10 Largest ports in Africa

10 Largest ports in Africa

Huyo Mkwere alikua ameona mbali sana na angeivusha Tanzania, leo hii kando na mikwara sioni nini mumeongeza juu ya alichokiacha, SGR mlisema itafanya kazi mwaka jana, mpaka mnaingia kwenye uchaguzi ni ngonjera tu.
Madubwasha yote ambayo huwa mnaringishia humu ni ya Mkwere, nitajie kitu gani kimoja awamu ya tano mumesimamisha kikaonekana na chenye hadhi ya kujadiliwa humu, usisahau hili ni jukwaa la kmataifa hivyo usinitajie chochote uchwara.
Binafsi nahisi mumefaulu kulea chuki tu baina yenu na majirani, yaani kwa kipindi kifupi tumefungiana mipaka mara kadhaa sasa.
Jk alikua anakusanya tsh 850B kwa mwez uyu jamaa anakusanya tsh 1.5T huwez kusema hakuna alichofanya!!
Kufufua reli ya Dar -Arusha na Tanga - korogwe ambayo ilikufa kwa miaka 20,ujenzi wa hospitali za wilaya 71,hospitali za rufaa 10 na hosp za kanda 3,kujenga vituo vya afya 400+ na zahanati 1000+...
Jamaa ameamua kujanga bwawa kubwa la kufua umeme 2115MW ni umeme mwingi kuliko tulionao sasa mpaka hapo sijui utasema nn
 
Mahesabu ndio yaliwashinda sio suala la masharti, kawaida mlivyo wazembe kwenye mahesabu na kusoma mkaamua kupiga chini, ila wanaume kamili huwa hawaukimbii uwanja, mnakeshea mahesabu na kupumiliana shingoni hadi kitu kikae sawa. Lazima Mchina alipaswa awatafune na nyie mumtafune, ndio lugha ya dunia, unitafune nikutafune, pitia kule nipitie huku, ila mwisho wa siku unaangalia nini end game.
Sisi sio wajinga kama nyinyi vibaraka
 
GoT ingepata faida ya Bagamoyo port baada ya miaka 99. Na hapo hiyo miaka inaweza kuisha na mchina akakwambia hajarudisha pesa yake hivyo aka extend lease tena( Kwa sababu yeye ndio mdhibiti na muendelezaji wa eneo lote la bandari. Yani anakuwa na full mandatory ya eneo bila kuingiliwa na GoT). Na hapo kwa kipindi chote hicho ni marufuku kwa GoT kuendeleza na kuboresha bandari zake zote za baharini. Sasa wewe ungekuwa ndio mwenye maamuzi ya mwisho kwa GoT ungekubaliana na huo mkataba au ungeuweka kando?
Hilo lingekubaliana nalo ilimradi linapata chake, wengine ni mbwa
 
Hiyo ni list ya bandari kubwa Afrika na kipimo kikubwa kilichotumika kutoa takwimu ni uwezo wa bandari kuhudumia mizigo(kontena) kwa mwaka ambayo hii ni general sana hapa uwezi jua bandari ipi ina uzalishaji mkubwa(Port Productivity).

Katika kuchambua Port Operation kuna vigezo vya Port Performance Indicators.
Hapo kuna bandari zina vifaa vya kisasa vya kupakulia mizigo, muda mchache wa meli kushusha/kupakia mzigo, muda mchache wa gari kuingia na kutoa mzigo lakini zimewekwa sehemu ya chini.

Bandari ya Mombasa na Dar, kitu kilichofanya Mombasa waingie humo ni Truck turn around time- hawa kule muda wa kuingia na kutoka bandarini gari ikiingia ilikuwa ni mchache.
Ship turn around time- muda wa meli kushusha, kupakia na kuondoka bandari ulikuwa nao mchache.
Number of Berth.
 
Jk alikua anakusanya tsh 850B kwa mwez uyu jamaa anakusanya tsh 1.5T huwez kusema hakuna alichofanya!!
Kufufua reli ya Dar -Arusha na Tanga - korogwe ambayo ilikufa kwa miaka 20,ujenzi wa hospitali za wilaya 71,hospitali za rufaa 10 na hosp za kanda 3,kujenga vituo vya afya 400+ na zahanati 1000+...
Jamaa ameamua kujanga bwawa kubwa la kufua umeme 2115MW ni umeme mwingi kuliko tulionao sasa mpaka hapo sijui utasema nn

Nimeomba mtaje kilichokamilika na cha level ya kujadiliwa kimataifa, kuamsha usafiri wa reli mliyoikuta imejengwa tayari hiyo sio kitu cha kutupigia makelele humu, sisi tumejenga reli mpya ya kisasa SGR kilomita zaidi ya 500km na inatumika. Vizahanati hivyo ni vyenu mjadili kwenye level yenu huko wakati wa kutafuta kura, hapa tunatupia vitu vyenye hadhi ya kimataifa.
 
Watanzania wenzangu hawajasoma hizo Bandari. Morocco, SAfrika na Misri wana bandari 2 kila mmoja kwenye hiyo List. Hivyo kigezo cha Tz kutumia Bandari 4 ni uongo. Bandari ya Mtwara hushusha mafuta na Malighafi za Dangote tu
Hupakia Korosho na Cement tu.

Tanga hushusha mafuta sana sana
Mafuta ya dangote tu..huna akili wewe
 
Huu ni wivu tu. Kenya ina SGR 560km ambayo inafanya kazi.
Ata USA wanatumia diesel trains kubeba cargo i guess Tanzania electric SGRr will make your country better than America.
😂😂 tatizo mlipigwa, mlikutana na wahuni toka Beijing wakawaingiza mjini nyie
 
Nimeomba mtaje kilichokamilika na cha level ya kujadiliwa kimataifa, kuamsha usafiri wa reli mliyoikuta imejengwa tayari hiyo sio kitu cha kutupigia makelele humu, sisi tumejenga reli mpya ya kisasa SGR kilomita zaidi ya 500km na inatumika. Vizahanati hivyo ni vyenu mjadili kwenye level yenu huko wakati wa kutafuta kura, hapa tunatupia vitu vyenye hadhi ya kimataifa.
Huduma za afya zinaanzia chini hadi wewe umeona chini tu!
Apo anapunguza maternal mortality rate and child mortality rate ambazo ndio critea za huduma bora za afya ila wewe huwez kuliona ilo maana unawaza rushwa tu
 
Huu ni wivu tu. Kenya ina SGR 560km ambayo inafanya kazi.
Ata USA wanatumia diesel trains kubeba cargo i guess Tanzania electric SGRr will make your country better than America.
America this america that kwahyo walivyoamua kua mashoga mbona na wewe usiwe shoga basi kama America ndio kila kitu
 
Siku zote mnasema soon soon hii soon ya tangu mlipopata uhuru lini itaacha kuwa ndoto za mchana.
Wewe mwenyew unajua ukiwa unashindana na mtoto wala aikupi shida, tunajua ni swala tu la mda mtoto lazima uombe poo
 
America this america that kwahyo walivyoamua kua mashoga mbona na wewe usiwe shoga basi kama America ndio kila kitu
Ukitaka kua shoga shauri yako bora usinisumbue kama mie sio shoga. Usinyime mwenzako haki.
Alafu Wewe ni muongo. Tanzania haiko ata karibu kutoka LDC haswa sa hizi uchumi umeshuka juu ya corona.
 
Ukitaka kua shoga shauri yako bora usinisumbue kama mile sio shoga. Usinyime mwenzako haki.
Alafu Wewe ni muongo. Tanzania haiko ata karibu kutoka LDC haswa sa hizi uchumi umeshuka juu ya corona.
Uchumi umeshuka uko kwenu Sisi madhara yamekua kidogo sana.
 
Uchumi umeshuka dunia mzima labda uniambie Tanzania iko Mars.
Madhara yanatofautiana ndugu usiwe kama nyumbu,hata covid-19 kila nchi imechapwa kivyake na kila jamii au familia imeguswa tofauti kuna waliokufa sana na ambao hata hawajapata mgonjwa usiizungumzie dunia kama muandishi wa habar
 
Madhara yanatofautiana ndugu usiwe kama nyumbu,hata covid-19 kila nchi imechapwa kivyake na kila jamii au familia imeguswa tofauti kuna waliokufa sana na ambao hata hawajapata mgonjwa usiizungumzie dunia kama muandishi wa habar
Nyinyi madhara ya COVID kwenu haijulikani sababu hamnanga data ya ukweli ya kitu chochote hadi ile ya uchumi wenu.
Kitu Niko sure nacho ni eti watu wanakufa COVID na citizens wa Tanzania are not superhumans eti wasikufe. Ambia magufuli awache kubana data
 
letu ni la umeme sio la mafuta jombaa[emoji23][emoji23]
Gani hilo na Hamna SGRr [emoji23][emoji23][emoji23]
Tayari mkandarasi ashapata ajali ata kabla itumike
It'll never have a 100% safety rating
images%20(7).jpg
 
Hiyo ni list ya bandari kubwa Afrika na kipimo kikubwa kilichotumika kutoa takwimu ni uwezo wa bandari kuhudumia mizigo(kontena) kwa mwaka ambayo hii ni general sana hapa uwezi jua bandari ipi ina uzalishaji mkubwa(Port Productivity).

Katika kuchambua Port Operation kuna vigezo vya Port Performance Indicators.
Hapo kuna bandari zina vifaa vya kisasa vya kupakulia mizigo, muda mchache wa meli kushusha/kupakia mzigo, muda mchache wa gari kuingia na kutoa mzigo lakini zimewekwa sehemu ya chini.

Bandari ya Mombasa na Dar, kitu kilichofanya Mombasa waingie humo ni Truck turn around time- hawa kule muda wa kuingia na kutoka bandarini gari ikiingia ilikuwa ni mchache.
Ship turn around time- muda wa meli kushusha, kupakia na kuondoka bandari ulikuwa nao mchache.
Number of Berth.
A reasonable response. Wish many Tanzabians will respond to threads like this. Kuna watanzania wengi humu ni mazuzu kishenzi, lao ni ushabiki wa kitoto, wanataka Kuona tu taarifa inasema Tanzania iko juu ya Kenya, kama sio vile, ni kupinga ama kuponda ata kwa kusingizia mambo ama kuongeza chumvi ili Kenya ionekane balaa.
 
Back
Top Bottom