zawadi

  1. isajorsergio

    Tafsiri ya zawadi ya nazi "Coconut"

    Habari, 👋🏽 Naomba kufahamu tafsiri ya zawadi inayohusu nazi (Coconut). Mtu akikupatia zawadi ya nazi inatafsiri nini katika maono au mitizamo tofauti?
  2. Makanyaga

    Unapata zawadi nzuri ukipata jibu sahihi la hesabu hii ya calculus

    To all students and graduates; QN: Integrate with respect to x: 1/lnx (one over natural logarithm of x)
  3. alsam

    Nahitaji kusaidiwa jina la biashara

    Habarini Wadau na Poleni na Upepo wa Corona. Nahitaji kufungua kampuni itayodeal na financial services. Hivyo naomba jina zuri ili niweze kulitumia. Zawadi ya elf 10000 itatolewa kama zawadi.
  4. BUMIJA

    Zawadi ni PESA, maua peleka kwa NYUKI

    Happy valentine watu wote. Ile itikadi ya kuwapelekea maua pekee bila zawadi imepitwa na wakati. Wanawake wa Tanzania kitu pekee kinachowafaa ni hela, Maua hayatatui shida zao
  5. kavulata

    BBI yamsogeza Kenyatta karibu na zawadi ya Nobel na Mo Ibrahim

    Nionavyo mimi tatizo kubwa la Kenya ni ukabila. Lengo kuu la BBI Bill ni kupunguza ukabila Kenya kwa kumfanya Rais wa nchi asiwe lazima awe Mkikuyu au aungwe mkono na wakikuyu. BBI inaelekea huko. Si ajabu mwaka 2022 kwa mara ya kwanza mjaluo akawa rais wa kenya.
  6. Erythrocyte

    Video: Freeman Mbowe ni miongoni mwa watu wachache wenye akili kubwa ambao Tanzania imebarikiwa kuwa nao , Asante Mungu kwa zawadi hii

    Sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
  7. F

    Wasomi wote ambao tunapitia maisha magumu zawadi ya mwaka mpya wimbo - Nimelimiss Bumu

    habari wadau wote wenye changamoto za kimaisha.. Vijana wengi kitaani tunapitia hali ngumu.. hii imenifanya niimbe wimbo wa kutuliwaza nimelimiss Bumu.. naombeni maoni yenu wapi nimekosea na wapi nimepatia heri ya mwaka mpya
  8. Forest Hill

    Zawadi gani nzuri ushawahi kutoa au kupokea?

    Habari zenu ndugu zangu, hopefully mpo salama,heri ya Christmass. Kama tunavyofahamu binadamu wote tunapenda kupewa zawadi kutoka kwa wapendwa wetu,zawadi zinafanya mtu ujisikie Bora Sana, mwenye kupendwa na kujaliwa,katika msimu huu wa sikuu labda umepokea zawadi au kipindi chochote kile Cha...
  9. Chakorii

    Naanza kupokea zawadi na mialiko ya Christmas mapema

    Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..😊😊wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalaki😁😁..wengine ndo kama sisi tu naona...
  10. Cvez

    2020 haikua mbaya sana, kama bado unapumua ni zawadi tosha

    2020 ulikua ni mwaka wenye majaribu mengi sana. Kiuchumi huu mwaka umechapa sana, wakazi wa Arusha, Bagamoyo na Zanzibar wanaweza toa ushuhuda. Nililojifunza mwaka huu kumbe mask kwa kiswahili inaitwa barakoa.
  11. Barbarosa

    Rais Magufuli tuachie zawadi ya Halmashauri zetu kujiendesha

    Wewe ni msimamizi mzuri na ukiamua kitu kinafanyika mifano ipo hai kama Makao makuu yetu kuhamia Dodoma wengine hawakuamini na walifikiri ni usanii lakini sasa hivi Mji wetu Mkuu Kikatiba kabisa ni Dodoma. Hivyo basi binafsi naamini kama Halmashauri zetu nchi nzima zikiweza kutumia sehemu ya...
  12. Pascal Mayalla

    Total yahitimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa kuselebuka na Jerusalema dance challenge, waahidi Watanzania zawadi ya X-Mass na Mwaka Mpya

    Wanabodi, Mimi ni mdau wa Total, na haya ni mambo ya Total Way wa Total ambao ni ma Sterling watatu wa vídeo maalum ya Total The Jerusaléma Challenge, wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, katikati, Meneja Mtandao wa Vituo vya Mafuta vya Total, Network...
  13. K

    Zawadi gani nitaje?

    Habarini, one of the fri
  14. Kanungila Karim

    Emmanuella ampa mama yake zawadi ya jumba la kifahari

    Mchekeshaji kutoka Nigeria, Emmanuella Mchekeshaji maarufu Nigeria na Afrika, Emmanuella Samuel ambaye sasa ana umri wa miaka 10 amemjengea mama yake nyumba ya kifahari na kumpa kama zawadi ya mapema ya Sikukuu ya Krismasi. Emmanuella amenukuliwa akisema amejenga nyumba hiyo kupitia faida ya...
  15. MoseKing

    CCM, Mfumo wa Chama kimoja na Kisa cha malaika wa Zawadi

    Kisa chenyewe! "Malaika mmoja alimtokea Mtu mmoja nyumbani kwake, akamwambia maombi yake kuhusu hali ngumu yamesikilizwa na hivyo anaweza kumwambia cochote akamsaidia. Ila kabla hajachagua kuna sharti moja tu, cochote atachokiomba JIRANI atapata Mara Mbili yake! Yule mtu baada ya kusikia...
  16. J

    Zawadi nzuri kwa mswazi mwenzangu

    Kuna mwanamke wa uswazi hapa kwetu, uswazini nimetokea kumpenda. Nikamsimamisha maeneo fulani kuongea nae, nikamtongoza, akanijibu nyodo. Sasa kwa sabu mi nampenda nataka nitumie njia ya zawadi kumlainisha. Kwa kipato changu cha kiswazi ni zawadi gani ya bei rahisi ? Nimewaza kuhusu vizawadi...
  17. Erythrocyte

    Mbarali: Dogo aliyepanda juu ya mti ili kumuona Tundu Lissu apewa zawadi ya vifaa vya shule

    Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani . Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno ! Unaweza kumsikiliza dogo...
  18. sumu-ya-panya

    Wazo la Biashara ya Kuuza zawadi

    Dunia inabadilika kila siku,binadamu amekua kiumbe hatari zaidi ingawa wenye upendo wapo na wabaya pia wapo. Ulimwengu huu ni wa usawa na haki hivyo kila mmoja wetu anahaki ya kupata sawa sawa na wengine kulingana na nafasi alio nayo. imekua rahisi kuonesha upendo kwa uwapendao kwa kuwatumia...
  19. Infantry Soldier

    Ram Singh: Kijana alidunduliza sarafu ndani ya gunia la kilo 35 kwa muda wa miaka 12 ili aweze kununua zawadi ya Friji siku ya birthday ya mama yake

    Ram Singh: Kijana alidunduliza sarafu ndani ya gunia la kilo 35 kwa muda wa miaka 12 ili aweze kununua zawadi ya Friji siku ya birthday ya mama yake. Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Zawadi ni Silaha ya Maisha

    ZAWADI NI SILAHA YA MAISHA Na, Robert Heriel Maandishi ya Robert Heriel Kwa Lugha ya Kiswahili. Haki zote zimehifadhiwa. Katika ulimwengu wa viumbe wenye utashi, zawadi ni moja ya nyenzo ya maisha. Zawadi hutolewa kwa viumbe wenye akili, utambuzi na tafakuri. Zawadi haitambuliki katika...
Back
Top Bottom