wimbo

Dappled Cities (formerly "Dappled Cities Fly") are an indie rock band from Sydney, Australia.

View More On Wikipedia.org
  1. Deejay nasmile

    Ni wimbo gani wa Kibongo umeimbwa kwa Kiingereza tu?

    Mbona kwenye interviews nasikiaga YES, TO BE HONEST, nk, lakini sijawah sikia nyimbo kwa kizungu mwanzo mwisho.. Achana na zile wanataja vijimaneno viwili vitatu tu.
  2. TODAYS

    Msanii wa Nigeria Burna Boy amejumuishwa katika orodha ya wanamuziki ambao album yake itakayochezwa wakati wa sherehe ya kuapishwa kwa Joe Biden

    Kwanza unaweza kufikilia inakuwaje asichukuliwe mwanamuziki wa Marekani au mataifa mengine yaliyoendelea, pili ni kiasi gani cha pesa analipwa mwanamuziki huyo kutoka Afrika ya kaskazini? Lakini ni kwamba orodha ya nyimbo zipatazo 46 zimeandaliwa katika sherehe ya kuapishwa kwa Biden, taarifa...
  3. Analogia Malenga

    Naibu Waziri wa Habari aagiza washindi wa Shaaban Robert watunge wimbo kumsifu Magufuli kwa gharama za Serikali

    Naibu Waziri wa Habari amewaagiza vijana walioshinda tuzo za kiswahili za Shaaban Robert watunge wimbo kumsifu Rais Magufuli kwa anayoyafanya kisha wimbo huo utarekodiwa katika Studio za TBC kwa gharama za serikali. Ameyasema hayo alipokuwa anapokea tuzo ya juu ya Kiswahili ya Shaaban Robert...
  4. F

    Burnout wimbo uliobamba na kuuza sana miaka ya 80 vijana wa zamani tukutane hapa

    Miaka inaenda sana jamani. Huu wimbo unarudisha kumbukumbu nyuma. Ni burnout ya Sipho 'Hotstix' Mabuse South Africa. Ulitawala sana miaka ya themanini. Watu walikuwa na furaha sana ulipochezwa maredioni licha ya ukandamizaji wa utawa wa makaburu. Huyo mdada wa katikati anayecheza kwa furaha...
  5. Dong Jin

    Dah! Huu wimbo wa Pepsi alioimba diamond ni balaa

    Huyu jamaa makampuni yanavyogongana kutaka awatangazie biashara zao huwa hawakosei. Nilikuwa sijawahi kulisikia hili tangazo la pepsi, huu wimbo nakiri kabisa kuwa ni hit song kwa upande wa matangazo Hili ni la pili baada ya lile la Cocacola la kuonja msisimko. Mwenye nalo la Pepsi atupie hapa
  6. mtwa mkulu

    Naomba wimbo huu uwe dedicated kwako kipenzi chetu Iron lady Halima Mchuka

    Kila Mara nisikiapo wimbo huu wa mahadhi ya ki Swedish kutoka kwa Abba huwa nakukumbuka wewe. Umetutoka miaka kadhaa nyuma kipindi Kama hiki. Ulifanya utoto wangu kuwa remarkable. I love U Halima, ungalikuwa Dar ningalikuja ingawa hunijui. Msalimu Jackob Tesha, Tumbo lisasi na Ezekiel Malungo...
  7. F

    Wasomi wote ambao tunapitia maisha magumu zawadi ya mwaka mpya wimbo - Nimelimiss Bumu

    habari wadau wote wenye changamoto za kimaisha.. Vijana wengi kitaani tunapitia hali ngumu.. hii imenifanya niimbe wimbo wa kutuliwaza nimelimiss Bumu.. naombeni maoni yenu wapi nimekosea na wapi nimepatia heri ya mwaka mpya
  8. F

    Wimbo wa " Happy Birthday utafasiliwe"

    Wimbo wa kiingeleza wa kutakiana kheri ya siku ya kuzaliwa hivi umeshindikana kuutafasiri? Mbona tunazidi kuwatukuza hawa mabeberu....siamini kama lugha yetu pendwa bado I maskini wa maneno... Tutukuze utamaduni wetu watanganyika.!!
  9. Infantry Soldier

    GONE REGGAE: Ni wimbo gani wa mtindo fulani (Country/R&B) ambao umeimbwa tena kama "Reggae Version" unaupenda sana? Mimi ninaupenda sana "The Gambler"

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa jamiiforums. Ni wimbo gani wa mtindo fulani (Country/R&B) ambao umeimbwa tena kama "Reggae Version" unaupenda sana? Mimi ninaupenda sana nyimbo za "The Gambler" pamoja na "One More Night" ulioimbwa na msanii BUSY SIGNAL kama reggae...
  10. Deejay nasmile

    Wimbo gani utakukumbusha mwaka 2020

    wimbo gani utakukumbusha mwaka 2020... We taja tu hata kama.... We taja tu..... ...nimesema we taja tu... Mabaya..mazuri...yote ni lazima tuyapitie.. 2020 Countin down
  11. Mkogoti

    Msaada: Nautafuta wimbo wa dini “Unitume mimi”

    Habari za kwenu Wana jf? Msaada tafadhali wa wimbo wa dini jina linaitwa "Unitume Mimi" yani Wanaume kwenye huu wimbo wanaimba kwa sauti kubwa sana harafu ina beat ni hatari, Shida ni ninapo search nakuta nyimbo zingine pia zina jina hilo hilo la Unitume Mimi ila sijajua ni kwaya gani...
  12. Itovanilo

    Natafuta wimbo

    Nautafuta wimbo wa msanii anayeitwa Clean bandit na Sean Kingston unaitwa,rockabaye Tafadhali mwenye nao aniwekee hapa maana nimejaribu kugoogle naupata ila nashindwa kuudownload
  13. YEHODAYA

    Wimbo anaotakiwa Rais Magufuli kuuimba yeye binafsi kila siku aamkapo au akutanapo na changamoto

    Huu ndio Wimbo anaotakiwa Raisi Magufuli kuuimba yeye binafsi kila siku aamkapo au akutanapo na changamoto yeyote iwe kubwa au ndogo au akutanapo na chochote cha kukatisha tamaa au kumvunja moyo
  14. I am Groot

    Mwaka 2020 unaisha: Ni wimbo gani uliotoka mwaka huu unaukubali sana kwa tungo zake?

    Kwa ufupi mwaka huu pamoja na kuwa wa mabalaa ila kwa upande wa burudani hasa mziki imesonga kama kawa. Shiriki nasi wimbo zilizobamba sana kwako kwa mwaka huu. Mimi: Dear God; - DAX Lyrics; I just want to make this clear I am a believer But sometimes it gets hard My name is Dax (Dear God)...
  15. matunduizi

    BASATA mtusaidie huu wimbo jana umenajisi kitongoji chetu siku nzima

    Hizi nyimbo za watu wa pwani wanaimba kama watu wanakimbia mchakamchaka fulani hivi zinaitwa Singeli. Jana watoto wengi walipata vipaimara sasa kuna Nyumba moja walikodisha mziki ambao sauti Kitongoji chote ilizizima kana kwamba kila mwanakitongoji kavalishwa headphone kwa ile mdundo. Mdundo...
  16. Nafaka

    Yuko wapi Dr. Levy mchoraji wa Katuni ya Baba Ubaya na mwimbaji wa Wimbo wa Kura yangu?

    Huyu jamaa alikuwa ndiye mchoraji wa katuni maarufu ya baba ubaya kwenye Gazeti la Kiu kabla ya kuacha kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine. Sijui kama hili gazeti bado lipo mtaani? Alikuwa rafiki yake Sugu, na nakumbuka alitoa kibao mwanana kinachojulikana kama Kura yangu. Kilikuwa...
  17. Civilian Coin

    Mario, wimbo "Tikisa" umetafsiri wimbo wa "Congratulation" wa Don Nalimison. Tafadhali buni vya kwako

    ANGALIZO kwa Msanii MARIO. MARIO: acha kutafsiri nyimbo zangu DON NALIMISON kwa Kiswahili, bunii vya kwako. Tikisa ume copy na ku paste wimbo wangu wa Congratulation ulioko You Tube tangu julai 2020. Ningeweza kukuweka DETENTION lakini Mimi simuuaji, naomba acha hiyo tabia buni vya Kwako bwana...
  18. Musundi

    Wimbo wa ''Sizonje - Mrisho Mpoto ft Banana Zorro''

    Wanajamvi, nakuja kwenu kutaka msaada kwa wataalamu wa fasihi kuhusu ujumbe uliomo katika wimbo uliotajwa hapo juu. Kiukweli Mrisho Mpoto namkubali sana kwa mashairi yake - tatizo tu sipati ujumbe sababu ya mafumbo yaliomo katika mashairi yake. Nakuja kuomba yeyote anayeelewa ujumbe uliomo...
  19. Cannabis

    Harmonize ashutumiwa kuiba wimbo wa "Huo ni Ushamba"

    Mwanamziki nguli wa muziki wa Bongo Flava, Harmonize ameshutumiwa na "wasanii wadogo" Lizu Dady na Phamo S kuiba idea ya wimbo wa wimbo wake mpya unaoitwa "huo ni ushamba". Wasanii hao wanadai walitunga wimbo mapema wanaouita "upimbi", wimbo ambao unaendana wazo pamoja na kiitikio (Chorus)...
  20. Gudasta

    Kwa wapenzi wa Burna Boy na wimbo wa Jerusalema

    Angalia remix ya huu wimbo Jerusalema alioshirikishwa Burna Boy, naona kama ameupa huu wimbo ladha nyingine nzuri, enjoy!
Back
Top Bottom