zambia

  1. B

    Kwanini Mwigulu hapendekezi tuhamie Zambia?

    Amesikika Mwigulu kila anapotusokomeza tozo akijimwambafy. Kama hatutaki tuhamie Burundi. Kwanini siyo Zambia ambako utawala wa haki kwa sasa ndiyo kwao? Kwanini kutuchulia hivi huyu ndugu? Kwa kutuona je haswa?
  2. Mpwayungu Village

    Rais wa Zambia karudi kwao usiku wa Jana kutoka Congo, ana majukumu mengi ya kitaifa

    Rais wa Zambia [emoji1268] mheshimiwa Hakainde Hichilema alienda Juzi Congo kwenye mkutano wa SADC, Jana walipomaliza tu mkutano akakwea pipa akasepa. Hana tamaa za kutaka kukaa mda mrefu kwenye ma.Nchi ya watu anajua kwake Kuna majukumu mengi yakulijenga Taifa. Hongera sana mwanademokrasia...
  3. MURUSI

    Zambia: Rais Hakainde Hichilema awataka Watumishi wa Serikali wanaotaka VX wajinunulie kwa pesa zao

    Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amewataka Watumishi wa Serikali wanaotaka wapewe magari ya kifahari aina ya Toyota Land Cruiser VX kwa ajili ya kuyatumia kwenye kazi wasahau hilo na kama wanaona yana umuhimu sana basi wajinunulie wao lakini sio kwa pesa za Serikali. Hichilema amehoji “Kwanini...
  4. A

    Revamping of the Tanzania-Zambia Railways -TAZARA- will bring about economic growth for Zambia

    Former Mufulira Member of Parliament EVANS CHIBANDA says the revamping of the Tanzania-Zambia Railways -TAZARA- will bring about economic growth for Zambia. Dr. CHIBANDA further says actualising the agreements to expand the TAZAMA Pipeline following change in objectives from transportation of...
  5. Roving Journalist

    Rais Samia ampokea Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema aliyekuja kwa ziara ya siku moja

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimpokea Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Rais Hichilema amekuja nchini kwa ajili ya ziara ya Kiserikali ya siku moja. Ziara hiyo inakusudia kuimarisha zaidi mahusiano mazuri...
  6. JanguKamaJangu

    Mke wa Rais wa zamani wa Zambia ahojiwa tuhuma za rushwa

    Esther Lungu ambaye ni mke wa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amehojiwa na Wakala wa Kupambana na Utakatishaji Fedha wa Zambia kuhusu umiliki wake wa nyumba za kisasa zilizopo katika Mji wa Lusaka. Nyumba hizo 15 ziliweka chini ya uangalizi maalum mwezi huu zikidaiwa kuwa zilipatikana kwa...
  7. OffOnline

    Tanzania ndio nchi yenye mzigo mdogo wa deni Afrika Mashariki kwa sasa

    Wale wanaopiga kelele kwamba Tanzania tunakopa na tumekopa Sana msikilize huyu Mwamba vizuri ndio utaelewa kwanini Mungu alimleta Rais Samia wakati huu, Mkuu wa mkoa wa Simiyu akihojiwa na kituo cha redio cha E-FM amedadavua kwa undani Sana swala hili la deni la Taifa, RC Kafulila anasema...
  8. Mr Dudumizi

    Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

    Habari zenu wana JF wenzangu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika zunguka zunguka yangu yote katika nchi mbali mbali nikianza na nyumbani Tanzania, kwa kweli sijawahi kuona nchi yenye amani na usalama wa hali ya juu kama Zambia. Kwa wale wenzangu waliowahi kuikanyaga nchi...
  9. Lady Whistledown

    Nahodha wa Timu ya Taifa ya Wanawake ya Zambia atolewa kwenye michuano ya WAFCON

    Barbra Banda ameondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) baada ya kufeli vipimo vya “kustahiki jinsia” kutokana na kiwango chake cha homoni za testosteroni kuwa juu kupita kiasi Wachezaji wa kike wanapaswa kuwa na kiwango kidogo cha homoni ya testosteroni...
  10. L

    Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano nchini Zambia uliofadhiliwa na China wakamilika

    Hafla ya kukabidhi Kituo cha Kimataifa cha Mikutano kilichojengwa kwa ufadhili wa China imefanyika jana katika mji mkuu wa Zambia, Lusaka.. Akizungumza kwenye hafla hiyo, Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amesema, tangu Zambia ipate uhuru, China imetoa misaada mingi katika juhudi za kuhimiza...
  11. N

    AIBU: Tanzania haina bus la parade kwa mabingwa kuonyesha kombe,Utopolo kakodini zambia

    Amini usiamini nchi nzima hii haina bus yale kama yanayotumika nchi zilizoendelea kufanya city guiding tourism , yaani huku team ikishinda ni wachezaji na benchi la ufundi ni kupakizwa kwenye ma fuso au tandam, Godamn it Natoa rai kwamba msogee hapo zambia tu mkakodishe hili bus ndugu zangu...
  12. Camilo Cienfuegos

    Tanzania iliwahi kumkataa Balozi wa Zambia nchini

    Ni baada ya jina la balozi huyo kuwa na maana mbaya kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania. Kumbe jina linaweza kukunyima ulaji.
  13. Kichuguu

    Hichilema wa Zambia kama Magufuli wa Tanzania

    Mambo makubwa mawili anayofanya Rais wa Zambia katika kujenga nchi leo ndiyo aliyokuwa anafanya Magufuli enzi za uhai wake. Leo hii Zambia wanafurahi.
  14. GENTAMYCINE

    Je, Marais wengine wa Afrika Wana aina hii ya 'Uzalendo' aliyonayo Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema?

    Rais wa Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema hajapokea Mshahara wake kutokana na hali Ngumu ya Kiuchumi kwa Miezi Nane iliyopita tokea aingie Madarakani. Chanzo: Radio One Taarifa ya Habari Asubuhi hii. Je, unadhani na Marais wengine unaowajua Weww hapa Barani Afrika wangekuwa na Uthubutu huu...
  15. B

    Rais wa Zambia mwezi 8 ofisini bila mshahara, Wazambia kwanza

    Rais Hakainde Hichilema wa Zambia mwezi wa 8 sasa hajawahi kupokea mshahara. Kwake wazambia kwanza: Kwetu si mishahara yao na posho tu zilizo nona haswa, bali sisi kukamuliwa kweli kweli. "Kwetu ni self service." Nani anasema tatizo letu si katiba? Si kuwa tuna watu madarakani ambao...
  16. B

    Zambia: DEC arrests Malanji for money laundering, Seize his two Helicopters and a Hotel

    Waziri wa zamani wa Zambia ameingia matatani kwa ufisadi. Karibuni kanunua helicopter ya $700,000. Kwa mapato yapi huko serikalini? Alikuwa na mahoteli na mali lukuki. Hawa ndiyo wale wazalendo sasa kama wetu, ambako huko kuna siri zisizopaswa wenye nchi kuzijua. Kwani hapa kwetu ni tofauti...
  17. GENTAMYCINE

    Chama wa Simba SC ameitwa Timu ya Taifa ya Zambia; Je, akina Mayele na Bangala nao wameitwa Timu ya Taifa ya Congo DR?

    Kuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili...
  18. John Haramba

    TANZIA Rais Mstaafu wa Zambia Rupia Banda afariki dunia

    Rais wa zamani wa Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85 baada ya kusumbuliwa na saratani ya tumbo. Mtoto wa Banda ameeleza kuwa baba yake amefikwa na umauti Ijumaa Machi 11, 2022 baada ya kuumwa kwa muda mrefu. Banda, raia wa nne wa Zambia alikuwa madarakani mwaka 2008...
  19. Roving Journalist

    Timu ya Taifa ya Pooltable yaifunga Kenya 13 – 9, mashindano Afrika Nchini Zambia

    TIMU ya Taifa ya Pooltable Waanaume imeanza vyema mashindano Afrika kwakuwafunga majirani Kenya 13-9 katika mchezo wake wa kwanza wa mashindano hayo yaliyoanza leo Nchini Zambia. Mashindano hayo yameanza kwa makundi A na B ambapo kundi A ni Tanzania, Kenya Uganda na Zimbabwe wakati kundi B ni...
  20. sky soldier

    Ushuhuda: Kusomesha mtoto shule ya kiingereza yenye walimu wa Zambia/Malawi /Kenya /Uganda kuna afadhali zaidi kuliko walimu wa hapa kwetu

    Hiki kitu nimeshuhudia kuna mtoto wa ndugu yangu anasoma shule flani ya msingi darasa la nne, ni shule ya mtaala wa kiingereza ila walimu ni wa hapa kwetu, huwa anafaulu vizuri tu lakini kuna maswali aliniletea nimsaidie ya social studies (maarifa ya jamii) sasa nikawa namweleza swali...
Back
Top Bottom