Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hizo sifa za Mungu, na anafanya atakacho lakini hamuadhibu Mjumbe wake bali anampatia Mitihani. Tofautisha baina ya Mitihani na Adhabu. Mitihani ni changamoto katika Mjumbe wake kufikia malengo aliyoagizwa. Kwa mujibu wako Yesu ameadhibishwa tena na maadui zake na amedhalilishwa. ??
ROHO MTAKATIFU ni ROHO na sio nyama ya mwili yaani ipo kwenye Ulimwengu wa kirohoROHO MTAKATIFU haja jina? Au jina lake ni ROHO MTAKATIFU? Alishawahi kuonekana kwa watu kimaumbile? Nipe reference from the Bible. Interesting!
Hahahahahahaha wewe utanipa habari za Issa wenu wa Quran ambae hata simtambuiSio kila swali unitupie. Mimi nataka uelimike na ufahamu kuwa nipo hapa kukufungua macho. Kama hujui kwanini Yesu atakuja siku ya mwisho niambie ili nikueleze. Usione aibu na wala dont feel defeated to accept the truth.
ningepaniki nisingetoa mistari inayofafanua kwa kina hoja ya jamaa. so far i won't panic kwa kuwa Mungu ninayemwamini hujipigania mwenyewe.kwani mkuu unapanikia nini hadi ulete madharau?,
hebu twambie kwanza mna roho watakatifu wa aina ngapi,maana roho mtakatifu alikuwa akishuka mara kwa mara kwa mjibu wa bible,hata siku yesu wanambatiza alishuka etc,
sasa huyu ROho wa kweli asingeweza kuja wakati yesu yupo,yesu mwenyewe alisema "yanipasa niondoke maana nisipoondoka huyo roho wa kweli hawezi kuja"
so tunapata kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu roho wa kweli ni yupi?,
pili,huyo roho ATAWAFUNDISHA NA KUWAMBIA YOTE,ambayo yesu hakuwambia,
sasa hebu tuonyeshe huyo roho mtakatifu aliyeshuka kwa wanafunzi wa yesu siku ya pentacoste aliwafundisha yote yapi na kuwaeleza yote yapi hayo?,
ina maana hapa alikuwa anaongelewa mtu na si viginevyo
AISEE!Unasoma lakini hupati ujumbe. Kama Mungu amekwambia kuwa atamlinda Yesu na chochote kile iweje ashidwe kumlinda na Crucifiction??? Hiyo ilikuwa ndio CONCEPT ya wewe kuipokea na utafakari. Nyinyi munasoma Biblia lakini hamuelewi.
halafu mkuu kitu kingine tafakari,AISEE!
kumekuwa na kawaida kwa ulimwengu wa Kiislamu kufanya kila juhudi kuonyesha kwamba Biblia imepotoshwa, ingawaje jambo hilo si kweli hata kidogo. Ukiachilia mbali makosa ya kibinadamu ya hapa na pale ambayo yanaingia kutokana na ukweli kwamba Biblia imetafsiriwa na inaendelea kutafsiriwa mara nyingi sana, hakuna makosa ya makusudi yanayofanywa ili kupotosha au kuficha ukweli.
Na juhudi hizi zote zinafanywa ili kutaka kuonyesha kwamba Quran ni neno la Mungu la kweli ambalo halijapotoshwa hata kidogo. Basi mimi naomba mnisaidie majibu ya maswali haya machache kati ya mengi:
1. Sura 54:19 inasema kuwa mji wa Aad uliharibiwa kwa siku moja na sura 69:6,7 inasema kuwa uliharibiwa kwa 'usiku' sita na siku nane (seven nights and eight days). Hapo kuna mkanganyiko au la?
2. Sura 19:17 inaonyesha kuwa malaika alimtokea Mariamu lakini sura 3:42 inasema walikuwa malaika wengi.
3. Sura 28:40 inasema kuwa farao alizama na kufia kwenye maji lakini sura 10:92 inasema kuwa farao huyo alipona.
4. Sura 18:86 inasema kuwa jua huzama kwenye chemchemi ya maji yenye tope. Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa kwenye sura hii ni maji gani? Unadhani ni Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?
5. Sura 15:19 inasema kuwa dunia ni bapa kama meza (flat). Kama Mungu ndiye aliumba dunia na ndiye alileta Quran, anaweza kusema jambo kama hili?
6. Sura 86:6,7 inasema kuwa manii ya mwanamume hutokea kati ya uti wa mgongo na mbavu. Hii ni sayansi ya wapi? Ni kutoka kwa Mungu aliyeumba wa mbingu na nchi na uti wa mgongo na mbavu kweli? Kama haitoki kwa Mungu basi hata kitabu chenyewe nacho hakitoki kwa Mungu, au siyo?
7. Sura 19:27,28 inasema kuwa Mariamu alikuwa ni dada wa Haruni. Lakini tangu Haruni aishi ilipita miaka 1300 ndipo alipozaliwa Mariamu. Ni Mungu gani basi anayeweza kusema maneno kama haya?
8. Sura 28:8 inasema kuwa farao na Hamani waliishi wakati mmoja na mahali pamoja. Lakini historia iko wazi kwamba kuna tofauti ya miaka takribani 1000 kati ya watu hawa. Vilevile, farao aliishi Misri wakati Hamani aliishi Uajemi kwenye ngome iliyoitwa Shushani.
MAONI YANGU
Biblia na Quran zote zina makosa fulanifulani ya kibinadamu yalioyoingia humo wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivyo. Kwa upande wa Biblia (sijui sana upande wa Quran), huwa nakutana na makosa kadhaa, kwa mfano kukosewa kuandikwa kwa neno, kutafsiriwa vibaya kwa neno, kukosewa kwa takwimu, n.k. Mimi nadhani kuwapo kwa makosa ya aina hii si ishara kwamba kitabu hiki hakitoki kwa Mungu. Ingekuwa ni kweli kwamba makosa haya yaliingizwa ili kuficha au kupindisha ukweli fulani, basi huko ndiko kungekuwa ni kupotosha maandiko.
Kwa upande wangu kipimo kikuu cha kutambua iwapo neno fulani ni la Mungu au la, ni MAFUNDISHO ya Mungu anayehusika. Kwa mfano, hapo juu nimetoa mfano wa Sura 54:19 inayosema kuwa mji wa Aad uliharibiwa kwa siku moja ilhali sura 69:6,7 inasema kuwa uliharibiwa kwa 'usiku' sita na siku nane (seven nights and eight days).
Mimi sioni kama hiki ni kigezo cha kusema kuwa Quran si kitabu cha Mungu wa kweli. Au aya moja kusema farao alizama maji na nyingine ikasema hakuzama. Aina hii ya ukinzani kwangu si kigezo cha kubatilisha kitabu.
Lakini tunapoenda kwenye mafundisho yanayohusu mwenendo wa kuishi na wanadamu wenzako, vigezo vya utakatifu, wajibu wa muumini kwa Mungu, wanadamu wenzake na jamii kwa ujumla, n.k., hapo ndipo ninaona kuna uwezekano wa kutenganisha kati ya ujumbe wa Mungu wa kweli na usio wa Mungu wa kweli.
Kama Mungu mmoja anasema wachukie wanadamu wasio na imani kama yako, waue; halafu kuna Mungu mwingine anasema wapende, wasamehe, waombee, wavumilie, n.k., bila shaka hapa ndipo penye uwanja sahihi wa kutenganisha pande hizi mbili.
Mungu wa Ibrahimu na Isaka na Yakobo akubariki ndugu msomaji.
Kuna kitu kidogo hukielewi na Huwezi kukielewa,,,,kwamba mindset yako inauwezo wa kuelewa quran tu,,,,na kamwe Huwezi kuielewa biblia.Kwa sababu biblia inahitaji mindset ambayo haiko twisted.Yaani ilio tofauti na hio ya kwako.Wakristo wanaoelewa biblia wana mindset yao ilio tafauti na ya waislamu.Take your time to find out.ROHO MTAKATIFU haja jina? Au jina lake ni ROHO MTAKATIFU? Alishawahi kuonekana kwa watu kimaumbile? Nipe reference from the Bible. Interesting!
Duh!!! Agano la kale ni sehemu ya Biblia na ni maandiko ya kabla ya kuja Kristo (BC). Je, unatuambiaje katika hili?Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.
Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
BIBLI INAJITOSHELEZA KWA KILA SWALI; ILA KWA KUWA UMESEMA; "WANAVYODAI" (IKIIMANISHA KUWA HUNA HAKIKA NA JAMBO UNALOLIPINGA/KULITETEA. NIKUBALIANE NA WEWE KWA JAMBO MOJA TU KWAMBA KUSULUBIWA NA KUTESWA KWA YESU KRISTO KULICHANGIWA SANA NA WATAWALA WA KISIASA (KWA KUHOFU KWAO KWAMBA YESU ANGEJENGA UFALME WA KISIASA NA KUTWAA MILKI YA RUMI JUU YA WAYAHUDI LAKINI MASHTAKA HAYA YALIKUWA YA KUTUNGA NA NDIYO USIKU ULE WA KUKAMATWA YESU MUNGU ALISEMA KWA NDOTO NA MKE WA PILATO KUMWONYA AMWAMBIE PILATO ASIHUKUMU KWA KUWA YESU HAKUWA NA KOSA; SOMA MT 27:19) NA WENGI WALIMCHUKULIA YESU KISIASA SIASA KAMA UNAVYOJARIBU KU-ARGUE HAPA ILA YEYE MWENYEWE HAKUWA NA POLITICAL INTERESTS ZOZOTE WALA UFALME ALIOKUWA ANAONGELEA SIYO UFALME HUU UNAOGOMBEWA NA WATU HAPA DUNIANI KWA WIZI WA KURA, KUCHAGULIWA NA KUNG'ANG'ANIA MADARAKANI. YESU KRISTO ALIMAANISHA UFALME WA MBINGUNI NA NDIYO MAANA HATA ALIPOKUWA ANATAJA MAJESHI YAKE YA KUWEZA KUMWOKOA MIKONONI MWA WATAWALA WA KIRUMI (PILATO) HAKUMAANISHA MAJESHI YA DAMU, MIKUKI NA MAPANGA; HE MEANT OF HEAVENLY ANGELS (YOHANA 18:36-Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu (WANAFUNZI WAKE) wangenipigia, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. LAKINI UFALME WANGU SIYO WA HAPA)halafu mkuu kitu kingine tafakari,
yesu alikuja kuwakomboa wayahudi,
nikitoka katika imani alikuja kuwakomboa dhidi ya utawala wa rumi,ndo maana akaitwa masiha,na ndo aliitisha maamdamano kuingia jerusaleam akijiita mfalme wa wayahudi,kitu ambacho ilihesabika kuwa ni uhaini akakamatwa na kusulubiwa.
Wanavyodai alisulubiwa na mtu mmoja alieitwa Bar abba.
Lakini ukiangaliwa kihistory huyo mtu actualy aliitwa Jesus barabba.
Maana ya Bar abba kwa kiaramac,kabila aliyoongea yesu ni "THE SON OF FATHER"
Sasa yesu wa nazareth alikuwa akisema katumwa na BABA WA MBINGUNI kuleta ukombozi,ama wokovu kwa wayahudi,
yesu alipendelea kukaa galilaya ambako harakati za kuupinga utawala wa rumi zilikuwa juu sana,
je yawezekana huyo barabba akawa ndo yesu?maana kila maelezo yanaonyesha baraba anaweza kuwa ndo huyo yesu,na hakusulubiwa,aliachiwa.
Kwa mjibu wa marco 15: sikumbuki fungu,BARABBA alikuwa mwanaharakati dhidi ya utawala wa warumi katika nchi ya yuda,
je huyu barabba ndo anaweza kuwa yesu na kwamba katumiwa kuspin maandiko?
Sawa tu, wewe amini hivyo lakini ipo siku inakuja utamuona huyo "YESU KRISTO" akishuka kutoka Mbinguni akiwa amezungukwa na Malaika ndio hapo utakaposema "kumbe ni kweli!". Sasa hivi fanya dhihaka zako lakini hiyo siku utalia na kusaga meno.Yesu hakuteswa, alioa na kuzaa, mke wake alifahamika kama Maria Magdalena, hakuwahi kusema popote kuwa ni Mwana wa Mungu, alikuwa mweusi tii...
..kama ambavyo Mungai(r.I.p) alitaka kuifanya elimu ndivyo walivyogeuza na kupindisha biblia ila wenye kufuatilia tunazo biblia orijino, zenye injili ya Maria Magdalena, injili ya Yuda Eskalioti(yule waliyetudanganya kuwa alimuuza Yesu kwa euro sijui vipande vya mini)
Inaelekea somo la ufahamu (comprehension) lilikutesa sana shuleni. Pole sana.Yesu hakusulubiwa, hajafariki, na wala hakuzikwa.
Galatians 3:1-321st Century King James Version (KJ21)
3 O foolish Galatians! Who hath bewitched you, that you should not obey the truth, before whose eyes Jesus Christ hath been clearly set forth, crucified among you?
2 This only would I learn of you: Did ye receive the Spirit by the works of the law, or by the hearing of faith?
3 Are ye so foolish? Having begun in the Spirit, are ye now made perfect by the flesh?
Bilblia inakuambia Yesu hakusulubiwa. Kwanini uamini Yesu kasulubiwa wakati Bilblia inakeambia hakusulubiwa???
Kwani waandishi wa Biblia uliyokuwa nayo ni nani???Bibilia ilikuwepo ata kabla ya yesu kuzaliwa , ambalo sisi wa kristo tunaiita agano la kale na baada ya kuja yesu wakaandika waandishi wengine wanaojulikana,juu ya maisha ya yesu na na ujumbe aliokua anautoa juu ya mungu anataka nini , bibilia iyo ikaitwa agano jipya. Na atakama kweli ichokitabu kimepatikanika mwandishi wake alikua nani na je alikua anamsimamo gani kwa kipindi icho , maana vitabu vya kupinga yesu vilikuwepo miaka na miaka na vina upri mkubwa kuliko ata icho , napia kumbuka bibilia nimkusanyiko wa vitabu 72 maana yake ni jambo lilishuudiwa na watu wengi, ndiyo maana nakuuliza icho wanacho kiita bibilia kiliandikwa na akina nani maana ichi cha sasa tunawafahamu waandishi wake
Unamjua Anti-Christ na ishara zake za kuja ulimwenguni??Anti-Christ at work
Interesting. It says Jesus was never Crucified!