10 Largest ports in Africa

10 Largest ports in Africa

Nchi nzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka kulazimisha Kenya iwe level yenu ya umasikini eti?., wewe umeona nchi nzima ni slums?, wapi ebu nielimishe kidogo nione, weka na facts from all corners., nangoja mimi sio mkenya, sipajui kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23], tafadhali nifunze nijue Kenya.

Wacha kulazimisha fikra za akili yako. Tz ni aibu in EAC na SADC, aibu kwa ajili ya rasilmali mingi na bado mnatajwa kwa umasikini wa kupindukia.

Weka data Kenya nchi nzima full slums, nielimishe tafadhali, nataka kuona fikra zako. Poor mind[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe jamaa jaribu kua unashirikisha na ubongo wako kidogo, kunyaland sio kibera tu kuna slums dwellers, yahani nchi nzima ni full slums, kama watu hamna uhakika tu wa mlo uo utajiri wenu unahanzia wapi?

wadanganye wengine ambao hawaijui kunyaland lakini sio sisi, tunawajua vizuri bila kutembelea mbeleko ya tz kunyaland hamna jipya
 
Nchi nzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka kulazimisha Kenya iwe level yenu ya umasikini eti?., wewe umeona nchi nzima ni slums?, wapi ebu nielimishe kidogo nione, weka na facts from all corners., nangoja mimi sio mkenya, sipajui kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23], tafadhali nifunze nijue Kenya.

Wacha kulazimisha fikra za akili yako. Tz ni aibu in EAC na SADC, aibu kwa ajili ya rasilmali mingi na bado mnatajwa kwa umasikini wa kupindukia.

Weka data Kenya nchi nzima full slums, nielimishe tafadhali, nataka kuona fikra zako. Poor mind[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe jamaa jaribu kua unashirikisha na ubongo wako kidogo, kunyaland sio kibera tu kuna slums dwellers, yahani nchi nzima ni full slums, kama watu hamna uhakika tu wa mlo uo utajiri wenu unahanzia wapi?

wadanganye wengine ambao hawaijui kunyaland lakini sio sisi, tunawajua vizuri bila kutembelea mbeleko ya tz kunyaland hamna jipya
 
We beat you though. So nothing you do right now will change that. Geographic advantage and strategically positioned with improved port handling services.
Hahahah so ni Uganda na kunyaland zaidi ndio tegemezi hapo mombasa port?
 
We beat you though. So nothing you do right now will change that. Geographic advantage and strategically positioned with improved port handling services.

Hahaha we jamaa..umetafuna kangeta nini? Yani kunyaland mmetu-beat kwa geographic advantage na strategic position? How budaa
 
You are positioned in between poor countries with uwezo mdogo wa import/export., Dar port might be a white elephant if expanded exponentially. Maybe mupanue uchumi wenu nyie wenyewe mu import na ku export kwa wingi., jirani zenyu(clients wa Dar port) bado sana.,
Hahaha we jamaa..umetafuna kangeta nini? Yani kunyaland mmetu-beat kwa geographic advantage na strategic position? How budaa
 
You are positioned in between poor countries with uwezo mdogo wa import/export., Dar port might be a white elephant if expanded exponentially. Maybe mupanue uchumi wenu nyie wenyewe mu import na ku export kwa wingi., jirani zenyu(clients wa Dar port) bado sana.,

This shit is irrelevant to what we was discusing. Rudi kwenye hoja.

Huo ukubwa wa bandari yenu mnahudumia matajiri gani ambao ndio majirani zenyu?
 
You misfired in understanding. Idiot.,
This shit is irrelevant to what we was discusing. Rudi kwenye hoja.

Huo ukubwa wa bandari yenu mnahudumia matajiri gani ambao ndio majirani zenyu?
 
Now ume create your own sub topic.., bado haukuelewa. Facts remain, Dar port iko below Mombasa port. No debate here.
This shit is irrelevant to what we was discusing. Rudi kwenye hoja.

Huo ukubwa wa bandari yenu mnahudumia matajiri gani ambao ndio majirani zenyu?
 
Now ume create your own sub topic.., bado haukuelewa. Facts remain, Dar port iko below Mombasa port. No debate here.

Dar port iko below mombasa port how? Toa detailed information sio bla bla tu
 
Bandari kwenu ni ya Dar, hayo mavitu mengine unataja taja humu hayana nafasi. Hiyo Dar ndio huwa mumewekeza nguvu zote na kutegemewa na mataifa tisa na licha ya yote hiyo haioni hata makalio ya Mombasa maana nyie wazembe. Bwagamoyo iliwashinda maana hapo kwa kweli ndio mlikua mpige bao lenyewe lakini desturi yenu ya uzembe bado mpo mpo tu.
Mkuu unajua masharti yaliyokuwa yamewekwa kwenye bandari ya Bagamoyo au unaongea tu mzee baba, jua kwanza masharti yaliyokuwa yamewekwa ndo uongee, sisi tunafikiri kabla ya kufanya maamuzi
 
Nchi nzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka kulazimisha Kenya iwe level yenu ya umasikini eti?., wewe umeona nchi nzima ni slums?, wapi ebu nielimishe kidogo nione, weka na facts from all corners., nangoja mimi sio mkenya, sipajui kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23], tafadhali nifunze nijue Kenya.

Wacha kulazimisha fikra za akili yako. Tz ni aibu in EAC na SADC, aibu kwa ajili ya rasilmali mingi na bado mnatajwa kwa umasikini wa kupindukia.

Weka data Kenya nchi nzima full slums, nielimishe tafadhali, nataka kuona fikra zako. Poor mind[emoji23][emoji23][emoji23]
hiyo nchi nzima ni slums mpaka nzige wameamua kuhungana kwenda kuishi kenya, yahani nairobi full slums, nakuru full slums, mombasa full, slums , turkana full slums, imagine ndio unakomaa kutuaminisha kenya matajiri, wongopee majua wenzako ambao hawapajui kenya, mnawazuga na gdp fake
 
Hawa Afrika Kusini tutawafukuzia kwenye kila kitu, tunawapumulia shingoni, subirini siku hiki kitu hapa chini kitakapotendeka hakuna atakayetuona Afrika hii ukizingatia pia bandari ya Lamu iko jikoni...

China-Belt-Road-Initiative-2.jpg
Katafiti tena, io China Belt & road hub ya East Africa ndio ni Bagamoyo Port ndio maan mchina ameweka mezani USD 10B na ushee
 
wewe hujui chochote ulitaka tuhuze nchi yetu kwa mchina kama nyinyi mlivyofanya,
Sisi sio watu wakukurupuka, port ya bagamoyo ilikua ni hasara kwa taifa ukizingatia bagamoyo na Dar zipo karibu sana.

Kwa sasa tupo tunapanua port zetu tatu kubwa, port ya mtwara, port ya DSM na port ya tanga, na hii port ya tanga ndio ina kuja kuua kabisa port ya mombasa

'tuhuze' ndio nini, hata hivyo kwenye ushindani bandari wala msiongee kitu, baada ya kuangukia pua kwenye mradi wa Bagamoyo mnapaswa mpige kimya wakati wanaume wanaongea.
 
Sababu ya Tanzania kutokuwepo hapo ni kwakuwa tunatumia bandari nne (Zanzibar, Tanga, Dar na Mtwara) hivyo mizigo inagawanywa baina ya hizo bandari nne.

Capacity ya Dar kwa sasa ni 600,000 Teus ila kwa upanuzi unaoendelea sasa, itakuwa na uwezo wa 1.2m Teus. Ukijumlisha mizigo ya kwenye bandari nyingine tatu Tz inaongoza EA kwa capacity.
Hujawahi niangusha linapokuja suala la takwimu mujarabu.
 
Katafiti tena, io China Belt & road hub ya East Africa ndio ni Bagamoyo Port ndio maan mchina ameweka mezani USD 10B na ushee

Bwagamoyo mliangukia pua kwa uzembe wenu, hamtuwezi kwenye hii michezo, kwa sasa kunjeni mkia mkae pembeni kutizama show.
 
'tuhuze' ndio nini, hata hivyo kwenye ushindani bandari wala msiongee kitu, baada ya kuangukia pua kwenye mradi wa Bagamoyo mnapaswa mpige kimya wakati wanaume wanaongea.
huwa atufanyi mahamuzi ya kijinga nishakwambia, sasa tupo tunachimba bahari kuiongezea kina bandari ya Tanga kwa ajili ya kuanza kupokea meli kubwa za mizigo na huu ndio utakua mwisho wa bandari ya mombasa
 
Mkuu unajua masharti yaliyokuwa yamewekwa kwenye bandari ya Bagamoyo au unaongea tu mzee baba, jua kwanza masharti yaliyokuwa yamewekwa ndo uongee, sisi tunafikiri kabla ya kufanya maamuzi

Mahesabu ndio yaliwashinda sio suala la masharti, kawaida mlivyo wazembe kwenye mahesabu na kusoma mkaamua kupiga chini, ila wanaume kamili huwa hawaukimbii uwanja, mnakeshea mahesabu na kupumiliana shingoni hadi kitu kikae sawa. Lazima Mchina alipaswa awatafune na nyie mumtafune, ndio lugha ya dunia, unitafune nikutafune, pitia kule nipitie huku, ila mwisho wa siku unaangalia nini end game.
 
huwa atufanyi mahamuzi ya kijinga nishakwambia, sasa tupo tunachimba bahari kuiongezea kina bandari ya Tanga kwa ajili ya kuanza kupokea meli kubwa za mizigo na huu ndio utakua mwisho wa bandari ya mombasa

Utakua Mhaya aliyekwama hajawahi kutoka nje ya Bukoba, "mahamuzi" ndio nini.....
 
Back
Top Bottom