kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Acha bange zako ww toa ushahid sio unaropoka tuYesu hakuteswa, alioa na kuzaa, mke wake alifahamika kama Maria Magdalena, hakuwahi kusema popote kuwa ni Mwana wa Mungu, alikuwa mweusi tii...
..kama ambavyo Mungai(r.I.p) alitaka kuifanya elimu ndivyo walivyogeuza na kupindisha biblia ila wenye kufuatilia tunazo biblia orijino, zenye injili ya Maria Magdalena, injili ya Yuda Eskalioti(yule waliyetudanganya kuwa alimuuza Yesu kwa euro sijui vipande vya mini)
Mbona na nyie huyo Muhammad wenu wanasema alikuwa ni kicheche tu na hata hata hayo maandiko alitumiwa na wachawi kuandika .naye alikuwa mjanja mjanja tu . na kwa kujua hilo NDIYO maana alihimiza msome Qur'an ili msiwe wadadis
Ukipenda kukashifu din ya mwenzio na ww ukikashifiwa usimaind sawa