2/10/2023: siku 90 zimebaki, mwaka 2023 kumalizika. Nini umeshindwa kukitimiza na ulikipanga ?

2/10/2023: siku 90 zimebaki, mwaka 2023 kumalizika. Nini umeshindwa kukitimiza na ulikipanga ?

TRABSOH

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
351
Reaction score
559
Habari wakuu.

Katika maisha kuna malengo na matamanio ambayo mwanadamu huyaweka ili kuyatimiza ndani ya kipindi flani lakini maisha yana mambo mengi waswahili husema mipango sio matumizi, unaweza kupanga vingi na ukashindwa kuvitimiza. Wengine hupanga mipango kuhusu mahusiano wengine ujenzii, elimu,ibada, uwekezaji na mengineyo katika maisha.
Binafsi nilipanga kusali kila jumapili ya mwaka huu 2023 lakini nmeshindwa kufika lengo hilo na mengine mengi nmeshindwa!
Zimebaki siku 90 mwaka umalizike mambo gani ulipanga ujatimiza au unafikili hutatimiza tena labda 2024 ?
 
Habari wakuu.

Katika maisha kuna malengo na matamanio ambayo mwanadamu huyaweka ili kuyatimiza ndani ya kipindi flani lakini maisha yana mambo mengi waswahili husema mipango sio matumizi, unaweza kupanga vingi na ukashindwa kuvitimiza. Wengine hupanga mipango kuhusu mahusiano wengine ujenzii, elimu,ibada, uwekezaji na mengineyo katika maisha.
Binafsi nilipanga kusali kila jumapili ya mwaka huu 2023 lakini nmeshindwa kufika lengo hilo na mengine mengi nmeshindwa!
Zimebaki siku 90 mwaka umalizike mambo gani ulipanga ujatimiza au unafikili hutatimiza tena labda 2024 ?
Nashukuru mwaka umekuwa soft mpaka kufika tarehe ya leo 90% ya mipango imekwenda sawa!

Kikubwa hasa cha muhimu ni ile hali unaamka asubuhi dudu imesimama kila kiungo kiko sawa, hakuna ini , figo , wala kisukari na homa za hapa na pale, kiufupi afya njema kabisa.
Unatoka kupuyanga huku na kule unasafiri huku na kule kwa miezi yote 10 ukiwa salama kila siku, ni jambo la kushukuru sana.
 
Nashukuru mwaka umekuwa soft mpaka kufika tarehe ya leo 90% ya mipango imekwenda sawa!

Kikubwa hasa cha muhimu ni ile hali unaamka asubuhi dudu imesimama kila kiungo kiko sawa, hakuna ini , figo , wala kisukari na homa za hapa na pale, kiufupi afya njema kabisa.
Unatoka kupuyanga huku na kule unasafiri huku na kule kwa miezi yote 10 ukiwa salama kila siku, ni jambo la kushukuru sana.
Kwakweli izo ni baraka
 
Unataka kujua mambo ya wenzio ili iweje kama sio umbea.... hebu nenda kasali huko acha excuses za kitoto.
 
Habari wakuu.

Katika maisha kuna malengo na matamanio ambayo mwanadamu huyaweka ili kuyatimiza ndani ya kipindi flani lakini maisha yana mambo mengi waswahili husema mipango sio matumizi, unaweza kupanga vingi na ukashindwa kuvitimiza. Wengine hupanga mipango kuhusu mahusiano wengine ujenzii, elimu,ibada, uwekezaji na mengineyo katika maisha.
Binafsi nilipanga kusali kila jumapili ya mwaka huu 2023 lakini nmeshindwa kufika lengo hilo na mengine mengi nmeshindwa!
Zimebaki siku 90 mwaka umalizike mambo gani ulipanga ujatimiza au unafikili hutatimiza tena labda 2024 ?
Nina Calendar yangu ambayo mwaka wake mmoja ni miaka yenu mitatu.
 
Nilipanga kuow mwaka huu,,naona sijafanikiwa kupata.
Mwakani ishaAllah ntafanikiwa.
Huyu naye tumuweke kundi gani?
IMG-20231002-WA0027.jpg
 
Back
Top Bottom