zawadi

  1. CalvinKimaro

    Zawadi ya mlima Kilimanjaro ilipaswa tuichambue

    Historia inaonyesha mlima Kilimanjaro ulikuwa Kenya na Mombasa ilikuwa Tanganyika. Ila ukoo wa ufalme wa Uingereza ukapeana zawadi. Mlima ukaja Tanganyika na Bandari ya Mombasa ikaenda Kenya. La sivyo Kenya ingekuwa haina Bandari na Mlima Kilimanjaro na wachaga ungekuwa Kenya. Nasema...
  2. patience96

    Je kujikuna ni zawadi itolewayo na ubongo?

    Je Kujikuna ni Zawadi Itolewayo na Ubongo? Je Ni Kwanini Unahisi Raha na Adha Unapojikuna? Salaam Wadau! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Unapohisi muwasho kwenye mwili wako ni dhahiri kuwa utatamani ukune (scratch) sehemu husika. Hata wanyama wengine hufanya hivi pia...
  3. Avriel

    Mbunge Lameck Airo agawa pipi na bazoka kwa wagonjwa wodini

    Video fupi ikumuonyesha mbunge Wa Rorya ndugu Lameck Airo ( Lakairo) akigawa jojo na pipi kwa wagonjwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Analogia Malenga

    Mzee aiba pesa na kuzitoa kama zawadi akisema 'Merry Christmas'

    Bwana mmoja mwenye ndevu nyeupe alifanya uvamizi wa benki siku mbili kabla ya Krismasi na kuzirusha juu kwa furaha na kuwatakia kheri ya siku kuu wapita njia, mashuhuda wameeleza. Polisi wamethibitisha "mwanaume mzee wa kizungu" alivamia benki ya Academy mjini Colorado Springs, Marekani siku ya...
  5. ahter

    Zawadi kwa wanaJamiiForums wote

    hii ni kwa wote wanaopenda mesage, na kama unao ujumbe tuma nikutengenezee ikiwa ni zawadi special. zangu mimi kwenu ni hizi
  6. E

    Roho inasita kumpatia mpenzi wangu Zawadi

    Habari zenu, Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi? ila huyu kaka kunipenda ananipenda...
  7. Return Of Undertaker

    Benjamin Mkapa: Natamani kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, Wapinzani wahusishwe kwenye kupiga na kuhesabu kura na kutangazwa mshindi

    Kama nakosea Mungu anisamehe. Nachoamini huyu Mkapa ndio alimpora Maalim Seif urais wa Zanzibar. Pili huyu ndio mwasisi wa ubavu ubavu na ubabe inakuwaje leo katoka madarakani na anaonekana kachoka ndio anatubu. Kwanini asiwambie aliowaweka madarakani watende haki? Kwanini alazimishe...
  8. fagix

    Mkopo sio zawadi, 1st lazima mjue hilo

    Naamini muwazima wa afya, awali ya yote niwapongeze wote mliobahatika kupata mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB). Hiyo ni haki yenu kwani vigezo na sifa za kupata mkopo umevitimiza. Pia poleni kwa wote ambao hamjapata mkopo, pia nanyi vingezo na sifa naamini mnavyo...
Back
Top Bottom