yanga sc

Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Miguel Gamondi akiingia GYM kwenye viwanja vya Gymkhana akiongoza mazoezi ya Yanga SC

    Afisa Habari Yanga SC, Ally Kamwe amesema kocha wa Yanga, Miguel Gamondi bado yupo klabuni hapo, na ataongoza kipindi cha mazoezi kwa wachezaji siku ya leo. Kocha Miguel Gamondi akiingia GYM kwenye viwanja vya Gymkhana akiongoza mazoezi ya Yanga SC. Soma, Pia: Ali Kamwe aiongoza Yanga SC...
  2. Waufukweni

    Ali Kamwe aiongoza Yanga SC kusafisha Uwanja wa KMC Complex

    Afisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe, ameongoza shughuli ya kusafisha Uwanja wa KMC Complex, hatua inayokuja mara baada ya klabu hiyo kutangaza rasmi kwamba itautumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani kwa mechi zote zilizobaki za Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/25. Soma, Pia: Gamondi hana...
  3. Torra Siabba

    Tetesi: Ndoa ya Gamond na Yanga yavunjika Rasmi, Aonekana Mwanza akila Bata

    Wakati kukiwa na taarifa kuhusu Yanga kumtema Kocha wake Miguel Gamond, imethibitika kwamba ndoa ya Yanga na Kocha huyo Imevunjika Rasmi. Ni hivi Jamaa ameonekana Mwanza leo na anachongojea kwa sasa ni Fedha zake za kuvunja mkataba kutoka Yanga ili maisha yaendelee Hili ndio chanzo cha Anguko...
  4. M

    Tetesi: Klabu ya Simba SC ipo mbioni kuhamishia mechi zake uwanja wa AZAM complex- Chamazi mara baada ya Yanga kuhamia KMC complex

    Ili kuonesha kuwa siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Kuna tetesi kuwa klabu ya Simba sc imeamua kuhamishia mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Azam complex ili kupishana na mahasimu wao wa jadi klabu ya Yanga Ambayo imeamua kuuhama uwanja huo bila ya kutoa sababu maalumu mara baada ya...
  5. mwarabu feki

    Upi mchango wa Haji Manara kwenye Tasnia ya michezo nchini?

    Nimejaribu kumsikiliza leo kupitia Amplifaya ya Milard Ayo, sijaona cha maana zaidi ya kujisifu tu kwamba ndani ya miaka miwili atamiliki/atanunua klabu ya ligi kuu Tanzania. Pia anadai yeye analipwa pesa nyingi na GSM kuliko baadhi ya wachezaji wakubwa hapa nchini. Nataka kujua huyu mtu ana...
  6. G

    Kihasibu "Prince Dube" ni LIABILITY, Milioni 500 za kumvunjia mkataba na kumpa milioni 30 kila mwezi ni kipigo kizito kwa Yanga

    Wengi wanakurupuka kwenye kchaka cha Kibu Dennis, Kibu alijiunga simba akiwa mchezaji huru, Yanga walivmsajili Dube kwa milioni 500 Kibu yupo kwa miaka mitatu kashafunga sana anavumilika, Dube kashaanza kuonekana mzigo, havumiliki. Dube anangia Yanga analipwa milioni 30, Kibu kapambana sana...
  7. Mkalukungone mwamba

    Haji Manara: Mimi na kocha Gamondi hatusalimiani, aliwahi kunipa tuhuma nzito kutaka yeye afukuzwe Yanga

    Wakuu msikie Manara huko! Anasema katika kipindi cha kuelekea katika kilele cha wiki ya mwananchi mwezi Agosti mwaka huu 2024 wakati ameenda kambi ya Timu ya Yanga kuongea na wachezaji na bechi la ufundi ili kuwapa plan ya siku hiyo ya wiki ya mwananchi, lakini siku yake ikaharibiwa na kocha...
  8. C

    Gamondi asitimuliwe

    Ni kweli amepoteza mechi mbili mfululizo, lkn ni kocha gani aliwahi kuifunga Simba mara nne mfululizo zaidi yake? Wana Yanga tusijichanganye? Hata aibu ya karne ya (1 - 5) katubeba yeye. Kwa upande wa records muhimu, katuvusha kucheza robo fainali (kibabe kwa kumjibu 4 - 0 muarabu Belouizdad)...
  9. M

    Mashabiki ya Yanga sc hawautaki tena uwanja wa Azam complex- Chamazi! Wataka mechi zao zikachezwe KMC complex stadium

    Lilikuwa suala la muda tu baada ya Bundi mzee kuwika katika uwanja wa Chamazi, klabu namba moja kwa masuala ya ushirikina Tanzania. Daima mbele nyuma mwiko kuanza harakati za kuukimbia uwanja wao wa nyumbani ,Chamazi na kutaka kuja kuutumia uwanja wa KMC unaotumiwa na mahasimu wao wanaoongoza...
  10. Chapati Tatu

    Miguel Angel Gamondi aondoke au abaki Yanga? Kwa nini?

    Kumekuwepo na mijadala yenye mawazo mchanganyiko kuhusu mwenendo wa kocha mkuu wa Yanga. Tuchanganue hapa yafuatayo: 1. Nini kinachowapa mashaka mashabiki wa Yanga kuhusu mwenendo wa benchi lao la ufundi? 2. Kwanini aondoke wakati huu na asipewe muda wa marekebisho? 3. Kwanini asiondoke? ...
  11. Dabil

    Ahmed Ally: Yanga walitaka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wanajichoma choma uchafu

    Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex. Hii ni tuhuma nzito...
  12. Waufukweni

    Video yaonyesha mabomba ya sindano yanayotuhumiwa kuwa ya Yanga kwenye chumba cha kubadilishia nguo Azam Complex

    Wakuu Kuna hii video imezua mijadala na kuibua tuhuma mbaya kwa klabu ya Yanga kuwa hudungwa Sindano wakati wa mechi zao ambayo mchambuzi wa Soka nchini Jemedari Said amezi-share kupitia ukurasa wake wa Instagram na maelezo haya:
  13. Komeo Lachuma

    Gamondi hamalizi huu Msimu. Ama sivyo Uongozi uangalie namna ya kuifanya Yanga ituletee furaha

    Gamondi ana muda mchache sana Yanga. Naona lile wazo kuwa tumwachie yeye ajipange mwenyewe linakuwa gumu sasa. Gamondi alianza kupandisha mabega akidhani yeye ndo yeye. Huyu ataondoka ama sivyo akubali sasa kuwa yeye ni wa kawaida viongozi wanambeba sana kwenye ushindi na michakato yake. Hawezi...
  14. M

    Ni wazi kuwa utawala wa Gamondi na Pep Guardiola umefikia tamati

    Man City na Yanga Afrika ni miongoni mwa timu zenye kiburi na jeuri katika ulimwengu wa Soka nchini Uingereza na Tanzania kwa ujumla. Sasa hivi utawala wao umefikia ukingoni kutokana na kupokea mfululizo wa vipigo kutoka kwa timu kama Bournemouth na Tabora United. Soma Pia: Full Time: Yanga...
  15. covid 19

    Viongozi wa Yanga mmefanya makosa sana kurudi Chamazi kucheza pale, ule uwanja hautufai

    Ni jambo la kusikitisha na uzuni sana wachezaji wetu wamepigwa usinga tayari pale Azam Complex hatutakiwi kurudi pale hadi tujiweke sawa. Tulishawaambia kabla ya match ya Azam VS Yanga wazee kutoka Pemba walikuwa wanausomea ule uwanja wiki zima bado midawa yao inanguvu kwa sasa pale hapatufai...
  16. C

    Apongezwe Mtu wa Yanga SC aliyetoa siri kwa Watu wa Azam TV kuwa Yanga SC inatumia Dawa za Kuongeza Nguvu katika mechi zake

    Na leo waliogopa kuzitumia kwakuwa Watu wa Yanga SC walitonywa kuwa huenda TFF ikawashtukiza kupitia Watumishi wake kadhaa kufanya Uchunguzi Wachezaji wao. Kitendo cha mwana Yanga SC huyo mwenye Ushawishi mkubwa katika mpira wa Tanzania kuchoka Kutengwa na Mtu aliyemuamini (Rais wa Yanga SC)...
  17. Metronidazole 400mg

    Yanga ni timu ya kawaida sana, ilikuwa bora ila inashuka kwa kasi kupitia maelezo

    Bahati yenu tunaeleka international break (ndio pona yenuu) lasivyo mngeendelea kupelekewa moto mpaka mkubali timu yenu ya kawaida Sanaa 1. Hizi pancha za wachezaji wenu sio kwa bahati mbaya ni kutumika kwa mda mrefu bila kupata mapumziko ya kutosha 2. Bado pancha ya nzengeli TU naisubiria kwa...
  18. Waufukweni

    Rais Samia aipongeza Tabora United kwa kuifunga Yanga bao 3-1

    Rais Samia Suluhu Hassan ameipongeza Tabora United kwa ushindi wao dhidi ya Yanga kwenye Ligi Kuu, akisisitiza kuwa ushindi huo unachangia kuvutia uwekezaji na ajira katika ligi. Pia, Soma: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024 Aidha...
  19. kavulata

    Yanga bila uwanja wenu acheni nyodo, mtafungwa TU kwenye viwanja vya watu

    Huwezi kuwa unatumia uwanja wa watu halafu unawatukana wenye uwanja wao. Ally Kamwe ajiangalie la sivyo hatoshi Yanga. Unatumia uwanja wa Azam lakini unadhihaki wenye uwanja ni ujinga mkubwa.
  20. Mkalukungone mwamba

    Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

    Mechi: Yanga SC VS Tabora United Ligi: NBC Premier League Uwanja: Azam Complex Tarehe: November 7,024 Muda: 🕖 6:00PM Dakika, 11 Si Yanga wala Tabora hakuna timu iliyopata goli hadi sasa. Dakika, 15 Mchezo umendelea kuwa mzuri timu zote zinacheza kwa utulivu sana. Dakika, 19 Tabora...
Back
Top Bottom