youtube

  1. N

    CHADEMA mnatuangusha, mnashindwaje ‘Live Streaming’ hata YouTube? This is unacceptable

    Muda huu naangalia ACT-Wazalendo wako kila sehemu Live YouTube. CHADEMA hakuna kitu. Clips fupi fupii na za hovyo. Na hata Jana ilikuwa hivyo hivyo Arusha. Wiki iliyopita, Mbagala na Segerea same. Mimi CCM lakini napenda kumuona Lissu, na ntampigia Kura. CHADEMA ni chama kikubwa, badilikeni...
  2. I am Groot

    YOPE REMIX yatinga zaidi ya views 100 Million katika mtandao wa YouTube

    Most popular of the videos is the song 'Yope remix' where he featured Innos' B from Congo, which has so far gained some 106million views today. Diamond platnumz mimi kama shabiki yako mkubwa ninakupa pongezi...
  3. chiembe

    Aliyetoa wazo la kusajili YouTube Channels pia aangalie namna ya kusajili akaunti za facebook,kuna video zinarushwa tena laivu,wapinzani wamejaa huko

    Naona teknolojia inataka kuipiga kumbo sheria yetu iliyokuwa inadhibiti traditional media-magazeti-tv-redio. Hizi ilikuwa rahisi, unapiga pini tu wote kimya. Lakini sasa teknolojia inataka kuleta mchezo wa paka na panya,tunakaba huku, teknolojia inaleta hiki,unakaba hiki, inaleta hiki, ila...
  4. Victoire

    Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

    Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupunguza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa. Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani...
  5. K

    TCRA hivi mmeshindwa kufuatilia YouTube channels contents zilizosajiliwa?

    Kwa kweli ni kichefuchefu, watu wanafanya promo kama hawana wazazi au ndugu, mbaya zaidi wana promote Sodoma na Gomora na vitoto sijui walikuja kufanya kazi za ndani wakaasi? Manake ni zaidi ya huyo anayewasimamia (mkuu wa mashetani) Hebu fuatilieni hii channel ya Ophoro Tube. Kwa kweli ni...
  6. H

    Mlioshindwa kukidhi vigezo vya YouTube Monetization - nipo kuwasaidia

    Habarini, Kwa wale ambao wamekuwa YouTuber wanaweza kuwa wanafahamu shughuli iliyopo katika kuhakikisha wanakamilisha mchakato wa kufikisha watch hours 4000 jinsi ambavyo si mchakato mdogo ikiwa ndio kwanza unaanza na hauna mbinu za kuwezesha channel yako kutazamwa na watu wengi, lakini pia...
  7. sky soldier

    Tujadiliane hapa videos ambazo hazipo Youtube ila Watanzania wanapenda ziwepo wadau tupige views na pesa

    Nadhani kila moja jukwaa hili anajua youtube wanalipa pesa kwa videos zako unazokubali kuwawekea matangazo yao. Hakuna kipimo kimoja ama kilichokuwa fixed kujua malipo ni kiasi gani kwa views kadhaa ila ukweli ni kwamba pesa ipo. Sasa naombeni wadau tupeane idea za niche gani ambayo wabongo...
  8. CalvinKimaro

    Mbunge anajadili bajeti Youtube badala ya bungeni! Mwingine naye aliomba urais kupitia Youtube

    Karibu wiki nzima bunge lilikuwa linajadili bajeti. Mbunge Zitto Kabwe hakuonekana bungeni hata siku moja kuchangia mawazo. Sasa kaibuka na comedy ya hotuba ya kuchambua bajeti YouTube. Kesho kaitisha press conference eti kufanya uchambuzi wa bajeti. Hivi anajitambua? Mbunge uache shughuli nyeti...
  9. srinavas

    MJADALA: Je, ni kwa namna gani YouTube humlipa mmiliki wa account?

    MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU MADA HII Habari ndugu zangi , Kama kichwa kinavyouliza hapo , ningependa kujua ni kwa namna gani kupata subscribers wengi na viewers wengi kwenye you tube , kunaweza kukunufaisha mmiliki... Tafadhali kama kuna mwenye majibu , ushuhuda, uzoefu au elimu yoyote...
  10. J

    JF DIGITAL SKILLS: Zuia matangazo katika video za YouTube kwa mbinu hii rahisi

    Mtandao wa YouTube umejizolea umaarufu kwa kuwa kituo na jukwaa kuu la taarifa na burudani kwa njia ya picha mjongeo (Videos) Aidha, kwa nyakati tofauti watumiaji wake wamekuwa wakikerwa na mlolongo wa matangazo kila wanapofuatilia ua kutazama video kupitia YouTube Mbinu rahisi ya kuzia...
  11. Sele Mkonje

    Hongera Diamond kwa kuwa msanii wa Kwanza Afrika mashariki Kufikisha 1Bilion Views on Youtube

    Leo wakati nataka kuchek Quarantine ya Diamond nikajikuta nashuhudia maajabu na rekodi mpya ambayo Diamond Platnumz ameivunja. Tukio lake la kuweka rekodi hiyo limetokea dakika chache zilizopita. Diamond anafuatiwa na Millard ayo ambaye kwa sasa ana viewers M933 na huku King wa bongo Fuleva ana...
  12. Program Manager

    Diamond Platnumz ang'ara kwenye jarida la Billboard kwa kufanya vizuri Youtube

    Mtandao maarufu wa kupanga charts za muziki duniani wa Billboard umeachia makala wakielezea namna ya kupata mafanikio kimataifa kwa kutumia mtandao wa Youtube huku wakimtolea mfano star wa muziki wa Tanzania @Diamondplatnumz Makala hiyo imeandikwa "Wanamuziki wa Marekani wanatafuta njia za...
  13. mfianchi

    Youtube video downloader kwenye Macbook

    Wakuu kama kichwa kinavyojieleza nahitaji software ya kushushia video kwenye Youtube kwenye Macbook, ikiwa zipo zeye funguo tafadhali nishushie na funguo zake
  14. mkiluvya

    Trump asaini sheria inayolenga Kuibana Mitandao Ya Kijamii Ikiwemo Twitter, Facebook na Youtube

    Rais Donald Trump wa Marekani jana Alhamisi alisaini Amri ya Utendaji (Executive Order on Preventing Online Censorship) inayolenga kuongeza uwezo wa serikali kusimamia na kuibana mitandao ya kijamii. Amri hiyo inalenga kampuni zilizopewa ulinzi wa kisheria kupitia kifungu cha 230 cha Sheria ya...
  15. sky soldier

    Almasi inang'aa: Diamond yumo katika video tisa (9) zinazotrend Tanzania Youtube

  16. Mshumaa_Tz

    YouTube sahivi ndo kipimo cha muziki mzuri

    Naomba nisiwe Mnafiki YouTube sio kipimo cha muziki Mzuri. Naona watu kila siku wanalilia views kuliko kurequest ngoma kweny TV na radio . Nyimbo ikifanikiwa kupenya kwenye radio za bongo na nje , pia na Television hapo hata sisi tusiokuwa na smart phone nyimbo Tutailewa ...na msanii atapata...
  17. Mkaruka

    USHAHIDI: Kumbe Wasafi wanaboost YouTube Channels zao kupata views. Sijui tambo huwa zinatoka wapi wakati siyo natural trending !!!

    Ninaweka kama kumbukumbu tu !! Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!!
  18. Nyenyere

    Kuhusu sheria ya kuweka video YOUTUBE

    Wakuu, Naomba kujuzwa kuhusu sheria iliyowekwa hapa Tanzania ya kupost content kwenye youtube channel. Je, ni content za aina gani ambazo zinapaswa kulipiwa hiyo tshs 1,000,000 au labda ni channel yoyote ile mradi tu unafungua youtube? Hii ni njia mbaya kabisa ya kuzuia vijana kujipatia...
  19. HELA

    Muwekezaji/mshirika anahitajika

    Salamu wakuu, Muwekezaji au mshirika anahitajika kwenye biashara ya televisheni mtandaoni kwenye jukwaa la YouTube. Kituo kipo tayari chenye watazamaji zaidi ya laki moja na nusu waliojiandikisha. Kinachohitajika 1. Uzalishaji wa maudhui -Vifaa na nguvu kazi 2. Leseni ya Mamlaka ya mawasiliano...
  20. Forgotten

    Hizi YouTube channel zinanimalizia bundle langu.

    .
Back
Top Bottom