10 Largest ports in Africa

Jk alikua anakusanya tsh 850B kwa mwez uyu jamaa anakusanya tsh 1.5T huwez kusema hakuna alichofanya!!
Kufufua reli ya Dar -Arusha na Tanga - korogwe ambayo ilikufa kwa miaka 20,ujenzi wa hospitali za wilaya 71,hospitali za rufaa 10 na hosp za kanda 3,kujenga vituo vya afya 400+ na zahanati 1000+...
Jamaa ameamua kujanga bwawa kubwa la kufua umeme 2115MW ni umeme mwingi kuliko tulionao sasa mpaka hapo sijui utasema nn
 
Sisi sio wajinga kama nyinyi vibaraka
 
Hilo lingekubaliana nalo ilimradi linapata chake, wengine ni mbwa
 
Hiyo ni list ya bandari kubwa Afrika na kipimo kikubwa kilichotumika kutoa takwimu ni uwezo wa bandari kuhudumia mizigo(kontena) kwa mwaka ambayo hii ni general sana hapa uwezi jua bandari ipi ina uzalishaji mkubwa(Port Productivity).

Katika kuchambua Port Operation kuna vigezo vya Port Performance Indicators.
Hapo kuna bandari zina vifaa vya kisasa vya kupakulia mizigo, muda mchache wa meli kushusha/kupakia mzigo, muda mchache wa gari kuingia na kutoa mzigo lakini zimewekwa sehemu ya chini.

Bandari ya Mombasa na Dar, kitu kilichofanya Mombasa waingie humo ni Truck turn around time- hawa kule muda wa kuingia na kutoka bandarini gari ikiingia ilikuwa ni mchache.
Ship turn around time- muda wa meli kushusha, kupakia na kuondoka bandari ulikuwa nao mchache.
Number of Berth.
 

Nimeomba mtaje kilichokamilika na cha level ya kujadiliwa kimataifa, kuamsha usafiri wa reli mliyoikuta imejengwa tayari hiyo sio kitu cha kutupigia makelele humu, sisi tumejenga reli mpya ya kisasa SGR kilomita zaidi ya 500km na inatumika. Vizahanati hivyo ni vyenu mjadili kwenye level yenu huko wakati wa kutafuta kura, hapa tunatupia vitu vyenye hadhi ya kimataifa.
 
Mafuta ya dangote tu..huna akili wewe
 
Huu ni wivu tu. Kenya ina SGR 560km ambayo inafanya kazi.
Ata USA wanatumia diesel trains kubeba cargo i guess Tanzania electric SGRr will make your country better than America.
😂😂 tatizo mlipigwa, mlikutana na wahuni toka Beijing wakawaingiza mjini nyie
 
Huduma za afya zinaanzia chini hadi wewe umeona chini tu!
Apo anapunguza maternal mortality rate and child mortality rate ambazo ndio critea za huduma bora za afya ila wewe huwez kuliona ilo maana unawaza rushwa tu
 
Huu ni wivu tu. Kenya ina SGR 560km ambayo inafanya kazi.
Ata USA wanatumia diesel trains kubeba cargo i guess Tanzania electric SGRr will make your country better than America.
America this america that kwahyo walivyoamua kua mashoga mbona na wewe usiwe shoga basi kama America ndio kila kitu
 
Siku zote mnasema soon soon hii soon ya tangu mlipopata uhuru lini itaacha kuwa ndoto za mchana.
Wewe mwenyew unajua ukiwa unashindana na mtoto wala aikupi shida, tunajua ni swala tu la mda mtoto lazima uombe poo
 
America this america that kwahyo walivyoamua kua mashoga mbona na wewe usiwe shoga basi kama America ndio kila kitu
Ukitaka kua shoga shauri yako bora usinisumbue kama mie sio shoga. Usinyime mwenzako haki.
Alafu Wewe ni muongo. Tanzania haiko ata karibu kutoka LDC haswa sa hizi uchumi umeshuka juu ya corona.
 
Ukitaka kua shoga shauri yako bora usinisumbue kama mile sio shoga. Usinyime mwenzako haki.
Alafu Wewe ni muongo. Tanzania haiko ata karibu kutoka LDC haswa sa hizi uchumi umeshuka juu ya corona.
Uchumi umeshuka uko kwenu Sisi madhara yamekua kidogo sana.
 
Uchumi umeshuka dunia mzima labda uniambie Tanzania iko Mars.
Madhara yanatofautiana ndugu usiwe kama nyumbu,hata covid-19 kila nchi imechapwa kivyake na kila jamii au familia imeguswa tofauti kuna waliokufa sana na ambao hata hawajapata mgonjwa usiizungumzie dunia kama muandishi wa habar
 
Madhara yanatofautiana ndugu usiwe kama nyumbu,hata covid-19 kila nchi imechapwa kivyake na kila jamii au familia imeguswa tofauti kuna waliokufa sana na ambao hata hawajapata mgonjwa usiizungumzie dunia kama muandishi wa habar
Nyinyi madhara ya COVID kwenu haijulikani sababu hamnanga data ya ukweli ya kitu chochote hadi ile ya uchumi wenu.
Kitu Niko sure nacho ni eti watu wanakufa COVID na citizens wa Tanzania are not superhumans eti wasikufe. Ambia magufuli awache kubana data
 
A reasonable response. Wish many Tanzabians will respond to threads like this. Kuna watanzania wengi humu ni mazuzu kishenzi, lao ni ushabiki wa kitoto, wanataka Kuona tu taarifa inasema Tanzania iko juu ya Kenya, kama sio vile, ni kupinga ama kuponda ata kwa kusingizia mambo ama kuongeza chumvi ili Kenya ionekane balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…