Historia inaonyesha mlima Kilimanjaro ulikuwa Kenya na Mombasa ilikuwa Tanganyika. Ila ukoo wa ufalme wa Uingereza ukapeana zawadi. Mlima ukaja Tanganyika na Bandari ya Mombasa ikaenda Kenya. La sivyo Kenya ingekuwa haina Bandari na Mlima Kilimanjaro na wachaga ungekuwa Kenya.
Nasema...
Je Kujikuna ni Zawadi Itolewayo na Ubongo?
Je Ni Kwanini Unahisi Raha na Adha Unapojikuna?
Salaam Wadau!
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Unapohisi muwasho kwenye mwili wako ni dhahiri kuwa utatamani ukune (scratch) sehemu husika.
Hata wanyama wengine hufanya hivi pia...
Bwana mmoja mwenye ndevu nyeupe alifanya uvamizi wa benki siku mbili kabla ya Krismasi na kuzirusha juu kwa furaha na kuwatakia kheri ya siku kuu wapita njia, mashuhuda wameeleza.
Polisi wamethibitisha "mwanaume mzee wa kizungu" alivamia benki ya Academy mjini Colorado Springs, Marekani siku ya...
Habari zenu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi?
ila huyu kaka kunipenda ananipenda...
Kama nakosea Mungu anisamehe. Nachoamini huyu Mkapa ndio alimpora Maalim Seif urais wa Zanzibar.
Pili huyu ndio mwasisi wa ubavu ubavu na ubabe inakuwaje leo katoka madarakani na anaonekana kachoka ndio anatubu.
Kwanini asiwambie aliowaweka madarakani watende haki? Kwanini alazimishe...
Naamini muwazima wa afya, awali ya yote niwapongeze wote mliobahatika kupata mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).
Hiyo ni haki yenu kwani vigezo na sifa za kupata mkopo umevitimiza. Pia poleni kwa wote ambao hamjapata mkopo, pia nanyi vingezo na sifa naamini mnavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.