wimbo

Dappled Cities (formerly "Dappled Cities Fly") are an indie rock band from Sydney, Australia.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Historian ya wimbo wa Malaika ambao mkenya inadai ni wao

    Kenya wameanza hizi Mambo kitambo , huu wimbo maarufu wa malaika asili yake ulitungwa na mtanzania Adam Salim Ila Kuna mkenya enzi hizo bwana fadhili William anadai Ni wake c kweli, hii kiswahili Ni yabongo. Someni historia mjue ukweli. Malaika, the mystery, the history, the torment MALAIKA...
  2. el_magnefico

    Diamond Platnuz aachia 'kibao' kingine kinaitwa "Ongeza"

    Wimbo unaitwa “Ongeza”
  3. MALCOM LUMUMBA

    Wimbo mpya: Alicia Keys Ft Diamond Platnumz

    Huu wimbo ni mzuri na nimeusikiliza japo Diamond Platnumz kaimba sehemu ndogo sana peke yake, ila sehemu kubwa kafanya Back-Vocals. Mwanzo mzuri kwake na natumai atatumia nafasi hii kujinoa vizuri maana Alicia Keys na mume wake ni wataalamu na walimu wakubwa wa muziki. Ndugu Diamond Platnumz...
  4. Umojaaaaa

    Wimbo wa Taifa wa "Umoja wa Afrika"/kwa Kiswahili

    Umoja Wa Afrika ulichagua Kiswahili kama lugha ya wimbo wa taifa wa Afrika
  5. FrankLutazamba

    Ninamuomba Rais Magufuli anidhamini niingie studio kumrekodia wimbo huu mzuri chini kwa ajili yake

    Wimbo maalumu kwa ajili ya kupongeza juhudi za mh.Rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli.
  6. Victor Mlaki

    Wimbo wa Zuchu utakuwa wimbo bora sana wa kampeni kipindi hiki

    Miongoni mwa nyimbo za kampeni zitakazovuka mpaka ni wimbo wa Zuchu wenye kiitikio.." Jua lile literemke Mama"..wapinzani watetereke sana".Una mahadhi nzuri ya reggae, mahadhi inayochezeka na watu wote na rika zote. Hata kama hutaki kucheza unaweza kutingisha bega tu. Geita hapa muda huu ni jua...
  7. Civilian Coin

    Somo zuri kwa vyombo vya Usalama na Uchaguzi Mkuu kupitia wimbo "Innocent" wa Don Nalimison

    NOTES TO: POLICE FORCE,FBI,CIA,INTERPOL,TISS and ALL GOVERNMENTS SYSTEM all over the World. "INNOCENT" special Video song to Police Officers, FBI,CIA,TISS and Governments Systems. Watch this animated song to change Police forces from Don Nalimison
  8. Civilian Coin

    Je, mpenzi wako amekukwaza au amekusaliti? Mfukuze kwa Wimbo huu "GO AWAY" ili uondoe msongo wa mawazo

    IF YOUR LOVER HATRED YOU, GIVE HIM/HER THIS SONG. . New video song "GO AWAY" for Lovers in Hatred, watch now to remove Stress alongside Don Nalimison.
  9. E

    Wimbo mkali sana bado upo jikoni ila hiki ni kionjo tu

    Habari ndugu na marafiki, Wimbo mkali sana bado upo jikoni unasukwa vilivyo na Msanii: EllySkyWilly Hiki hapa ni kionjo chake tu. Pia unaweza kuusikiliza youtube kwa mbaliii upate walau kuburudika. Ila ngoma bado haijatolewa bado inaandaliwa zaidi. Wakati tunaendelea kusubiri audio na...
  10. hiram

    Wimbo wa Harmonize Yanga umekuwa Number 1 trending: Diamond alipia post ili kujaribu kumshusha

    Wimbo wa Yanga ulioimbwa na Harmonize umeushusha wimbo wa Simba na kuwa Number One trending kwenye youtube; hata hivyo Mondi hajakubali na hivyo amelipia post ya facebook (sponsored) ili kuutangaza wimbo wake wa Simba na pengine aweze kumpiku tena Konde Boy
  11. mbutamaseko

    Harmonize wimbo wa Yanga usingeimba singeli ungetoboa sana, hapa ni kama umecopy na kupaste tu

    Ifike wakati washauri wa wasanii hawa wawaze nje ya Box. Kwanza kutumika tu na Yanga ni kuiga walichafanya Mikia (Simba) lakini Kama haitoshi na nyimbo uliotunga ni umecopy Kama sio kubadili tu maneno. Huo wimbo wa Yanga ungeimba kwa mahadhi tofauti na singeli ungeenda mbali sana, Ila kwa...
  12. Civilian Coin

    Wimbo "DEAR MAMA" wa DON NALIMISON umetolewa maalum kwa ajili ya MAMA wote Duniani. Je, unampenda MAMA yako, watch now

    . New video "DEAR MAMA", watch my New 3rd video song for "DEAR MAMA" LIKE IT, SHARE IT, SUBSCRIBE IT & COMMENT FOR IT if you Love your Mama.
  13. MakinikiA

    Mtunzi wa wimbo uliovuma zaidi miaka ya nyuma wa ‘Tanzania yetu ndio nchi ya furaha’, Mzee Stephen adai kuzurumiwa Vyombo vya Mziki

    Mtunzi wa wimbo uliovuma zaidi miaka ya nyuma wa ‘Tanzania yetu ndio nchi ya furaha’, Mzee Stephen Hizza amwemwambia mtangazaji wa kipindi cha zilipendwa wiki iliyopita TBC Chacha Maginga anasikitika licha huo wimbo kuwa maarufu radio Tanzania lakini Serikali ya Awamu ya Nne pekee ilimpa ahadi...
  14. Chief Kabikula

    Hivi kuimba Wimbo wa Taifa ni kosa lisilokuwa na dhamana?

    Hivi nchi hii, awamu hii ya uchumi wa kati, yaani ukiimba wimbo wa Taifa wakati unapandisha bendera ya chama cha siasa ni kosa lisilokuwa na dhamana? Wanasheria hebu tusaidieni. Ndugu zetu pichani chini wako ndani miezi zaidi ya mitatu bila dhamana huko Singida kisa waliimba Wimbo wa Taifa...
  15. B

    Kishindo cha mashairi ya Roma Mkatoliki kwenye wimbo 'Tundu Lissu Shujaa''

    Roma Mkatoliki ameshusha mzigo mpya YouTube. Moja ya mistari katika wimbo wake mpya Ni "wakati wa JK tulipinga sana ila hatukupigwa risasi wala kutekwa"....."Nani alijua Tundulisu atapona?" Huu wimbo unakuja kipindi ambacho Chama cha Mapinduzi kimeapa kutotumia wasanii katika shughuli za siasa...
  16. GENTAMYCINE

    Serikali na BASATA upigeni marufuku upesi wimbo mpya wa Msaga Sumu kwani una Matusi matupu na si wa kimaadili pia

    Maneno yake ya Ubeti wa Kwanza kutoka Kwake Msaga Sumu. " Nina hamu ya Nyumba ya Kupanga " Kisha Mwanamke aliyemshirikisha anamjbu Msaga Sumu. " Nyumba yangu ina Vyumba viwili tu je, unataka vyote au nikupe Kimoja tu? " Msaga Sumu anaendelea. " Nataka Kimoja tu ila kama kina Vumbi...
  17. Return Of Undertaker

    Wimbo wa Taifa hatuna hati miliki kwa sababu tume "copy" toka ANC, na haupo kwenye Sheria na Katiba yetu. Tumeazima

    Wimbo wetu wa Taifa umetokana na wimbo Nkosi Sikeleli Afrika uliotungwa 1897 na Enoch Sontonga (msauzi) kama wimbo wa ANC Umetoholewa kuwa wimbo wa Taifa wa Zambia, Zimbabwe, Namibia na Tanzania. Sisi wenyewe tumebadili maneno ya wimbo na copyright si yetu 😁
  18. YEHODAYA

    Wimbo wa Taifa una hati miliki ya serikali kubadili beti au chochote kunataka

    Ukitaka kubadili chochote sharti kibalib na sharti Ni hili Permission is granted at the discretion of the Government and may be subject to certain conditions, including: the tune or the words of the Anthem may not be modified, parodied or demeaned alternative words cannot be substituted for...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Uchaguzi 2020 Remix ya Wimbo wa Taifa; CHADEMA mmezingua sana

    CHADEMA WAMEONYESHA UBINAFSI: NI KUHUSU WIMBO WA TAIFA. Na, Robert Heriel Nimesikitishwa sana na kile nilichokiona leo kwenye mitandao ya kijamii. Ni video moja ikiwaonyesha wanachama wa CHADEMA wakiimba Remix ya wimbo wa Taifa. Kuimba Remix ya wimbo wa taifa sio kosa na wala sina neno nao...
Back
Top Bottom