2/10/2023: siku 90 zimebaki, mwaka 2023 kumalizika. Nini umeshindwa kukitimiza na ulikipanga ?

🤣🤣🤣Nadhani umenipata fresh totomtu
Nmewaza mbaali mamtu nmewaza kwa hizi comment mumeo akikucheat unampa adhabu gani ?au ndugu na jamaa wakikudhulumu unachagua kuwafanya nini nmewaza mengiii 😂
 
kupata katiba mpya
 
Nmewaza mbaali mamtu nmewaza kwa hizi comment mumeo akikucheat unampa adhabu gani ?au ndugu na jamaa wakikudhulumu unachagua kuwafanya nini nmewaza mengiii 😂
Umewaza mbali sana....Kuna makosa yanasameheka..ila sio kumtoa mtu roho🥲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…