youtube

  1. A

    SoC01 Njia 3 'blogging' inanisaidia kupata kipato na inavyoweza kufanya hivyo kwako pia

    Ulimwengu umebadilika, hatuwezi kukataa kuwa teknolojia imebadilisha maisha yetu. Siku hizi vitu ambavyo wazazi wetu hawakuwahi kuota kuwa vingekuwa vyanzo vya fedha, vimekuwa vyanzo vya kipato kwetu, na hali ilivyo ya ugumu wa ajira na huku wahitimu ni wengi, tumejikuta kuwa inatubidi tutafute...
  2. Kasomi

    Zifahamu Biashara zinazolipa sana mitandaoni

    Zifahamu Biashara Zinazolipa Zaidi Mtandaoni. Biashara hizi pia zinakuja na changamoto zake hivyo ni vizuri kuchagua unayoiweza Linapokuja swala la biashara mtandaoni ni wazi kuwa kila mtu ana upeo wake pamoja na uzoefu unaomsaidia kupata pesa mtandaoni, lakini pia kufanya biashara mtandaoni...
  3. Leak

    Diamond Platnumz na Wasafi hununua viewers? Wasafi wakubali kuwa wasanii wananua viewers, wahaha kuona wanunuzi wapya

    Wasafi Fm kupitia ukurasa wao wa instagram waliweka maneno ya msanii kutoka Nigeria ambaye alikuwa anasema kuwa wasanii waache kununua viewers wa youtube na akasisitiza kuwa anawambia wasanii wengine sio wanigeria maana wa uko Nigeria awawezi kununua viewers wa Youtube. Kwenye hili sikubaliani...
  4. sky soldier

    Ndombolo na saluti zote zimeshindwa kuwa namba moja youtube trending, tatizo nini?

    Imekuwa shughuli pevu kwa king (mfakme) kupata taji la namba 1 huko youtube Hapo wiki mbilizilizopita zuchu alimuwekea kauzibe king kiba, Ndomboloo ikashindwa kukamata namba moja Saizi kaachia salute lakini wapi, kuna uwezekano mkubwa wa zuchu kushika namba mbili.
  5. fatherhood

    Views za Harmonize YouTube kupanda ghafla zinatia shaka

    Njooni tujadili kupanda kwa viewers wa nyimbo zake , je ni kweli ananunua viewers. Nyimbo yake ya sandakalawe ilikuwa na viewers 400k baada ya masaa machache ikawa na viewers 1.5 m
  6. M

    CHADEMA someni maoni mitandao ya kijamii kwenye masuala yanayowahusu

    Nazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo. Ukienda kutazama post...
  7. Cannabis

    Huko ulipo unaipata youtube ?

    Wakuu , ningependa kufahamu huko mlipo kama mnaipata youtube. Naona wadau mbali mbali wanalalamika haifunguki, na nimethibitisha ila ukiweka VPN inafunguka kama kawaida. Ni nini kinaendelea ?
  8. sky soldier

    Saa 6 zimepita video ya salute ya Kiba haijatimba top 10 ya YouTube trending, je haina vibe?

    baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube. upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu...
  9. Superpower

    Msaada adsense on youtube

    Jamani naombani msaada hivi nikitaka kuconnect AdSense to YouTube channel nitalazimika niwe na website au hata nikitumia blog yenye Blogspot nayo itakaa poa.
  10. B

    Ali Kiba amfundisha Zuchu namna ya kufanya kazi Youtube

    VITA YA VIEWERS NA TRENDING KWENYE YOU TUBE. Baada ya Ali Kiba kuachia nyimbo yake ya Ndomboro na nyimbo hiyo kutrend kuanzia audio, dance akiwa na mwanae pia video yenyewe sasa official Zuchu naye kafuata ubunifu kama huo wa KINGKIBA wakuachia audio, dance akiwa na madancer wake ampapo baadae...
  11. teac kapex

    Naomba kujuzwa namna ya kuunganisha watumiaji wa Youtube wakati video ikiendelea

    Naomba nisaidiwe ni njia gani wanazotumia, mfano wakati kuna tukio fulani linaendelea utakuta watu wengine wanaangalia tukio hilo LIVE ni nini kinatakiwa kuwepo? kwa mfano nikiwa Kanisani na ibada inaendelea nataka watu wengine waone ibada hiyo LIVE kupitia youtube je ni vifaa gani...
  12. beth

    Urusi yatishia kupunguza kasi ya Google

    Urusi imetishia kupunguza kasi ya Google ikiwa itashindwa kufuta kile ambacho Taifa hilo linaita ni maudhui yanayovunja Sheria huku Mamlaka ikitoa saa 24 kwa video zinazohusiana na Dawa za Kulevya na vurugu kuondolewa. Kampuni hiyo pia umeshutumiwa kuminya Mtandao wa YouTube kwa Vyombo vya...
  13. sky soldier

    Mtu anaweza kununua views, comments, likes na subscribers. Zijue sababu na vikwazo

    Nimekuwa nikishangaa sana kiasi kufikia mpaka kuona aibu kwamba naishi na jamii ambayo ipo nyuma sana kwenye maswala ya teknolojia. Haya mambo ya kununua youtube views katika ulmwengu huu yapo tangu zaidi ya miaka 10 lakini inatia aibu kwamba hata baadhi ya wasomi wameuwa wabishi, Watu kununu...
  14. Kasomi

    JF ingekuwa YouTube

    Kama JF ingekuwa kama YouTube ili kuvutia wasomaji hivi ndivyo nyuzi zingesomeka. 1- Zulu man with some power na miminimkulimaakachekasana waomba kufupishwa majina yao. 2- beaf la Bujibuji na The Icebreaker laingiliwa na ndege JOHN 3- Mshana Jr akutwa na ungo kwenye nyumba ya SHIMBA YA BUYENZE...
  15. Kidagaa kimemwozea

    Wasanii mnaoibukia kulikoni? YouTube ni hovyo sasa

    WASANII MNAOIBUKIA KULIKONI? KWANI YOUTUBE NI HIVYO SASA 😨 Sikatai kuwa hata mchicha na mbuyu vilianza sawa, lakini Huu mtindo wakuomba sub 4 sub au kuomba views Na subscribe inbox kama utawafikisha pahali! Niukweli mchungu lakini muupekee hivyo hivyo. Kuna madhara makubwa yakumwomba mtu...
  16. Kasomi

    YouTube Yafuta viewers kwenye wimbo wa Harmonize

    Mtandao wa YouTube wenye makao makuu yake Marekani. Umefuta baadhi ya viewers kwenye wimbo wa ATTITUDE wa msanii Harmonize aliyo mshirikisha Msanii wa Zamani H. Baba pamoja na msanii wa Lumba kutoka nchini Congo Awilo Longomba. Utaratibu wa kufuta Viewers hua upo katika mtandao wa YouTube...
  17. nagG

    Emmanuel tv youtube channel imefungwa, saidia kuirudisha

    Kama ni mfuatiliaji wa Emmanuel Tv kwa maombi na mahubiri ya Prophet Tb Joshua utakua unaifaham channel pendwa ya Emmanuel Tv youtube channel kwani watu hupata maombi na mahubiri kupitia channel hii, hivi karibuni youtube imeifungia channel hii kwa sababu zisizo za msingi hivyo basi unahitajika...
  18. Tz boy 4tino

    East African musicians with most YouTube Subscribers

    East African music industry.
  19. Binadamu Mtakatifu

    Natafuta blog and youtube channel partner

    Hi nimetengeneza blog na youtube channel yake na Android app ya blog nahitaji partner wa kifanya nae kazi ya kuiendeleza kwa faida ya 50/50 ila bado aijaanza kuingiza mapato kwa sasa link ya blog iihapo na soon nitanunua domain name mpya www.supersoundtz.blogspot.com njoo Pm tuyajenge sitozi pesa
  20. Shadow7

    Diamond Mfalme wa Youtube kwa wasanii Kusini mwa Jangwa la Sahara, aweka rekodi nyingine

    Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amepiga hatua nyingine kubwa katika kazi yake ya muziki. Diamond kwa jina halisi Naseeb Abdul amekuwa mwanamuziki wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kupata subscriber milioni tano katika mtandao wa Youtube, kupitia chaneli yake ya youtube. Mbali na...
Back
Top Bottom