19 records studio live on muosha rungu TV show

19 records studio live on muosha rungu TV show

Nini mjasiriamali Wa Tanzania ananitaji ili kutoka

DJ sepetu
ili mjasiriamali atoke kimaisha kwa nchi ya Tanzania, anahitaji kuwa na mambo kadhaa...

* awe mbunifu katika bidhaa yake.

* awe anajua soko la bidhaa yake inapouzwa na kununua.

* awe na matumizi mazuri ya kifedha.

* anahitaji support kutoka kwenye sekta binafsi au serikali.

* awe na umakini wa kujua biashara yake kwa undani.

* asifanye kazi kwa mazoea bali kujituma na kuipenda siku zote.

* asikate tamaa
 
ili mjasiriamali atoke kimaisha kwa nchi ya Tanzania, anahitaji kuwa na mambo kadhaa...

* awe mbunifu katika bidhaa yake.

* awe anajua soko la bidhaa yake inapouzwa na kununua.

* awe na matumizi mazuri ya kifedha.

* anahitaji support kutoka kwenye sekta binafsi au serikali.

* awe na umakini wa kujua biashara yake kwa undani.

* asifanye kazi kwa mazoea bali kujituma na kuipenda siku zote.

* asikate tamaa
Nn vijana Wa Tanzania wanakosa watu wana degree wako mtaani tu

DJ sepetu
 
Nn vijana Wa Tanzania wanakosa watu wana degree wako mtaani tu

DJ sepetu
Watu wengi hufikiri mtaji wa biashara ndiyo tatizo lakini si kweli.

Kijana wa kitanzania hajapewa uzoefu wa kufanya jambo / kazi husika, mazingira yake aliyokulia si mazuri na pia kupata support ni ngumu sana, lakini vijana wa tanzania si wote wanaweza kusaidiwa wengine ni hasara tu,

Maadili , mazingira, mafunzo , ni kitu ambacho kijana wa kileo wa kitanzania amekosa.

Lazima wajifunze jambo fulani kwa maisha yao ya baadaye.
 
Watu wengi hufikiri mtaji wa biashara ndiyo tatizo lakini si kweli.

Kijana wa kitanzania hajapewa uzoefu wa kufanya jambo / kazi husika, mazingira yake aliyokulia si mazuri na pia kupata support ni ngumu sana, lakini vijana wa tanzania si wote wanaweza kusaidiwa wengine ni hasara tu,

Maadili , mazingira, mafunzo , ni kitu ambacho kijana wa kileo wa kitanzania amekosa.

Lazima wajifunze jambo fulani kwa maisha yao ya baadaye.
Ungekuwa rais Wa Tanzania ungefanya nn cha kukumbukwa

DJ sepetu
 
Mshauri mjane mwenye laki tatu asiye Na kitu kingine chochote!

DJ sepetu
Mjane mwenye fedha taslimu laki 3 na fedha halali ya kitanzania, anaweza kuifanyia kitu kikubwa lakini lazima aanza kidogo kidogo na kwa umakini wa hali ya juu,

* anaweza akaanza kufanya biashara kupitia mtandaoni ya ubadilishaji wa fedha za kigeni kwa kuuza na kununua ambayo inafahamika kwa jina la FOREX TRADE,

* anaweza kuanza na mtaji wa kumiliki kuku wa mayai au kuku wa nyama na hatimaye akafanikiwa.

* anaweza kulima kilimo cha pili pili au bamia ambacho kitamtoa endapo atavuna vizuri.

* anaweza kuuza bidhaa za reja reja kwa kiasi kidogo kwa huo mtaji wa laki 3.

* anaweza kununua cherehani na kuanza kushona na hatimaye afanikiwa zaidi mbeleni endapo akiwa juhudi katika kazi yake.
 
Mjane mwenye fedha taslimu laki 3 na fedha halali ya kitanzania, anaweza kuifanyia kitu kikubwa lakini lazima aanza kidogo kidogo na kwa umakini wa hali ya juu,

* anaweza akaanza kufanya biashara kupitia mtandaoni ya ubadilishaji wa fedha za kigeni kwa kuuza na kununua ambayo inafahamika kwa jina la FOREX TRADE,

* anaweza kuanza na mtaji wa kumiliki kuku wa mayai au kuku wa nyama na hatimaye akafanikiwa.

* anaweza kulima kilimo cha pili pili au bamia ambacho kitamtoa endapo atavuna vizuri.

* anaweza kuuza bidhaa za reja reja kwa kiasi kidogo kwa huo mtaji wa laki 3.

* anaweza kununua cherehani na kuanza kushona na hatimaye afanikiwa zaidi mbeleni endapo akiwa juhudi katika kazi yake.
Tabia ipi ya binadamu unaichukia sana!

DJ sepetu
 
Back
Top Bottom