Mimi siamini katika hizo power za gizani.Mafuta ya simba na ngozi ya ngekewa vinalipa sana.... Wapi Konde boy
Jr[emoji769]
Kuna ndezi watabisha...nguv kubwa y redio kum promote msanii kimziki ilikua zmani ,sku izi wimbo kam ni mkali unasogea wenyew tu mtaani ata kama redio dj atakua haupgi ewani.. zil zama za redio dj kukpangia playlist zmeptwa n wkt ,sku izi playlist watu wnaz kweny smartphone zao.
Huyo anayebisha atakuwa na matatizo cos mapokezi yake yalirushwa live WASAFI Tv na nikawaona hao waliyoshika bendera ya UK na si tu bendera ya UK, bali kuna watu pia walishika bendera ya Israel.Kuna mpuuzi mmoja kaona bendera ya UK akasema eti picha ya kuedit.. Diamond kwa sasa ni kama maji tu usipooga utachambia
Tena aliyebisha ni Diva wa Radio Mawingu. Huyu manzi ndio maana Diamond aliwahi kumtukana kipindi flani, ana mambo ya kijinga sana.Huyo anayebisha atakuwa na matatizo cos mapokezi yake yalirushwa live WASAFI Tv na nikawaona hao waliyoshika bendera ya UK na si tu bendera ya UK bali kuna watu pia walishika bendera ya Israel.
Anasema anateseka sana. Anaweza hata apasukeNumbisa anasemaje kwa hili.
Hamna kitu kama hicho mkuu. Kama ni hivyo tunatamani sana tufike mbali kisoka. Kwanini Taifa Stars tungetumia tu hicho kidude tuwe wakubwa Africa na dunia itutambue kama Diamond? Dogo ana juhudi, plan na kujituma tu.Mafuta ya simba na ngozi ya ngekewa vinalipa sana.... Wapi Konde boy
Jr[emoji769]
Aise jamaa nomaMafuta ya simba na ngozi ya ngekewa vinalipa sana.... Wapi Konde boy
Jr[emoji769]
Haijawahi kutokea aisee, licha ya kwamba mimi syo mpenzi wa nyimbo zao hizo.Sasa hivi amekuwa kama Rais kila akishuka sehemu lazima mafuriko ya watu yatokee mondi kiukweli anapendwa sana, sijui kama kutatokea celebrity mwingine akawa maarufu kama Mondi hapa Tz.
TrueNguvu kubwa ya redio kum-promote msanii kimuziki ilikuwa zmani, sku hizi wimbo kama ni mkali unasogea wenyewe tu mtaani hata kama redio DJ atakuwa haupigi hewani. Zile zama za redio DJ kukupangia playlist zimepitwa na wakati. Siku hizi playlist watu wanazo kwenye smartphone zao.
Hakuna kitu kama hicho na kuimba vizuri nako je? Huyu anafanya branding nzuri tu