yanga sc

Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.

View More On Wikipedia.org
  1. ngara23

    Coach Ramovic haustahili pongezi zozote kwenye ushindi wa Leo Yanga vs Kagera sugar

    Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika. Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka, Kibwana na Israh, Hii mbinu imenishangaza, kocha aliamua kujilinda sana dhidi ya Kagera sugar...
  2. Vincenzo Jr

    FT: Yanga SC 4-0 Kagera sugar | NBC premium League | 1 Feb,2025 | KMC Complex

    Kikosi kinachoanza dhidi ya Kagera Sugar🔰💪🏽 Dakika ya 15 Mzize anakosa goli la wazi Dakika ya 17 Yng 0 -0 kgr Dakika ya 20 Kagera sugar wanapata Free kick Dakika ya 21 Yanga SC wanapata kona ya kwanza Dakika ya 29 bado ni 0 kwa 0 Dakika ya 31 Mzize kambaaa Dakika ya 41 Yng 1-0 kgr...
  3. Waufukweni

    Wabunge Mashabiki wa Simba, Yanga kuumana azania bank Bunge bonanza

    Benki ya Azania bank plc kwa mara nyingine imedhamini Bonanza la Wabunge wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania litakalowakutanisha wabunge mashabiki wa timu za Simba na Yanga litakalofanyika jumamosi hii katika viwanja vya shule ya John Merlini, Dodoma. Soma: Siasa kuingia kwenye michezo na...
  4. Waufukweni

    Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga

    Mwigizaji, Hamisa Mobetto, amtambulisha mpenzi wake Stephane Aziz Ki, mchezaji wa soka wa klabu ya Yanga SC. Mobetto ameachia picha na video akiwa pamoja na MVP wa Ligi ya NBC msimu wa 2023/24 wakiwa pamoja wakila maisha. Soma: Hamisa Mobetto yupo jukwaa bwana akimtazama Aziz Ki dhidi ya...
  5. SAYVILLE

    Yanga mmepoteza fursa adimu ya kuipiku Simba kwenye ranking za CAF

    Leo tunaambiana ukweli. Mlipoanza kutamba kuwa mnaenda kuipiku Simba kwenye rank za CAF mlituingiza kwenye kiwewe si mchezo. Hata kama mngeipiku tu kwa muda mfupi bado kelele zenu tunazijua. Mnacheza nyumbani, mnashindwaje kupata goli 1 tu la kuwavusha? Embu acheni utani. Unashindwaje kupata...
  6. ngara23

    Yanga ikishinda goli 5 mtani huwa anaumia kwanini?

    Leo Yanga tumemfunga Capco goli 5 Lakini mtani amenuna eti Capco kavunja record yake ya kufungwa 5na Yanga Simba alifungwa 5 hataki timu nyingine ifungwe goli 5 Mechi ijayo tutawafunga 10
  7. GENTAMYCINE

    Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said jifunze Ustaarabu na una mengi ya Kujifunza kutoka kwa Viongozi wa Simba SC

    Umetoka Uwanjani na kama kawaida Waandishi wa Habari wanakufuata Kukuhoji unawatisha kwa Kuwaangalia kwa Macho makali huku Unazuga unakunywa Maji wakati hata Kiu chenyewe ulikuwa huna. Na kuonyesha Jeuri hukutaka Kuzungumza na ukaingia haraka Garini na Kundoka. Sijawahi kumuona Kiongozi yoyote...
  8. Labani og

    IFFHS: Yanga yaicha mbali Simba takwimu za kimataifa 2024

    Shirikisho la Kimataifa la Historia ya Soka na Takwimu (IFFHS) limetoa takwimu ya vilabu bora 24 Barani Afrika kuanzia Tarehe 1 Januari mpaka 31 disemba mwaka 2024. Katika Takwimu hizo Klabu ya Yanga ipo nafasi ya 9 ikiwa juu ya Kalbu ya Simba ambao wapo nafasi ya 15. Orodha hiyo Klabu kutoka...
  9. ngara23

    Saed Ramovic hawezi kuleta kikombe hata kimoja Yanga

    Mimi kama mwanachama wa Yanga. Siridhishwi na kiwango na mbinu za coach Saed Ramovic Huyu alitakiwa awe coach msaidizi apate uzoefu Sijui Eng Hersi ulimchukua Kwa wasifu gani Mapungufu yake 1. Hana mbinu nzuri Saed Ramovic ana mbinu butu mno, Unaona hata timu inavocheza ni kama haina coach...
  10. Dabil

    Tetesi: Kocha wa Yanga ni suala la mda ataondoka au kuachwa

    Huyu Saed Ramovic hana tofauti na aliyekuwa kocha wa Simba Benchika, alipokuja alikuwa anaponda wachezaji na ligi yetu. Mwisho wa siku akaamua kuondoka na akawachukua wale wachezaji aliokuwa anaponda. In short hana uwezo anajificha kwenye kichaka cha ligi.
  11. GENTAMYCINE

    Wenye Akili Kubwa hapa JF tulipowaonyeni Yanga SC kuwa msiwasajili Wachezaji ambao Simba SC tumewaacha mlitudharau je, mmeshatuelewa sasa?

    Kuna muda GENTAMYCINE japo najulikana na sifichi kuwa Mimi ni mwana Simba SC kwa 100% huwa naweka pembeni Utani wangu kwa Yanga FC na kuwa Mkweli na Mwanamichezo ila wana Yanga FC Walioanza Kufuatilia Mpira kipindi cha Kocha Jose Mourinho alipokuwa na Chelsea yenye Mafanikio huwa ama hawanielewi...
  12. GENTAMYCINE

    Naomba kujua je, malengo ya Chama kuhamia Yanga SC kuwa anafuata Mashindano makubwa ili afike mbali yametimia?

    Yaani Simba SC wakuache kwa kukuona Kiwango kimekwisha, kisha ujidanganye kuwa utafanikiwa huko Uendako?
  13. M

    Clatous Chota Chama bado anahitajika sana ndani ya timu yetu Simba, Yanga wameshindwa kunufaika naye

    Chama bado Ana uwezo na kipaji kikubwa tu, Simba ilimleta nchini akiwa mchezaji wa kawaida sana, ufundi wake uwanjani ukaipa sana heshima timu yetu, Chama alikaa mioyoni mwetu sana wana Simba, uwezo wake ulitufanya tumnunue tena toka Berkane na kumrudisha nchini. Heshima aliyojitengenezea akiwa...
  14. Moshi25

    Yanga kushindwa kutinga robo fainali sababu kubwa

    Yanga ni timu bora sana, tumeshindwa kufuzu robo fainali Klabu bingwa Africa sababu ya kupoteza kizembe mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya Al Hilal na baadae kufungwa ugenini na Mc Alger hivyo kulazimika kucheza kwa presha kubwa na ufundi kupungua kwenye mechi zilizokuwa mbele yetu. Tukumbuke...
  15. M

    Hongera sana Ally Kamwe kwa uungwana wako dhidi ya shabiki maandazi aliyempiga kibao Dokta Mohamed

    Nimehuzunishwa sana na kitendo cha shabiki wa Yanga kumtandika ngumi ya uso mwanachama wa Simba Doctor Mohamed akiwa anahojiwa na chombo cha habari, shabiki huyo aliyekuwa amefuatana na Ally Kamwe wakiwa wanatoka uwanjani alimtandika kibao dokta Mohammed kufuatia Yanga kuondolewa mashindanoni...
  16. M

    Injinia Hersi nakushauri ishi vizuri na wenzako ndani ya Yanga, vinginevyo wenye Yanga yao watakukwamisha sana, leo timu ilipigwa pini

    Yanga ni wapinzani wangu na siwapendi, nimefurahi sana kuondolewa leo maana tusingekaa mjini, maneno ya shombo ya zungu pori, maneno ya hovyo ya Ally Kamwe yangetuchoma sana sisi watu wa Simba. Eti wangeshinda leo wangekuwa nafasi ya 5, ujinga kabisa.Ila nnao uhakika kuwa Yanga wamepigana pini...
  17. Shooter Again

    Wawekezaji tumefurahi yanga kutolewa

    Wawekezaji tumefurahi yanga kufumuliwa hatua ya makundi Ili nguvu zote azielekeae ligi za ndani Ili tuanze kupiga minotii japo Leo nimepata ya supu ila pia nimefurahi yanga kutolewa pia ila kazi ndio imeanza rasmi.
  18. sonofobia

    Nasikia maumivu makali sana Yanga tumeshuka kiwango

    Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga. Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
  19. Vincenzo Jr

    FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

    Gusa. Achia. Twenda kwao. Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi. Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali. Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za...
  20. Its Pancho

    Utabiri wa ukweli: Yanga atashinda 4-0 na Simba atakandwa 3-1

    I salute you kinsmen. Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga Yanga atashinda goli 4 Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja, Simba watakandwa 3-1 Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
Back
Top Bottom