaka ndiyo unamalizika naamini kila mmoja kuna wimbo ambao ni bora kwake kutokana labda na verse fulani inamgusa.
Kwa upande wangu ni "Champion" by Kontawa, verse:
"Mlo mmoja na bado tulibeba nondo na maisha bado yakasonga."
#uziuendelee