1500 years Old Bible found in Turkey

1500 years Old Bible found in Turkey

TE="BigBros, post: 18721887, member: 207602"]Wenzenu waislamu wanaelewa wanachokisoma. Sisi sio wenzenu. Sisi tuna amrishwa kusoma na kuielewa dini yetu. Sio tu kufata kichwa kichwa.[/QUOTE]
Jipe moyo
 
Ni kweli hizo sifa za Mungu, na anafanya atakacho lakini hamuadhibu Mjumbe wake bali anampatia Mitihani. Tofautisha baina ya Mitihani na Adhabu. Mitihani ni changamoto katika Mjumbe wake kufikia malengo aliyoagizwa. Kwa mujibu wako Yesu ameadhibishwa tena na maadui zake na amedhalilishwa. ??

Nimekupa mifano ya watu waliopitia mateso ambayo unayaita wewe mitihani. Nini sifa ya mtihani na adhabu. Nini kusudi la mtihani na adhabu? Kwanini unasema kwa mjibu wangu Yesu ameadhibiwa? Nimesema popote? wala hakuna fungu lolote katika Biblia linalosema Yesu ameadhibiwa. Unaweza kuonyesha kama lipo.

Unaonekana unadonoa donoa ama umekaririshwa.
 
ROHO MTAKATIFU haja jina? Au jina lake ni ROHO MTAKATIFU? Alishawahi kuonekana kwa watu kimaumbile? Nipe reference from the Bible. Interesting!
ROHO MTAKATIFU ni ROHO na sio nyama ya mwili yaani ipo kwenye Ulimwengu wa kiroho
 
Sio kila swali unitupie. Mimi nataka uelimike na ufahamu kuwa nipo hapa kukufungua macho. Kama hujui kwanini Yesu atakuja siku ya mwisho niambie ili nikueleze. Usione aibu na wala dont feel defeated to accept the truth.
Hahahahahahaha wewe utanipa habari za Issa wenu wa Quran ambae hata simtambui
 
Interesting. Vizuri kujua historia iliyokua haijabadilishwa na binaadamu kwa makusudi.
 
kwani mkuu unapanikia nini hadi ulete madharau?,
hebu twambie kwanza mna roho watakatifu wa aina ngapi,maana roho mtakatifu alikuwa akishuka mara kwa mara kwa mjibu wa bible,hata siku yesu wanambatiza alishuka etc,

sasa huyu ROho wa kweli asingeweza kuja wakati yesu yupo,yesu mwenyewe alisema "yanipasa niondoke maana nisipoondoka huyo roho wa kweli hawezi kuja"

so tunapata kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu roho wa kweli ni yupi?,

pili,huyo roho ATAWAFUNDISHA NA KUWAMBIA YOTE,ambayo yesu hakuwambia,

sasa hebu tuonyeshe huyo roho mtakatifu aliyeshuka kwa wanafunzi wa yesu siku ya pentacoste aliwafundisha yote yapi na kuwaeleza yote yapi hayo?,
ina maana hapa alikuwa anaongelewa mtu na si viginevyo
ningepaniki nisingetoa mistari inayofafanua kwa kina hoja ya jamaa. so far i won't panic kwa kuwa Mungu ninayemwamini hujipigania mwenyewe.
ROHO Mtakatifu mpaka kabla Yesu Kristo hajaondoka duniani alikuwa juu yake peke yake(alikuwa ameshuka juu ya Yesu Kristo tu) ndiyo maana wanafunzi wake wakati huo hawakuwa na nguvu ya kutosha (NGUVU YA KIROHO) kufanya kazi kubwa ya injili kama kuponya wagonjwa, kutoa pepo, kufufua wafu n.k ndiyo maana kuna wakati walishindwa kutoa pepo mchafu na wakalalamika kwa YESU KRISTO kwa nini walishindwa kumtoa na YESU KRISTO aliweza mara moja tu. Na wewe nionyeshe huyo mtu aliyeshuka kama ROHO Mtakatifu??? Kasome Mdo 2:1-
 
Unasoma lakini hupati ujumbe. Kama Mungu amekwambia kuwa atamlinda Yesu na chochote kile iweje ashidwe kumlinda na Crucifiction??? Hiyo ilikuwa ndio CONCEPT ya wewe kuipokea na utafakari. Nyinyi munasoma Biblia lakini hamuelewi.
AISEE!
 
halafu mkuu kitu kingine tafakari,

yesu alikuja kuwakomboa wayahudi,
nikitoka katika imani alikuja kuwakomboa dhidi ya utawala wa rumi,ndo maana akaitwa masiha,na ndo aliitisha maamdamano kuingia jerusaleam akijiita mfalme wa wayahudi,kitu ambacho ilihesabika kuwa ni uhaini akakamatwa na kusulubiwa.
Wanavyodai alisulubiwa na mtu mmoja alieitwa Bar abba.
Lakini ukiangaliwa kihistory huyo mtu actualy aliitwa Jesus barabba.

Maana ya Bar abba kwa kiaramac,kabila aliyoongea yesu ni "THE SON OF FATHER"

Sasa yesu wa nazareth alikuwa akisema katumwa na BABA WA MBINGUNI kuleta ukombozi,ama wokovu kwa wayahudi,
yesu alipendelea kukaa galilaya ambako harakati za kuupinga utawala wa rumi zilikuwa juu sana,

je yawezekana huyo barabba akawa ndo yesu?maana kila maelezo yanaonyesha baraba anaweza kuwa ndo huyo yesu,na hakusulubiwa,aliachiwa.

Kwa mjibu wa marco 15: sikumbuki fungu,BARABBA alikuwa mwanaharakati dhidi ya utawala wa warumi katika nchi ya yuda,
je huyu barabba ndo anaweza kuwa yesu na kwamba katumiwa kuspin maandiko?
 
kumekuwa na kawaida kwa ulimwengu wa Kiislamu kufanya kila juhudi kuonyesha kwamba Biblia imepotoshwa, ingawaje jambo hilo si kweli hata kidogo. Ukiachilia mbali makosa ya kibinadamu ya hapa na pale ambayo yanaingia kutokana na ukweli kwamba Biblia imetafsiriwa na inaendelea kutafsiriwa mara nyingi sana, hakuna makosa ya makusudi yanayofanywa ili kupotosha au kuficha ukweli.
Na juhudi hizi zote zinafanywa ili kutaka kuonyesha kwamba Quran ni neno la Mungu la kweli ambalo halijapotoshwa hata kidogo. Basi mimi naomba mnisaidie majibu ya maswali haya machache kati ya mengi:
1. Sura 54:19 inasema kuwa mji wa Aad uliharibiwa kwa siku moja na sura 69:6,7 inasema kuwa uliharibiwa kwa 'usiku' sita na siku nane (seven nights and eight days). Hapo kuna mkanganyiko au la?
2. Sura 19:17 inaonyesha kuwa malaika alimtokea Mariamu lakini sura 3:42 inasema walikuwa malaika wengi.
3. Sura 28:40 inasema kuwa farao alizama na kufia kwenye maji lakini sura 10:92 inasema kuwa farao huyo alipona.
4. Sura 18:86 inasema kuwa jua huzama kwenye chemchemi ya maji yenye tope. Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa kwenye sura hii ni maji gani? Unadhani ni Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?
5. Sura 15:19 inasema kuwa dunia ni bapa kama meza (flat). Kama Mungu ndiye aliumba dunia na ndiye alileta Quran, anaweza kusema jambo kama hili?
6. Sura 86:6,7 inasema kuwa manii ya mwanamume hutokea kati ya uti wa mgongo na mbavu. Hii ni sayansi ya wapi? Ni kutoka kwa Mungu aliyeumba wa mbingu na nchi na uti wa mgongo na mbavu kweli? Kama haitoki kwa Mungu basi hata kitabu chenyewe nacho hakitoki kwa Mungu, au siyo?
7. Sura 19:27,28 inasema kuwa Mariamu alikuwa ni dada wa Haruni. Lakini tangu Haruni aishi ilipita miaka 1300 ndipo alipozaliwa Mariamu. Ni Mungu gani basi anayeweza kusema maneno kama haya?
8. Sura 28:8 inasema kuwa farao na Hamani waliishi wakati mmoja na mahali pamoja. Lakini historia iko wazi kwamba kuna tofauti ya miaka takribani 1000 kati ya watu hawa. Vilevile, farao aliishi Misri wakati Hamani aliishi Uajemi kwenye ngome iliyoitwa Shushani.
MAONI YANGU
Biblia na Quran zote zina makosa fulanifulani ya kibinadamu yalioyoingia humo wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivyo. Kwa upande wa Biblia (sijui sana upande wa Quran), huwa nakutana na makosa kadhaa, kwa mfano kukosewa kuandikwa kwa neno, kutafsiriwa vibaya kwa neno, kukosewa kwa takwimu, n.k. Mimi nadhani kuwapo kwa makosa ya aina hii si ishara kwamba kitabu hiki hakitoki kwa Mungu. Ingekuwa ni kweli kwamba makosa haya yaliingizwa ili kuficha au kupindisha ukweli fulani, basi huko ndiko kungekuwa ni kupotosha maandiko.
Kwa upande wangu kipimo kikuu cha kutambua iwapo neno fulani ni la Mungu au la, ni MAFUNDISHO ya Mungu anayehusika. Kwa mfano, hapo juu nimetoa mfano wa Sura 54:19 inayosema kuwa mji wa Aad uliharibiwa kwa siku moja ilhali sura 69:6,7 inasema kuwa uliharibiwa kwa 'usiku' sita na siku nane (seven nights and eight days).
Mimi sioni kama hiki ni kigezo cha kusema kuwa Quran si kitabu cha Mungu wa kweli. Au aya moja kusema farao alizama maji na nyingine ikasema hakuzama. Aina hii ya ukinzani kwangu si kigezo cha kubatilisha kitabu.
Lakini tunapoenda kwenye mafundisho yanayohusu mwenendo wa kuishi na wanadamu wenzako, vigezo vya utakatifu, wajibu wa muumini kwa Mungu, wanadamu wenzake na jamii kwa ujumla, n.k., hapo ndipo ninaona kuna uwezekano wa kutenganisha kati ya ujumbe wa Mungu wa kweli na usio wa Mungu wa kweli.
Kama Mungu mmoja anasema wachukie wanadamu wasio na imani kama yako, waue; halafu kuna Mungu mwingine anasema wapende, wasamehe, waombee, wavumilie, n.k., bila shaka hapa ndipo penye uwanja sahihi wa kutenganisha pande hizi mbili.
Mungu wa Ibrahimu na Isaka na Yakobo akubariki ndugu msomaji.

Kwanza nimefuraji ulipotaja Quran. Nitaanza kuchambua na kukujibu maswali yako uliyouliza katika Quran(Mimi nitazi Quote hizo verses kusudi watu waweze kuelimika):

Swali 1:
Sura 54.19
Tafsiri in English;
"Indeed, We sent upon them a screaming wind on a day of continuous misfortune"

Haijasema siku moja kama ulivyosema wewe. Imesemema ON A DAY OF CONTINOUS MISFORTUNE. Manake zilikuwa siku nyingu lakini haijakuwa specified siku ngapi katika hii verse. Mungu akatupa details ya muda katika Sura 69: 6 - 7 kama ilivyo hapo chini;

( 6 ) And as for 'Aad, they were destroyed by a screaming, violent wind
( 7 ) Which Allah imposed upon them for seven nights and eight days in succession, so you would see the people therein fallen as if they were hollow trunks of palm trees.

Kama unayoona. Hakuna contradiction. Its continous flow of information. Maneno ya Mungu haya gongani.

Swali 2:
Sura 59:18
( 17 ) And she took, in seclusion from them, a screen. Then We sent to her Our Angel, and he represented himself to her as a well-proportioned man.

Hapa anazungumziwa Mary wakati alikuwa bado msichana Bikra na malaika alipo mjia kabla ya kushika ujauzito na hapo ndipo Mary aliposhtuka na Malaika akamwambia kuwa usiwe na woga mimi ni mjumbe nimetumwa na Mungu kukupa taarifa ya uja uzito.

Sura 3:42
( 42 ) And @ when the angels said, "O Mary, indeed Allah has chosen you and purified you and chosen you above the women of the worlds.

Hii verse inamzungumzia Mary wakati tayari ni mwanamke na Yesu ameshazaliwa. Hao malaika wanamwambia Mary kuwa yeye ni mbora kushinda wanawake wengine Duniani.

Hizo verses zote mbili zinamzungumzia Mary in different Occasions and not same Occasion. Maneno ya Mungu hayagongani.


Swali 3:
Sura 28:40
( 40 ) So We took him and his soldiers and threw them into the sea. So see how was the end of the wrongdoers.

Hiyo Verse inaonyesha jinsi Farao na maaskari wake walivyo teketea.

Sura 10:92
( 92 ) So today We shall deliver your body so that you may be a sign for those who come after you.’ Indeed many of the people are oblivious to Our signs.

Hii verse inasema kuwa kiwiliwili(Body) Cha Firauni itatunzwa ili waliokuwa wakimuabudu waone kuwa yeye sio Mungu na amekufa na pia awe mfano kwa wengine.

Hizo Verse zote mbili tofauti kabisa na hazipingani. Maneno ya Mungu hayagongani.

Swali 4
Sura 18:86
( 86 ) When he reached the place where the sun sets, he found it setting in a muddy spring, and by it he found a people. We said, ‘O Dhul Qarnayn! You may either punish them, or treat them with kindness.’

Hapo inazungumziwa habari za Dhul-Karnain. Huyu ni mtu aliyepewa nguvu na Mungu kufanya mambo mengi. Hiyi aya inazungumziwa Dhul-Karnain alipofika maeneo ya Black Sea ambapo ni tambarare na ukiwa kwa mbali unaliona jua linapozama linaonekana kama linatua kwenye chemchem. Hapo Mungu ataoa precise location. Hivyo jua kuzama kwenye chemchem ni sawa na wewe unapoona jua linazama baharini jioni. Kwani maanake jua linaingia kwenye maji ya bahari???

Hiyo ni staight forward verse.

Swali 5
Sura 15:19
( 19 ) And We spread out the earth, and cast in it firm mountains, and We grew in it every kind of balanced thing.

Hiyo verse haisemi kuwa Ardhi ya dunia ni flat. Labda hujaelewa nini maana ya Spreading ni kuitandaza. Haikusema FLAT kama ulivyonukuu, kwanini wewe wasema uongo???

Swali 6
Sura 86:
( 6 ) He was created from an effusing fluid
( 7 ) which issues from between the loins
and the breast-bones.

Unaonekana kizungu kinakusumbua. Breast ni kifua. Yaani ni fluid itokayo kati ya Uti wa Mgongo na mifupa ya kifua. Wewe elimu yako ndogo sana kujua haya mambo. Nakupatia maelezo ya kiingereza. Mtafute mtu akutafsirie hapo chini [emoji116][emoji116]

Scientist made a research here concludes:
The latter part of this verse, i.e. "emanating from a place between the (lower) back and the (lower) ribs", has generally been taken to imply the part of the abdomen that lies between these points. This implication, obviously, has led the Muslims to believe that the sperm itself or its basic ingredients are made within the (roughly) marked area. I, being a novice in the related fields, asked a few of my doctor friends about the making of the male sperm and the supply of its ingredients to the ultimate place of its making. In response, among a few other things, I was told that although the male sperm is formed in the testes, yet the blood supply which, obviously, is integral to the making of the sperm comes from between the ribs and the back. I was also told by one of my doctor friends that the cells that form the sperm originate from between the ribs and the back. If this is true, then the words of the Qur'an are scientifically correct, as the words "emanating from a place between the (lower) back and the (lower) ribs", do not necessarily imply "emanating in its final shape" only, but can also cover "initial emanation". (Source: http://www.understanding-islam.com/qq.htm

Another source:

http://www.answering-christianity.com/munir_munshey/semenproduction_rebuttal.htm

Kuna mambo mengi yameandikwa kwenye Quran 1,400 yrs ago ambayo Scientists wanakuja ku prove leo.

Mwenyezi Mungu hayagongani.

Swali 7:
Sura 19:27,28

( 28 ) O sister of Aaron[’s lineage]! Your father was not an evil man, nor was your mother unchaste.’

Hiyo verse inakwambia kuwa Mary ni mama yake Yesu ni dada yake Aaron. Sasa wewe fuatilia usibishe kitoto. Kwani mbona tunasema sisi sote ni watoto wa Adam. Kwa hiyo kusema kuwa Aaron na Mary kuna miaka mingi baina yao haina maana kuwa hawawezi kuwa na udugu. Usiongee kitu usichokijua. Wewe kama unasema Quran inasema uongo leta ushahidi wako kama sisi tunapokupa ushahidi wa Biblia kuwa inasema uongo. Ushahidi upo humo humo ndani ya Bliblia, hatusemi fikra zetu. Wewe hapa unasema fikra zako, Quran imekuwambia Mary na Aaron wanaudugu, kama unabisha leta aya ndani ya Quran inayopingana na hiyo. Hivyo ndivyo unaweza kuikanusha Quran. Huwezi kuikanusha Quran kwa fikra zako, huna elimu hiyo. Cheki hiyo link ujifunze.

Mary, Sister Of Aaron?

( 29 ) There at she pointed to him(Jesus). They said, ‘How can we speak to one who is yet a baby in the cradle?’

( 30 )He(Jesus) said, ‘Indeed I am a servant of Allah! He has given me the Book and made me a prophet.

Hapa Yesu ameongea ingali mtoto mchanga.

Swali 8:
Sura 28:8
( 8 ) The Pharaoh’s kinsmen picked him up that he might be to them an enemy and a cause of grief. Indeed Pharaoh and Hāmān and their hosts were iniquitous.

Nani aliyekwambia Haman na Pharaoh wametofautiana kwa Miaka 1,000. Wewe hata Haman humjui. We jamaa muongo sana. Unalazimisha kasoro.

Who was Haman according to the Qur’an?

The name Haman occurs six times in the Qur'an (28:6, 8, 38; 29:39; 40:24, 36). What does the Qur’an say about the duties and the position of Haman, particularly about his relationship to Pharaoh and his position in the government of Egypt? The apologists for Islam, whose claims are examined in this series (starting here), have focussed only on the statements that connect him to building a tower for Pharaoh, but that does not do justice to the importance the Qur’an ascribes to Haman.

Source:Who was Haman according to the Qur'an?

Mpaka hapo maswali yote nimeyajibu. Na hakuna Contradictions kwenye Quran. Karibia vitu vyote hujavielewa kutokana na elimu uliyonayo ni ndogo kuelewa. Toa kasoro Quran kwa kutumia aya zenyewe za Quran, sio kwa uelewa wako. Huwezi kuelewa kila kitu kwenye Quran. Hata sisi wenyewe hatuelewi kila kitu kwa sababu Quran imeandikwa in a puzzle form na kwa taaluma ya juu sana.
 
Jesus and Barabbas
Pilate gave the Jews a choice between Jesus and Barabbas. But did you know that Barabbas' first name was also Jesus? This detail isn't mentioned in the King James version, but is in the New Revised Standard Version. While it's an interesting coincidence that Barabbas's first name was Jesus, wait till you hear the rest. First, here's the entire story, as written in the New Revised Standard Version.
Matthew 27:11-26(New Revised Standard)Now Jesus stood before the governor; and the governor asked him,Are you the King of the Jews?Jesus said,You say so.But when he was accused by the chief priests and elders, he did not answer. Then Pilate said to him,Do you not hear how many accusations they make against you?But he gave him no answer, not even to a single charge, so that the governor was greatly amazed. Now at the festival the governor was accustomed to release a prisoner for the crowd, anyone whom they wanted. At that time they had a notorious prisoner, called Jesus Barabbas. So after they had gathered, Pilate said to them,Whom do you want me to release for you, Jesus Barabbas or Jesus who is called the Messiah?For he realized that it was out of jealousy that they had handed him over. While he was sitting on the judgment seat, his wife sent word to him,Have nothing to do with that innocent man, for today I have suffered a great deal because of a dream about him.Now the chief priests and the elders persuaded the crowds to ask for Barabbas and to have Jesus killed. The governor again said to them,Which of the two do you want me to release for you?And they said,Barabbas.Pilate said to them,Then what should I do with Jesus who is called the Messiah?All of them said,Let him be crucified!Then he asked,Why, what evil has he done?But they shouted all the more,Let him be crucified!So when Pilate saw that he could do nothing, but rather that a riot was beginning, he took some water and washed his hands before the crowd, saying,I am innocent of this man's blood; see to it yourselves.Then the people as a whole answered,His blood be on us and on our children!So he released Barabbas for them; and after flogging Jesus, he handed him over to be crucified.
Not only was Barabbas's first name Jesus, but his last name, Barabbas, meansson (bar) of the father (abba). Jesus had always referred to himself as the Son of the Father (and his adversaries had always refused to acknowledge that he was). So now we had two men named Jesus, each a "son of the father", but opposite fathers, it would seem. Jesus was an innocent man about to murdered, and Barabbas was a murderer about to be set free.
 
ROHO MTAKATIFU haja jina? Au jina lake ni ROHO MTAKATIFU? Alishawahi kuonekana kwa watu kimaumbile? Nipe reference from the Bible. Interesting!
Kuna kitu kidogo hukielewi na Huwezi kukielewa,,,,kwamba mindset yako inauwezo wa kuelewa quran tu,,,,na kamwe Huwezi kuielewa biblia.Kwa sababu biblia inahitaji mindset ambayo haiko twisted.Yaani ilio tofauti na hio ya kwako.Wakristo wanaoelewa biblia wana mindset yao ilio tafauti na ya waislamu.Take your time to find out.
 
Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.

Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Duh!!! Agano la kale ni sehemu ya Biblia na ni maandiko ya kabla ya kuja Kristo (BC). Je, unatuambiaje katika hili?

Nauona mkanganyiko katika hili jambo.
 
halafu mkuu kitu kingine tafakari,

yesu alikuja kuwakomboa wayahudi,
nikitoka katika imani alikuja kuwakomboa dhidi ya utawala wa rumi,ndo maana akaitwa masiha,na ndo aliitisha maamdamano kuingia jerusaleam akijiita mfalme wa wayahudi,kitu ambacho ilihesabika kuwa ni uhaini akakamatwa na kusulubiwa.
Wanavyodai alisulubiwa na mtu mmoja alieitwa Bar abba.
Lakini ukiangaliwa kihistory huyo mtu actualy aliitwa Jesus barabba.

Maana ya Bar abba kwa kiaramac,kabila aliyoongea yesu ni "THE SON OF FATHER"

Sasa yesu wa nazareth alikuwa akisema katumwa na BABA WA MBINGUNI kuleta ukombozi,ama wokovu kwa wayahudi,
yesu alipendelea kukaa galilaya ambako harakati za kuupinga utawala wa rumi zilikuwa juu sana,

je yawezekana huyo barabba akawa ndo yesu?maana kila maelezo yanaonyesha baraba anaweza kuwa ndo huyo yesu,na hakusulubiwa,aliachiwa.

Kwa mjibu wa marco 15: sikumbuki fungu,BARABBA alikuwa mwanaharakati dhidi ya utawala wa warumi katika nchi ya yuda,
je huyu barabba ndo anaweza kuwa yesu na kwamba katumiwa kuspin maandiko?
BIBLI INAJITOSHELEZA KWA KILA SWALI; ILA KWA KUWA UMESEMA; "WANAVYODAI" (IKIIMANISHA KUWA HUNA HAKIKA NA JAMBO UNALOLIPINGA/KULITETEA. NIKUBALIANE NA WEWE KWA JAMBO MOJA TU KWAMBA KUSULUBIWA NA KUTESWA KWA YESU KRISTO KULICHANGIWA SANA NA WATAWALA WA KISIASA (KWA KUHOFU KWAO KWAMBA YESU ANGEJENGA UFALME WA KISIASA NA KUTWAA MILKI YA RUMI JUU YA WAYAHUDI LAKINI MASHTAKA HAYA YALIKUWA YA KUTUNGA NA NDIYO USIKU ULE WA KUKAMATWA YESU MUNGU ALISEMA KWA NDOTO NA MKE WA PILATO KUMWONYA AMWAMBIE PILATO ASIHUKUMU KWA KUWA YESU HAKUWA NA KOSA; SOMA MT 27:19) NA WENGI WALIMCHUKULIA YESU KISIASA SIASA KAMA UNAVYOJARIBU KU-ARGUE HAPA ILA YEYE MWENYEWE HAKUWA NA POLITICAL INTERESTS ZOZOTE WALA UFALME ALIOKUWA ANAONGELEA SIYO UFALME HUU UNAOGOMBEWA NA WATU HAPA DUNIANI KWA WIZI WA KURA, KUCHAGULIWA NA KUNG'ANG'ANIA MADARAKANI. YESU KRISTO ALIMAANISHA UFALME WA MBINGUNI NA NDIYO MAANA HATA ALIPOKUWA ANATAJA MAJESHI YAKE YA KUWEZA KUMWOKOA MIKONONI MWA WATAWALA WA KIRUMI (PILATO) HAKUMAANISHA MAJESHI YA DAMU, MIKUKI NA MAPANGA; HE MEANT OF HEAVENLY ANGELS (YOHANA 18:36-Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu (WANAFUNZI WAKE) wangenipigia, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. LAKINI UFALME WANGU SIYO WA HAPA)

MASHTAKA YA YESU KRISTO: Yalichochewa sana na mambo mawili(kwa mtazamo wangu)
1. CHUKI YA KIDINI(Wayahudi na dini yao ya mapokeo ya sheria).
2. CHUKI YA KISIASA (Maana waliomshtaki waliongopea kuwa yeye 'YESU' wamemsikia akijifanya kuwa sawa na Kaisari)

KUHUSU BARABA: Ni kweli kwamba Baraba ni mhalifu tena alikuwa mhalifu mkubwa tu lakini ukisoma habari ya Baraba na Yesu ni kwamba; ilikuwa kila majira ya Pasaka lazima lazima mfungwa mmoja apewe kuwa huru na Pilato alipendekeza Yesu Kristo afunguliwe (baada ya kuhojiana sana na Yesu Kristo na Pilato kukosa kosa la moja kwa moja lililopasa YESU asulubiwe-LUKA 23:17-18 "MAANA ILIMLAZIMU KUWAFUNGULIA MFUNGWA MMOJA WAKATI WA SIKUKUU...") lakini Wayahudi walikataa na kuomba wapewe huru (wafunguliwe Baraba mhalifu awe huru kuliko Yesu Kristo kuachiwa huru) na hasa ni kwamba Baraba hakusulubiwa bali alipata msamaha wa Pilato kwa ombi la Wayahudi ila wakaapa kuwa damu ya Yesu iwe juu yao na watoto wao(WADAIWE WAO NA MUNGU JUU YA DAMU YA YESU AMBAYO WALIKUWA TAYARI KUIONA INAMWAGIKA NA ANAKUFA MSALABANI) YOHANA MTAKATIFU 18:38-40

KAMA NI MTU WA KUJIFUNZA MWAMBIE SASA ANAYEKUSOMEAGA VIFUNGU VYA BIBLIA KWA KUKUPOTOSHA AKUSOMEE NA MISTARI HIYO JUU. AKING'ANG'ANIA MSTARI MMOJA TU MWAMBIE AKUSOMEE SURA NZIMA INAYOHUSU KESI/MASHTAKA YA YESU, AKISOMA KWA KUPINDISHAPINDISHA NAKUSHAURI KANUNUE BIBLIA YAKO USOME MWENYEWE UONE UONGO ANAOTETEA MTU FULANI NA DINI YAKE.
 
Unapotumia energy kumuelewesha muislamu jua unaipoteza kwa sababu nia yao si kuelewa ila ni kukupa mtazamo wake kwa msaada wa biblia..Wao HUDHANI aya za biblia zimeteremshwa na Allah Subhanna wataalah..Hivyo kuendelea kudhani ziko aya ama mistari inayoongelea dini yao ilioanzishwa mwaka wa 570 AD na mtume wao Muhammad..Huku wakijibidiisha kuelewesha wakristo kwa kila namna.WAO HUWA HAWAELEWI WANAONGEA NINI NA pia kudhania kwamba wako sahihi..ila hawachunguzagi mtazamo wao juu ya biblia kwamba hauna mantiki hata Kidogo.
 
Hakuna mtu anaejibu suala la baraba nae kuitwa yesu?
Nimeweka na aya hapo
 
Yesu hakuteswa, alioa na kuzaa, mke wake alifahamika kama Maria Magdalena, hakuwahi kusema popote kuwa ni Mwana wa Mungu, alikuwa mweusi tii...

..kama ambavyo Mungai(r.I.p) alitaka kuifanya elimu ndivyo walivyogeuza na kupindisha biblia ila wenye kufuatilia tunazo biblia orijino, zenye injili ya Maria Magdalena, injili ya Yuda Eskalioti(yule waliyetudanganya kuwa alimuuza Yesu kwa euro sijui vipande vya mini)
Sawa tu, wewe amini hivyo lakini ipo siku inakuja utamuona huyo "YESU KRISTO" akishuka kutoka Mbinguni akiwa amezungukwa na Malaika ndio hapo utakaposema "kumbe ni kweli!". Sasa hivi fanya dhihaka zako lakini hiyo siku utalia na kusaga meno.
 
Yesu hakusulubiwa, hajafariki, na wala hakuzikwa.

Galatians 3:1-321st Century King James Version (KJ21)

3 O foolish Galatians! Who hath bewitched you, that you should not obey the truth, before whose eyes Jesus Christ hath been clearly set forth, crucified among you?
2 This only would I learn of you: Did ye receive the Spirit by the works of the law, or by the hearing of faith?
3 Are ye so foolish? Having begun in the Spirit, are ye now made perfect by the flesh?

Bilblia inakuambia Yesu hakusulubiwa. Kwanini uamini Yesu kasulubiwa wakati Bilblia inakeambia hakusulubiwa???
Inaelekea somo la ufahamu (comprehension) lilikutesa sana shuleni. Pole sana.
 
Bibilia ilikuwepo ata kabla ya yesu kuzaliwa , ambalo sisi wa kristo tunaiita agano la kale na baada ya kuja yesu wakaandika waandishi wengine wanaojulikana,juu ya maisha ya yesu na na ujumbe aliokua anautoa juu ya mungu anataka nini , bibilia iyo ikaitwa agano jipya. Na atakama kweli ichokitabu kimepatikanika mwandishi wake alikua nani na je alikua anamsimamo gani kwa kipindi icho , maana vitabu vya kupinga yesu vilikuwepo miaka na miaka na vina upri mkubwa kuliko ata icho , napia kumbuka bibilia nimkusanyiko wa vitabu 72 maana yake ni jambo lilishuudiwa na watu wengi, ndiyo maana nakuuliza icho wanacho kiita bibilia kiliandikwa na akina nani maana ichi cha sasa tunawafahamu waandishi wake
Kwani waandishi wa Biblia uliyokuwa nayo ni nani???
 
Interesting. It says Jesus was never Crucified!


Hii sio Biblia hata kidogo, hichi kitabu inawezekana kabisa kiliandikwa na mtu ambaye alikuwa anamchukia YESU KRISTO. Wote tunaoamini, tunafahamu wazi kuwa BWANA YESU alipingwa sana wakati ule na Waandishi na Mafarisayo na hata watu wa taifa lake hawakumkubali. Hivyo sio ajabu aliyeandika inawezekana alikuwa ni mmoja wa watu waliokuwa wanampinga KRISTO. Wakristo wala msishangae, wala msiyumbishwe na mambo kama hayo. Kumbukeni hizi ni siku za mwisho, hivyo mpinga Kristo atakuja na hadithi nyingi sana na vitabu vingi sana vingine atasema viliandikwa hata kabla YESU hajazaliwa ili mradi tu awapoteze na muikane imani yenu. Hizi ni siku za mwisho hivyo wale mnaoamini mnatakiwa kuwa imara kweli kweli.
Kitu kingine muhimu ni kuwa mnatakiwa kumjua mpinga Kristo ni nani. Wanasema ukimjua adui yako, ni nusu ya kushinda vita. Binafsi bila ya kumung'unya maneno nasema wazi kabisa "mpinga Kristo ni uislam". Shetani yuko nyuma ya dini ya "Uislam" na anaifadhili kwa kila kitu. Kumbukeni maneno ya YESU KRISTO alisema hivi; "Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, wala ninyi hamnipokei, mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, mtampokea huyo". Soma YOHANA MTAKATIFU 5:43. Hapa utaona kuwa YESU alikuwa anamzungumzia Muhammad na alikuwa anajaribu kuwaonyesha tofauti ya Yeye KRISTO kuwa amekuja kwa jina la MUNGU na huyo ambaye atakuja kuwadanganya na atakuja kwa jina lake tu yeye mwenyewe. Fahamuni pia kwamba, Muhammad alizaliwa takribani miaka 570 baada ya KRISTO, na hicho kitabu hapo juu kimeandikwa takriban miaka 500 baada ya YESU. Uislam haumkubali YESU KRISTO kuwa ni mwana wa MUNGU, tena unapinga kwa nguvu zake zote.
Kwa waliobahatika kuyasoma mafundisho ya dini ya Kiislamu(Quran) wanasema yamejaa mafundisho ya kishetani na hadithi za majini(Mapepo), kumbukeni kile kitabu cha mwandishi maarufu "Salman Rushdie" kilichoitwa "Satanic Verses"(Aya za kishetani). "Salman Rushdie" ameeleza kwa kirefu sana kilichoandikwa ndani ya Quran na ameelezea pia maisha halisi ya Muhammad. Kama unataka kukisoma kitabu hicho kipo kwenye mtandao na kinapatikana.
By the way, sijaandika haya ili Wakristo wawachukie Waislamu, la hasha. Sisi Wakristo tumefundishwa "upendo" tena upendo wa dhati. BWANA wetu YESU KRISTO alitufundisha kuwapenda adui zetu, tena akasema "tuwaombee adui zetu katika sala zetu"; zaidi ya hayo BWANA YESU, alitufundisha akisema; kamwe tusishindane na mtu mwovu, na akasema akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na la kulia pia, na akunyang'anyae kanzu yako, mwachie na joho pia achukue, na pia akulazimishae kwenda nae maili mbili, wewe nenda nae nne! Hivyo basi kwa kutambua hayo mafundisho ya BWANA YESU, lengo langu la kuwaandikia haya ni kutaka tu mjue "ukweli" na msiyumbishwe na wale wanaompinga "BWANA YESU".
Waacheni wapinge, watukane, waue, wafanye wanavyotaka lakini wajue kuwa siku inakuja BWANA YESU, atakuja kutoka "Mbinguni" na ataleta hukumu ya kweli na ya haki kwa watu wote.
Nawatakieni wote amani na upendo katika jina takatifu la YESU KRISTO, Bwana na Mwokozi wetu.
NB
Kuweni imara sana na jasiri "Rohoni", bali katika mwili kuweni dhaifu kama watoto "wachanga".
 
Back
Top Bottom