yanga sc

Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.

View More On Wikipedia.org
  1. holoholo

    Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

    Leo majira ya saa 10:15 jioni pale katika dimba la LAKE TANGANYIKA Kigoma, Mabingwa watetezi wa NBC PL, YOUNG AFRICAN SC watashuka dimbani kupepetana vikali dhidi ya wenyeji wao MASHUJAA FC! usikose kufuatilia mchezo huu kupitia Azam Sport HD2 na kupitia TBC Taifa kwa matangazo ya Radio...
  2. C

    Wachezaji wanaotumwa na Yanga kufanya uhuni waadhibiwe

    Tunahitaji waamuzi wakali wasimamie sharia zote za soka bila kuangalia mtu usoni. Wachezaji wanapaswa kujua soka ni uwekezaji mkubwa na lazima wawe na nidhamu na soka.Wafanye bidii kwenye mazoezi,sio kuvuta bangi na kupania mechi waliyoahidiwa mapesa na wasiolitakia mema soka letu. Maana kuna...
  3. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC wakiongozwa na GENTAMYCINE tunauliza je, Mwamnyeto nae Akioa Uongozi wetu utamzawadia 50M kama Aziz K?

    Nikiwa kama mwana Yanga SC Mwandamizi JamiiForums nzima nasubiria majibu ya Viongozi wa Yanga SC waliojazana hapa.
  4. ngara23

    Nawakumbusha Simba kuwa derby haitakuwa na red card na penalties za kubebwa

    Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa Yanga ni kubwa mtafungwa tu Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union, Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu...
  5. M

    Yanga msipoteze muda kuwajibu wapuuzi, mechi ya Namungo VS Simba leo imemaliza kelele zote, toeni vichapo bila kumuangalia anayebweka!

    Yanga msiendelee kupoteza mda wenu kujibizana na wapuuzi kama wachambuzi ambao baadhi yao tunajua wako kwenye payroll ya Mhindi! Kilichotokea Leo pale Ruangwa Kila mtu kaona kwaiyo msicheke na nyani endeleeni kutoa vichapo kivyovyote ilimradi point 3 ziingie kapuni,, Tutaendelea kukusanya...
  6. S

    Wanasimba wenzangu kwa mazingira yaliyoonekana Leo uwanja wa KMC kwa mtu mzima kubebwa dhahiri shahiri tusiwe sana na mategemeo ya ubingwa

    Sidhani kama kwa haya niliyoyaona Leo maana baada ya mpira kwisha stori zilikuwa nyingi sana baina ya Rais wao na wachezaji wa Black Stars, walikuwa wanafurahia vituko vya uswahilini.Mara Rais yuko na JOnathan, mara Yuko na Ayoub Lyanga, mara anaonekana akiwa na Arthur yaani ni full maongezi na...
  7. M

    Yanga wenzangu, timu hii inayoendeshwa na drama za Hersi, Aziz Ki na Ali Kamwe ndio tuliamini tunaenda kubeba klabu bingwa Africa? Nimechoka sana

    Habari za jioni Ukweli mchungu timu tuliikuza sana mwanzoni mwa msimu. Ila Yanga sio timu serious kwa heka heka hizi za mchezaji wetu tegemezi + viongozi wa Yanga kupenda kutrend kwa kumuoa slay queen katikati ya msimu. Beckham mwenyewe akiwa kwenye peak yake man utd 1999 alimuoa victoria...
  8. GENTAMYCINE

    Aziz Ki kumuoa Hamisa: Mama yake mzazi amtolea Uvivu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi kuacha kuwa na kimbelembele

    Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye kushirikishwa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa "Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu...
  9. Ubaya Ubwela

    Jean Baleke anaidai Klabu ya Yanga TSh. Million 155

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa upande wa Jean Baleke ni kuwa anaidai Yanga kiasi cha dola 60,000 ambapo dola 30,000 signing fee na dola 30,000 nyingine ni gharama za kuvunja mkataba, kama Yanga hawatomlipa ana mpango wa kuwapeleka FIFA. Dola 60,000 ni sawa na MILLION 155. Hii timu kwa Madeni...
  10. Mkalukungone mwamba

    Full Time: KMC FC 1 -6 Yanga SC | NBC Premier League | KMC Complex | Februari 14, 2025

    KMC FC Vs Yanga SC | NBC Premier League | KMC Complex | Februari 14, 2025 🕖 10:15 Jioni Updates.. Dakika, 27 Bado Yanga wanaongoza goli 2 Dakika, 29 Yanga wanapata freekick Dakika, 31 wamepata freekick lakini wanakosa kutumia nafasi Dakika, 38 KMC wanapata freekick Dakika, 39 KMC...
  11. M

    Tathimini yangu: Machi 8, 2025, Simba itaifunga Yanga goli 3 hadi 5

    Kwasasa Simba imeshajipata. 1. Ina safu ya ushambuliaji kali kuliko timu yoyote ligi kuu. Very aggressive 2. Ina vijana wengi wenye pumzi ya kutosha. Tofauti na Yanga 3. Wana uwezo wa kutanzua mitego kwa timu pinzani inayojilinda zaidi. Tofauti na Yanga 4. Mabeki wa Simba ni wepesi wa kusaidia...
  12. GENTAMYCINE

    Oya mbona hii Taarifa ya Max Zengeli anaondoka kuelekea Morocco inafichwa sana kwa Sisi wana Yanga SC wenye Uchungu?

    Kwahiyo wana Yanga SC tumeamua kutumia 'Inshu' ya Chasambi ili Kuificha kwakujua kuwa Sisi Mashabiki ni hohe hahe?
  13. holoholo

    FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

    Mabingwa wa muda wote wa ligi ya Tanzania Bara, Mabingwa watetezi wa ligi kuu msimu huu na vinara wa ligi YOUNG AFRICANS SC watashuka dimbani leo majira ya saa 10 za jioni ugenini kuwakabili JKT TANZANIA katika dimba la Meja Jenerali Isamhyo. Je, Yanga kuendelea kujichimbia kileleni wa...
  14. Damaso

    Yanga hongereni sana kwa hili

    Kwenye pita pita zangu nikakutana na habari kuwa Avic town ilipata ugeni kutoka tawi la watu wenye matatizo ya macho. Wanachana wa Young Africans ambao waliwatembelea wachezaji kambini na kuzungumza nao. Nimepata video fupi inayoonesha namna mpira unaweza kuwa sehemu ya upendo sana. Kwa hili...
  15. C

    Hivi kwa nini huwa ni rahisi kwa Yanga kuwashawishi baadhi ya wachezaji wa timu pinzani waharibu na kucheza chini ya kiwango?

    Jambo hili linanifikirisha sana hasa nikifikiria wale wanaokula 5 halafu inawasajili kama wachezaji bora huku wanapotoka wanaoneka hawafai. Kitendo hiki cha nyuma mwiko sio kigeni kwenye ligi yetu. Unaweza kuta mchezaji akakubali kulipwa mshahara mdogo sana utopolo ila anaifia timu wakati kuna...
  16. M

    Wanaosema Amli Miroud hana sifa za kukaa kwenye benchi la Yanga, nadhani waache propaganda nyepesi

    AMLI MIROUD kaajiriwa Singida na kupewa leseni na TFF ya kuifundisha Singida inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania bara Leo hii inakuwaje awe na sifa za kuifundisha Singida inashiriki ligi kuu halafu hapo hapo akose sifa za kuifundisha Yanga inayoshiriki ligi iyo iyo? Bodi ya ligi na TFF wao...
  17. ngara23

    Coach Miloud Hamid kuhamia Yanga sio ajabu ni biashara ya kawaida kabisa

    Nimeshangaa baadhi ya waandishi na wachambuzi wa mpira kuhusisha usajili wa coach Miloud Hamdi na undugu wa Yanga na Singida. Watu hawa wana uelewa mdogo Hii ni professional football watu wanajali pesa hawapo kwenye hizi timu kuuza sura, hii sio amateur football Morinho amefundisha timu 3 za...
  18. S

    Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic, yamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

    Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC umefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba na Kocha Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kodro. Katika hatua nyingine, Klabu ya Young Africans SC inamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa. My take YANGA SC...
  19. TODAYS

    Msipotoshe: Aliyevunja Mkataba Siyo Yanga SC Wala Ramovic!

    Hii habari ni kama watu wanatafuta engagement tu kwenye social medias mbalimbali ila ukweli siyo huo wanaoandika huko na hapa JF. Yule kocha Romavic kuna timu imefika dau hivyo imemtongoza akakubali ndipo hiyo timu ilivunja mkataba na Yanga African SC kwa kuilipa kiasi cha pesa kutokana na...
  20. Chizi Maarifa

    Nlisema ukweli ushindi tunaopata Yanga si kwa sababu ya kocha

    Kocha wala ubora wa team. Ni ushindi wa kimichongo. Ndo maana unaona Yanga tunapita mtu 5 lakini wala hatuongei sana. Tunafahamu si mbinu za kocha wala si ubora wa wachezaji. Hizi teams tunazifahamu, zinatufahamu na tunafahamiana. So tukiamua hata kuzipiga 10 inawezekana. Ndo maana pamoja na...
Back
Top Bottom