- Thread starter
- #21
Kuanzia January mpaka mwezi July nimesali zote, kuja August mpaka sasa nmesali moja tuUmesali ngapi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia January mpaka mwezi July nimesali zote, kuja August mpaka sasa nmesali moja tuUmesali ngapi!?
Nyie ndio hatuwataki duniani.Kwa sasa ni too late...😂😂😂
Labda kama upo on process
Continue
Impossible....Nyie ndio hatuwataki duniani.
Dakika ya 90 unaweza kufanya jambo ambao miaka yote ulishindwa. Hahaha
Ishi wakati uliopo huna mkataba na Mungu.Habari wakuu.
Katika maisha kuna malengo na matamanio ambayo mwanadamu huyaweka ili kuyatimiza ndani ya kipindi flani lakini maisha yana mambo mengi waswahili husema mipango sio matumizi, unaweza kupanga vingi na ukashindwa kuvitimiza. Wengine hupanga mipango kuhusu mahusiano wengine ujenzii, elimu,ibada, uwekezaji na mengineyo katika maisha.
Binafsi nilipanga kusali kila jumapili ya mwaka huu 2023 lakini nmeshindwa kufika lengo hilo na mengine mengi nmeshindwa!
Zimebaki siku 90 mwaka umalizike mambo gani ulipanga ujatimiza au unafikili hutatimiza tena labda 2024 ?
Labda ni malengo ya kupiga mshindo kwenye betting ayo ni within a second mambo yanabadilika siku 90 ni nyingi kwa lengo hiloImpossible....
Impossible
Ctrl +c....
Mybe kama ulishaanza na upo kwa process..
Au wee ni motivation speaker mkuu 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🙌
kuna wanawake watatu wake za watu nataka kuwaonga kabla ya mwaka kuisha.Habari wakuu. Katika maisha kuna malengo na matamanio ambayo mwanadamu huyaweka ili kuyatimiza ndani ya kipindi flani lakini maisha yana mambo mengi waswahili husema mipango sio matumizi, unaweza kupanga vingi na ukashindwa kuvitimiza. Wengine hupanga mipango kuhusu mahusiano wengine ujenzii, elimu,ibada, uwekezaji na mengineyo katika maisha. Binafsi nilipanga kusali kila jumapili ya mwaka huu 2023 lakini nmeshindwa kufika lengo hilo na mengine mengi nmeshindwa! Zimebaki siku 90 mwaka umalizike mambo gani ulipanga ujatimiza au unafikili hutatimiza tena labda 2024 ?
Kivipi kaka, tuishi leo bila kujua kesho tutaishijeIshi wakati uliopo huna mkataba na Mungu.
Sawa sawa, ulivo ongelea betting nishajua wewe ni wa namna gani..🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Labda ni malengo ya kupiga mshindo kwemye betting ayo ni within a second mambo yanabadilika siku 90 ni nyingi kwa lengo hilo
Mimi ni motivational Doer. Nataka nipate $50K kwa siku zilizobaki 90 japo mpango ulikuwa tangu january. Kwa mwaka mzima niliishia 189$ nikakata pumzi.💪Mola nisaidie.Impossible....
Impossible
Ctrl +c....
Mybe kama ulishaanza na upo kwa process..
Au wee ni motivation speaker mkuu 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🙌
Ctrl+c......Mimi ni motivational Doer. Nataka nipate $50K kwa siku zilizobaki 90 japo mpango ulikuwa tangu january. Kwa mwaka mzima niliishia 189$ nikakata pumzi.💪Mola nisaidie.
Lazima kieleweke!mpaka anyongwe tuHuyu naye tumuweke kundi gani?View attachment 2769295
🤓🤓🤓🤓🤓 roho mbaya hiyoLazima kieleweke!mpaka anyongwe tu
HahaahaahahahahahahahahaYani yaniii yaniiii, we acha tu.
Hii kaliHuyu naye tumuweke kundi gani?View attachment 2769295
Wala sio mkamaria mimi sema nmepita ukoSawa sawa, ulivo ongelea betting nishajua wewe ni wa namna gani..🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Poole sana bossDah huu mwaka sitokaa niusaau nimetumia robo tatu ya mwaka huu kumuuguza mtu na kuangalia mambo yake kumbe yangu ikiwemo biashara zangu zikiangamia kuja kusanuka ndo inaishilia ishilia nimepata almost hasara ya Zaid ya milioni 6 yaani sitokaa nimuachie mtu biashara no matter what nimejifunza ndo nilichopata mwaka huu
Bado ujasema 😂😂😂Wala sio mkamaria mimi sema nmepita uko
hahahaha amna mahali utaenda tutakaa hapa kutengeneza himaya zetu kaka piga moyo konde