zawadi

  1. kavulata

    Zawadi za VPL msimu 2019/20, waliostahili ndio waliopewa?

    Binafsi ninawapongeza Vodacom, KCB, TFF, wachezaji na wadau wote walioandaa na waliopata zawadi za VPL kwa msimu wa 2019/20. Lakini sio vibaya pia sisi wadau watazamaji, wasikilizaji na wafuatiliaji wa mpira wetu nchini hasa VPL kuzijadili zawadi na kuwajadili waliozipata. Je, waliopewa zawadi...
  2. Sky Eclat

    Mzee wake ndiye aliyempa zawadi ya muhimu kuliko zote, ndiyo silaha yake kwa sasa

    Jana nilikutana na class mate wa utotoni. Tuliachana tukiwa shule ya msingi, mzee wao alistaafu walirudi kwao huko mikoa ya Bara. Huyu rafiki alikuwa mmoja wa vipanga darasani na aliitendea haki akili yake. Ana nafasi nzuri sana huko aliko. Katika maisha yake binti aliyemuoa alitoka famila ya...
  3. mwanamwana

    Somanga: Rais Magufuli asikitishwa na uzembe wa Wizara ya Ujenzi kutokarabati barabara Somanga. Azawadiwa jogoo

    Ilibidi niende Dar es Salaam kwa kutumia Ndege kutokea Mtwara lakini nimepita hii Barabara (Mtwara- DSM) makusudi nione hali yake, hii Barabara imeharibika, 90 KM zote zimeharibika. magari yenye uzito mkubwa yameharibu hii Barabara Barabara hii ya Mtwara - Lindi-Dar es Salaam imeharibika sana...
  4. J

    Wazee Kilimanjaro wamuandalia Rais Magufuli zawadi maalumu, mangi Mareale amuahidi ushindi wa kishindo Uchaguzi Mkuu

    Viongozi wa kimila mkoani Kilimanjaro wamemuandalia zawadi maalumu Rais Magufuli pindi atakapozuru mkoani humo hivi karibuni Mangi Marealle amesema mwaka 2015 hawakumpa Rais Magufuli kura za kutosha lakini mwaka huu wanamuahidi ushindi wa kishindo kutoka pande zote za mkoa wao. Chanzo: ITV...
  5. Mkogoti

    Hivi zile story tulizokuwa tunasoma shuleni bibi unamsaidia mzigo wa kuni kufika kwake anakupa zawadi hazipo?

    Kwema wakuu habari zenu? Nimejaribu kuwaza tu Tulipokuwa tunasoma au kuhadithiwa shuleni, hizo story kwenye maisha ya kawaida haya tunayoishi huwa havitokei kabisa Nimeona kuuliza maana mpaka kuandika huu uzi ni mambo mengi nafikilia natamani niwe natembea njiani nikutane na Bibi Mzee akiwa...
  6. victor moshi

    Dulla Planet wa East Africa akabidhiwa gari kali

    Wakuu pita pita zangu kule Instagram nimekutana na post ya Dulla wa planet bongo akishukuru uongozi wa East Afrca kwa kumkabidhi gari aina ya marcediz benz hii ni baada ya kukitumikia kituo hicho miaka 12. Je, hii ni mbinu mpya East Africa redio wamekujanayo baada yakuuona watangazaji wao wana...
  7. Idugunde

    Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Oktoba mwaka huu watanzania wanatoa zawadi za shukurani kwa Dkt. Magufuli

    Ukweli ndio huu anasisitiza huyu mzee. Anasema kura inazoenda kupata Ccm zaidi ya 95% ni zawadi kwa JPM na chama cha mapinduzi. Mfano tu kodi ilikuwa inakusanywa kwa wastani wa bil 800 lakini kwa muda wa miaka minne imefikia wastani wa tril 1.6. Hapo kwa nini wakulima na wafanyakazi wasimshukuru...
  8. Pdidy

    Umuhimu wa kuombea zawadi za harusi kabla ya kuzifungua

    Ni jamboo moja unaweza hisi la kawaida lakini limetesa ndoa nyingi sana sana mno bila wao kuzijua. Wapo walioshtukia lakini walishapigwa sana hata amani hakuna tena ndoa src yale mabox mliokimbilia kufungua Zawadi za harusi n jambo jema lakini kuziombea kabla ya kufungua ni bora zaidi. Watu...
  9. S

    Ndoto yangu usiku wa leo: Wale ndege aina ya "njiwa' walitolewa kama zawadi ili kuwaziba midomo waliopewa huko katika Bara fulani la mbali

    Usiku wa kuamkia leo nimeota kuwa kuna mfalme mmoja katika nchi ambayo jina limenitoka, katoa zawadi ya njiwa wazuri kwa watu mashuhuru katika sherehe aliyoiandaa kwa yeye kutimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa (Birthday). Nilijiuliza sana maana ya ile ndoto na baada ya kutafakari kwa kina...
  10. Roving Journalist

    Mjadala: Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Wanasiasa kutoa Zawadi kwa Wananchi, ni Rushwa au ni Kutimiza ahadi?

    Salaam Wakuu, Kuelekea Uchaguzi mkuu, Wanasiasa wamekuwa wakivalia nguo za vyama na kisha kuzunguka huku na huku kutoa Zawadi na kudaiwa kwamba wanatimiza ahadi walizozitoa 2015. Na hii imekuwa na pande mbili: 1). Anayetoa Msaada kama sio Mbunge au kiongozi yoyote wa Kuchaguliwa huwa...
  11. USSR

    Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

    Marais wa awamu ya Pili hadi ya Tano wamehudhuria hapa mama maria nyerere yupo hapa pia kama mke wa mwasisi wa Taifa hili Mh Rais amewazawadia marais wastafu zawadi ya ndege tausi 25 kila mmoja pamoja na hati za umiliki wa ndege hao, mc wa sherehe anasema tunao tausi zaidi ya 2800+ Ikulu ya...
  12. dvj nasmiletz

    Zawadi ya milioni 2 kwa wa kwanza kujibu hili swali

    Wakuu kuna swali dogo napenda niwaulize. Na yule wa kwanza kujibu kwa ufasaha basi anajipatia zawadi ya milioni 2. Ngojeni kidogo simu imezima chaji..ikijaa nakuja kuwauliza
  13. Pdidy

    Kayumba, Mshindi wa BSS 2015 aeleza ujanjaujanja wa zawadi yake. Mh. Mwakyembe msikalie kimya haya

    Niliwawahi andika miaka hii haya mashindano ni ya kitapeli Wapo waliodhihaki Nenda mtandao wa salehe jembe usikie mwenyewe mshindi wa enzi hizo Kayumba na zawadi alizopata. 1) Anasema wazazi walipewa mil 2 tu 2) Aliletewa gari ambalo alikuwa jipya nakuwambiwa utakuwa ukitumia 3) Alipelekwa...
  14. A

    Kupewa zawadi siku yako ya kuzaliwa

    Hivi mwanamke unaemfukuzia kukuletea zawadi siku yako ya kuzaliwa na huku wewe mwenyewe haujui kama ndo siku hiyo, kisha ukimuomba mzigo anazingua na hataki kusikia kitu kama hicho inamaana gani? Kila ukijaribu kula mzigo kimasihara anachomoa, geto hatokei na hataki kusikia habari yoyote...
  15. Parabora

    Baba Mkwe kapanga kunipa zawadi ya nyumba, viwanja na pesa za mtaji kama zawadi nikimuoa binti yake. Tatizo nimepoteza hisia na binti yake

    Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja ambaye tulikutana kwa mara ya kwanza masomoni UBELGIJI miaka 6 iliyopita, nilimpenda sana na kwa kweli tuliishi nae mda mrefu bila kukwichikwichi kutokana na misimamo yake... Huyu mdada kwetu anajulikana na kila ndugu wa karibu na hata kwao najulikana na wote...
  16. V

    Wale ambao hawajawahi kununuliwa zawadi na wapenzi/wake zao karibuni tufarijiane

    Habari zenu wanajamvi. Sijui ni mimi tu au wapo wenzangu ambao tangia waanze kuwa na mahusiano hawajawahi kununuliwa hata peremendi tu na wenza wao. Mke wangu mimi ni house wife (though anajifundisha kazi za amali now) so simlaumu sana na yeye amewahi kuniambia anatamani kuninulia japo shati...
  17. H

    Diamond apewa zawadi na FIFA

    Msanii wa Kimataifa kutoka Tanzania alipata nafasi kutembelea Museum ya FIFA pale Zurich. Msanii Diamond ametua Uswizi mahususi kwa ajili ya show yake ambayo ameipa jina European Tour. Baada ya kuingia Museum ya FIFA amepewa zawadi ya kikombe kidogo pamoja na jezi yenye jina lake Platnumz no 9...
  18. Erythrocyte

    Kutoa ni moyo : Mbunge wa Mbeya Mjini awakumbuka Wafungwa wenzake , atembelea gereza alilofungwa , amwaga zawadi

    Kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu hakutakuwa na picha ya tukio
  19. lee Vladimir cleef

    Ni kweli unaweza kupewa penzi kwa kuonewa huruma au Kama zawadi?

    Ulishawahi kukutana na hali hii? Yaani unanmtongoza KE,anakukataa kwa maneno makali na kashfa,unajiondokea maeneo hayo kwa aibu na fedheha,inapita siku,wiki,mwezi na hata miaka.Anakua anakutazama tu huruma inamuijia,Inatokea siku moja anakukumbusha,anakupa penzi hii Ni baada kukuonea huruma.je...
  20. budebajr

    Zawadi ipi nzuri kwa mama mzazi wa Kitanzania?

    Zawadi gani inafaa kumpa mama Mzazi wa kitanzania kumshukuru kwa mchango wake mzuri kama mzazi. Nasubiri maoni yenu wakuu
Back
Top Bottom