yanga sc

Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC niwaambieni mara ngapi kuwa mkiwa mnajiandaa na Mechi na Yanga SC ficheni Kambi yenu na msiwe huko Bunju / Mbweni kimazoezi?

    Yaani kuna muda huwa mnanikera sana na natamani hata nibebe tu Grenade nije niwarushie mpukutike kabisa duniani.
  2. ngara23

    Yanga tuwe imara, TFF inawaandalia ubingwa Simba Kwa kuinyongonyeza Yanga

    TFF wamejipanga Simba awe bingwa mbele ya Yanga imara TFF Leo wametumika kamati zake kumfungia Ally Kamwe miaka 2 kutokujihusisha na soccer Hili ni jambo baya na uhuni wa wazi, Ahmed Ally aliyetamka kuwa adui wa Simba ni Yanga akiachwa huru kuzidi kuzua taharuki Kuelekea derby TFF inamfungia...
  3. GENTAMYCINE

    Jumamosi ndipo wote mtakubaliana nami kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC 100% tukishatoka kupewa Kichapo cha uhakika

    Na ninasisitiza tena sina Chuki nae kama Mwanahabari mwenzangu, ila simkubali kwakuwa ninamjua ni Yanga SC 100%.
  4. Beira Boy

    Toka Dunia iumbwe kwanini Simba hajawahi mfunga Yanga kila wanapokutana tarehe 8?

    Amani iwe nanyi watumishi Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad...
  5. M

    Salamu za Pili leo kwa Kocha Fahdu Davis na Benchi lake la Ufundi Kuelekea Derby ya Tarehe 08 Machi 2025

    Ndugu Fahdu Davis, Kocha wa Simba Awali ya yote nakupongeza sana kwa kazi nzuri unayoendelea kuifanya ndani ya klabu ya Simba Sports Club. Ama hakika hadi sasa kupitia wewe na benchi lako la ufundi sisi wanachama na mashabiki wa Simba tumeridhika na performance ya timu yetu hadi sasa. Timu...
  6. Waufukweni

    Jerry Muro: Mtu pekee aliyebaki kuja Yanga ni Mo Dewji na niwaambie tu Mo Dewji atakuja Yanga

    Wakuu "Mimi ni nabii nilishawaambia watu kwamba Haji atakuja Yanga siku moja na kweli Haji Manara amekuja Yanga, mtu pekee aliyebaki kuja Yanga ni Mo Dewji na niwaambie tu Mo Dewji atakuja Yanga."
  7. pesakilakitu

    Nimehuzunishwa kama si kusikitishwa na Kauli za Mwigulu Nchemba kuelekea mechi ya Derby

    Katika kampeni iliyoanzishwa na Benki ya NBC ambaye ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu, mimi kama mdau wa mpira nimeshangazwa kama si kuchekeshwa na kusikitishwa na Kauli za Mwigulu, kwanza ametoa tuhuma kuwa uwanja tena eti wenye jina maalum kwamba pametolewa penati tatu, yeye anaujua mpira ama...
  8. SAYVILLE

    Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

    Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji. Tajiri, nina neno moja kwako. Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa. Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa...
  9. C

    Nina wasiwasi na aliyekuwa mwenyekiti wa Simba anaitaka tena nafasi yake ili aifunge Yanga

    Nimekuwa nikifuatilia sana mahojiano ya huyu muha akizungumzia kufungwa kwa Simba na Yanga kila mara. Ninaanza kuwa na mtizamo tofauti juu ya azma yake kwa Simba. Huyu mtu anahitaji kuwa mwenyekiti na hivyo hata mkifanyaje, ataendelea kushirikiana na adui Simba ifungwe ili mumtimue mwenyekiti...
  10. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC wakiongozwa nami tunahoji mbona Skudu Makudubela kaachwa Yanga SC kimya kimya wakati aliletwa nchini kwa Mbwembwe na Kufuru zote?

    Rais wa Yanga SC Hersi nimethibitishiwa kuwa si tu Unanisoma hapa JF, bali pia Unanifolo hivyo nakuomba unijibu upesi.
  11. Vincenzo Jr

    FT: Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | 28 Februari, 2025 | CCM Kirumba

    PAMBA JIJI FC🆚YOUNG AFRICANS SC 📅28.02.2025 | 🏟️CCM KIRUMBA | ⏱️4:15PM Karibu kwa update za mchezo wa Leo Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji Mpira umeanza Dakika ya 1 Mwamnyeto amefanya madhambi Dakika ya 6 Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi Dakika ya 7 Max nzengeli anakosa nafasi ya wazi...
  12. M

    Viongozi wangu wa Simba ongezeni sana jitihada kwenye kamati za ufundi kama wanavyofanya Yanga, leo Azam ametoka sare wakati sisi katukomalia

    Mechi ambazo tunatoka sare unaona kabisa tumezidiwa mambo ya nje ya uwanja na nina wasiwasi sana kuelekea tarehe 8, tulikomaliwa na Fountain Gate kwa mambo ya nje ya uwanja, Azam naye akatuwekea ngumu kwa kusaidiwa na utopolo, huwa mara nyingi sana Azam wanaombaga msaada utopolo wakitaka...
  13. GENTAMYCINE

    Hii ya GSM Mdhamini wa Yanga SC kutoa Ahadi ya Tsh 100 Milioni kwa Pamba FC inayodhaminiwa nao GSM hao hao ikiifunga Yanga SC inaitwaje Kitaalam?

    Halafu Wanafiki na Wapumbavu aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC aliyeondoka hapa karibuni aliposema Ukweli mkamponda sana huku hadi mkitishia na kumtaka aombe Radhi. Sasa kwa huu Upuuzi wa GSM kwa Pamba FC inayodhaminiwa nao hao hao GSM tukisema yule Kocha wa Yanga SC alikuwa sahihi na ikiwezekana...
  14. Labani og

    Pamba yaahidiwa 100million na GSM kama itaifunga Yanga

    [emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa. Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa...
  15. gonamwitu

    Azam wewe ni ndugu yetu wa damu, tunakutuma ukamfunge Yanga mtakapokutana

    Kumbuka Bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya Simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu. Tunakutuma utakapokutana na Yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.
  16. M

    Aliyefuta picha zote za Yanga leo aifungia goli 2, hana furaha kabisa pale Yanga

    Ni mwamba Clatous Chota Chama kaingia kambani mara 2 dhidi ya Mashujaa! Tunaambiwa hana furaha kabisa pale Yanga ndio maana kafuta picha zote kwa mujibu wa watabiri kutoka ukoloni🤣🤣🤣 Na sisi tunasema hana furaha kabisa anarudi ukoloni keshokutwa tu hapo!
  17. GENTAMYCINE

    Clatous Chota Chama pole sana na hao ndiyo Yanga SC ambao ulidhani kwenda Kwao ungetukomoa Simba SC iliyokujenga na kukupa Thamani Kubwa

    Ikifukie ya kwamba..... 1. Chama kafuta Picha zote za Yanga SC alizopiga 2. Chama kawabloku Waandamizi wa Yanga SC 3. Chama kazibakisha Picha zile tu alizopiga akiwa anachezea Simba SC 4. Chama sasa haongei sana na Wachezaji wenzake wa Yanga SC 5. Chama amekuwa Mpweke 6. Chama muda wake...
  18. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe hapa kwa Kumjengea Nyumba Mama yako ili aishi na siyo Waishi sote na Baba yako umechemka vibaya mno

    Kuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa Mama zetu ndiyo hasa wenye Baraka nasi kwakuwa tu wametubeba Matumboni mwao kwa Miezi Kenda (Tisa) na...
  19. C

    Kwa hii tension kwa waamuzi iliyotengenezwa na Yanga na wachambuzi, mechi ya Derby walete mwamuzi kutoka nje

    Kumekuwa na tension ambayo Yanga wanaitengeza na huwa inawapa faida. Mfamo dabi iliyopita tuliona wazi kabisa mchezaji akichezewa faulo ndani ya box lakini mwamuzi alimeza kipenga zaidi ya mara mbili. Hii ni kwa vile kwa hapa nchini, ili iwe penalty hadi mtu avunjwe mguu au mbavu. Pia magoli ya...
  20. N

    Tetesi: Yanga kumsajili tena golikipa wao pendwa Ramadhani Kabwili

    Ramadhani Kabwili golikipa wa zamani wa Yanga anahusishwa kurudi tena katika klabu hiyo baada ya kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi. Lengo hasa la kumrudisha Kabwili ni kumpa changamoto zaidi golikipa namba moja Diara ambae siku za karibuni imeonekana umakini wake umepungua sana na...
Back
Top Bottom