yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. Bigmaaan

    Sakata la Simba na Yanga, kuna 'Chess game' ilichezwa?

    Mbona kama vile kuna naona hapa ilipangwa long strategy na Simba. 1. [Kama ni kweli] Simba hawakuomba kutumia Uwanja, walifanya kusudi na mtego. 2. Simba wasusie Match ya Tar 8. 3. Bodi ya ligi iifute match. 4. [Kwa usahihi/kwa kutokuwa sahihi—wanaingia kwenye mtego] Yanga wanasusia match...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    Bodi ya Ligi: Tiketi za Simba Vs Yanga zitatumika tarehe itakayopangwa

    Ofisa habari wa TPLB, Karim Boimanda amesema kuwa viingilio vya mchezo huo vitatumika katika tarehe ambayo utapangwa kuchezwa tena. “Tiketi zinarejeshwa kwenye kadi na zitasalia hapo kwa hiyo zitakuja kutumika kwenye mchezo huu namba 184 siku ambayo utachezwa,” amesema Boimanda.
  3. The Burning Spear

    Simba na Yanga ni mtaji wa Serikali mnawalaumu TFF na Bodi ya ligi Bure tu

    Amini nawaambia hii issue isingekuwa simba/Yanga kuna timu ingekiona cha mtema kuni. Simba na yanga zinadekezwa na serikali na ndiyo jeuri yao kubwa TFF hawana meno. Kipindi kile game imesogezwa masa 3 mbele kisa birthday ya mwinyi yanga akachomoa bettry na hakufanywa kitu. Leo yametokea...
  4. Pdidy

    Ifike wakati Simba na YANGA zisifanywe kama vitega uchumi vya chama cha Mpira na BODI yake ya li..mbona mechi na pamba amkuhairisha huo n ujingaaaa!!!

    Shida iliopo n upigaji WIZI Na utapeli Nakuheshimu kama tff na BODI YENU Ila siwaogopi Ogopa DHAMBI ya kuwaogopa watu Kuwaogops wanadamu n kuleta LAANA maishani mwako HAya mambo yafike wakati yafike fiffa na caf tupate uhalisia WA matumizi ya kanuni na sheria za tff Haiwezekani wewe UNAWEKA...
  5. Powder

    Wanasheria Mje mtusaidie: Naweza kufungua Kesi Mahakamani kudai kurudishiwa Gharama zangu Kwa kuahirishwa Mechi ya Yanga na Simba.

    Inawezekana kukawa na Upenyo wa Kisheria Kwa Watu ambao wanenunua Ticket, wengine wamelipia Usafiri wa Ndege, Ma bus ama kutia Mafuta kwenye magari Yao kuja Dar es salaam. Wamelipia Hotel ama Gesti, Sasa wanaambiwa Mechi imeahirishwa na Bodi ya Ligi. Hakuna namna Mashabiki wanaweza kufungua...
  6. M

    TFF, najua Simba itapokwa pointi kwa kutoingiza timu uwanjani na Yanga mtawaadhibu kwa kuwazuia Simba wasifanye maamuzi ila Haji Manara msimuachie

    Mm nawaza hili jambo lazima litatokea tu maana mpira wa bongo una changamoto za mda mrefu sana, yote kwa yote kwa vile wao wameshasema hawatacheza tena najua mtawapa pointi 3, lkn kubalansi mambo Yanga mtawaadhibu kwa kuwazuia simba wasifanye mazoezi ila Haji Manara amewadhalilisha sana na...
  7. Upekuzi101

    Siku nyingine ya derby mashabiki Simba na Yanga hatutakuwepo

    Nimefuatilia sakata la derby ya Simba na Yanga Tanzania 08.03. 2025, itoshe kusema Bodi ya ligi mmehujumu ligi kuu ya mtanzania na mnapaswa kuwajibika, Simba na Yanga mnapaswa kuwajibika, mashabiki tumekwishawajibika. Siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa soka Duniani imekuja...
  8. B

    Simba SC, TFF wakitoa maamuzi kwa kupendelea Yanga, option iwe moja tu kuhama ligi na kupeleka timu kwenye ligi ya South Africa au Nigeria

    Kwa sababu bodi ya ligi na TFF wameshindwa kuendesha ligi kwa kuipendelea Yanga. Maumuzi watakayofanya juu ya sakata hili ni ya kukurupuka ili kumfurahisha baadhi ya vigogo huko serikalini. Hivyo Simba SC isitishwe na uamuzi wowote hasi kuja kwao ila uamuzi wa club ueleweke mapema BILA Yanga...
  9. D

    No 3 points for Yanga, no TFF

    Ifike mahali ukweli usimame na uongo/ulaghai ushindwe. Kuna udhaifu mkubwa sana katika uongozi wa TFF iwe ni kwa sababu za maksudi au kwa ukosefu wa weledi. Pengine ni wakati Sasa Uongozi wa TFF ujifakari na uachie ngazi. Huwezi Kiongozi taasisi nyeti kama TFF ilihali moyoni umejaa Mahaba na...
  10. THE FIRST BORN

    Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

    Usilete matusi Yako hapa, Nimeamka nimepitia Mitandao yangu pendwa miwili X formerly known as Twitter na JF. Nilichokiona hata waliokua wanatetea swala la Simba mapema Ile wamegeuka nao saiv wanailaumu Bodi.
  11. D

    Serikali iingilie kati haraka huu uharibifu wa akili unafanywa na Simba na Yanga; wakuu wa shule wameshaingiliwa nao

    Wanagroup huko linaitwa HMS TANZANIA. Huko tayari limejaa ujinga ujinga mtupu wa habari za Simba na Yanga. Lengo la group kujadili taaluma halipo tena.....muda wote ni mpira tu wa Simba na Yanga Huku Kila upande ukijitahidi kuwa muongo kwa Kadiri ya uwezo wake Ili tu kujifurahisha. Leo tena...
  12. Mwande na Mndewa

    Mazoezi ya nusu saa yahairisha mechi ya Simba vs Yanga

    Leo 18:50hrs 08/03/2025 Simba ina sifa ya kugoma ila Yanga ina sifa ya utii na kufuata kanuni,sasa leo sababu ya utoto kabisa imehairisha mechi,hawakufikiria gharama za watu kutoka mikoa 31 waliokuja Dar es Salaam kuangalia mechi ya Simba na Yanga,mtaani watu wamepamba Maputo rangi nyeupe na...
  13. kipara kipya

    Upuuzi, ushamba, kuamini watu wasio na elimu, utoto na imani za kishirikina zimeigharimu Yanga

    Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga) Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga) Leo kwa aibu wanang'ang'ania...
  14. ngara23

    Nitawadharau Yanga mkicheza mechi itakayopangiwa tarehe nyingine dhidi ya Simba

    Eng Hersi na bodi ya timu yetu ni viongozi makini na nawaheshimu sana Kituko cha Leo Simba kususia mechi, Naona kanuni ziko wazi na zipo upande wa Yanga Kwa vyoyote vile mechi haikupaswa kuhairishwa na bodi ya ligi Hapa wamefanya uhuni Simba hawakutoa taarifa Kwa management ya uwanja kuwa...
  15. U

    Mechi ya Yanga na Simba iwe game ya 30 kwao kuondoa mzizi wa fitina

    Sasa Baada ya Kuona Mikiki mikiki ya kukimbiana na kuogopana baina ya simba na yanga, ikichagizwa na mambo ya kishirikina na msururu wa majeruhi kwa timu ya Simba, hivyo kulingana na siasa za mpira wa tanzania na Ukubwa wa Simba na Yanga , ambazo kiuhalisia zina nguvu kuliko hata TFF na Bodi...
  16. GANJIBHAAI

    Kama kweli Mechi imeahirishwa kwanini wameruhusu kikosi cha Yanga na Mashabiki wake kuingia Uwanjani?

    Inamaana kwa Mkapa hakuna Uongozi, kanuni na taratibu? Ama kweli mapenzi yakizidi hugeuka kituko.
  17. M

    Hebu angalieni aibu hii, Bodi wameahirisha mechi lkn Yanga wameruhusiwa kupeleka timu uwanjani, very unprofessional

    Kama mechi imeahirishwa wewe meneja wa uwanja kwann unaruhusu Yanga waingie uwanjani, mechi ushaambiwa haipo wewe umeruhusu Yanga waje na basi Lao waingize timu uwanjani, ulishindwa nn kufunga mageti na kuwajulisha uongozi wa Yanga kuwa mechi haipo na watu warudi majumbani. Kuruhusu Yanga...
  18. Waufukweni

    Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi

    Wakuu Ubaya Ubwela umewageukia! Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi Tazama video hii ya tukio husika Mwendelezo: Kikosi cha Simba, kimeondoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kurejea kambini baada ya...
  19. The Watchman

    Ally Kamwe asema kikosi cha Yanga kitawasili saa 11 uwanjani kujiandaa na Mechi ya dabi leo jioni

    Meneja Habari Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe anasema timu itawasili uwanjani saa 11:00 jioni kujiandaa na mechi ya leo jioni. Itakumbukwa bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kupitia Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imetangaza kuahirisha Mchezo wa Yanga dhidi ya Simba kwa mujibu...
  20. Megalodon

    Kiuhalisia Simba na Yanga ndio zinaharibu ukuaji wa Soka nchini Tanzania

    Hizi timu mbili bila kuwekewa Discipline na sheria kali soka letu halitokuwa. Taratibu za mazoezi zipo wazi kwa mwenyeji na mgeni. Wasimamizi wa Uwanja wanajulikana na wenye mamlaka ya kuruhusu nani aingie nani asiingie wanajulikana; je mabaunsa wa Yanga wananafasi gani kwenye Utaratibu wa...
Back
Top Bottom