20 Greatest Tanzanians Of All Time

20 Greatest Tanzanians Of All Time

List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
John Pombe Joseph Magufuli!
 
kweny michezo naona bado hatujafikia kuwa na mtu wa kuimuita huyu ni Greatest of all time sababu kwa level aliyefikia Samata tukiwa serious sana na uwekezaji wa soka la vijana hasa kweny level ya Globally vijana wengi tu iyo level wanaweza kuifikia ni vile tu soka letu ni changa japo samata nampa heshima yake kwa pale alipofika ila sio Greatest of all time in Tanzania
 
Acha upumbavu mkuu,wewe kama unaona imekaa kama unavyosema weka ya kwako,hii ni list yake na respect maoni yake,huu ni mjadala na kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake,upumbavu wako umekufanya hata kuelewa mada imekua tatizo kwako,watanzania waliotoa mchango chanya kwa nchi yetu,hili ni kapu kubwa na wewe unaweza kuweka ya kwako,Nkanini kwangu ni president Mwinyi (MHSRIP),Jella Mtagwa,Hassan Rehani Bitchuka,Mbaraka Mwinshehe,PM Salim A.Salim,Suleman Nyambui,Tido Mhando,mwalim wa kwaya s/m Kange (Tanga)nimemsahau jina lake,Gen.S.Mayunga,Gen.T.Kiwelu (down to earth gentleman),Titi Mohamed,Shakila,Bi.Kidude.
Wewe ni tahira..... huwezi changanya kada lazima uanishe na kugrade watu ...kutoka na kada zao.......sasa matahira ni ngumu kuelewa
 
Hii ndio 20 bora yangu

1. JULIUS NYERERE
2.JOSEPH MAGUFULI
3.JAKAYA KIKWETE
4.SAMIA SULUHU HASSAN
5. ALI HASSAN MWINYI
6.GETRUDE LWAKATARE
7.RUGE MUTAHABA.
8.DIAMOND PLUTNUMZ.
9.MBWANA SAMATTA
10. FREEMAN MBOWE
11.CHARLES KIMEI
12.REGINALD MENGI
13. SAID SALIM BAKHRESSA
14. MOHAMMED DEWJI
15. RUTH ZAIPUNA CEO NMB
16.ERNEST MASSAWE OWNER EY TZ
17.CHIFU MKWAWA
18. KINJEKITILE MAJI MAJI WAR
19. ABED AMANI KARUME
20. BIBI TITI MOHAMMED
 
Wewe ni tahira..... huwezi changanya kada lazima uanishe na kugrade watu ...kutoka na kada zao.......sasa matahira ni ngumu kuelewa
Wewe ndio pumbavu mkubwa,mada inasema watanzania walioleta matokeo chanya kwa Tanzania,hili ni kapu lenye watanzania walioleta mabadiliko Chanya regardless wametokea wapi,hii list ya sasa ya Africa wamo politicians,musicians etc etc,matatizo ya shule za kayumba ambazo hata waanzilishi wake,vitukuu vyao havisomi kule
 
Wewe ndio pumbavu mkubwa,mada inasema watanzania walioleta matokeo chanya kwa Tanzania,hili ni kapu lenye watanzania walioleta mabadiliko Chanya regardless wametokea wapi,hii list ya sasa ya Africa wamo politicians,musicians etc etc,matatizo ya shule za kayumba ambazo hata waanzilishi wake,vitukuu vyao havisomi kule
Yaani shida JAMII FORUM SIKU HIZI WASOMI WACHACHE SANA MAJAMAA KAMA HAYA YA FACEBOOK YAMEKUJA HUKU .. toka lini uliona unachanganya kada unasema ndo wameleta impact ilibidi iwe hivi..
Music .watu wake labda watano
Siasa watu wake
Sayansi watu wake
Ulinzi watu wake
Sheria na katiba.....
SHIDA MNADHANI JAMII FORUM NI FACEBOOK KWA WASHAMBA HUMU KUWA WASOMI SIO NGUMBARU KAMA WEWE NA MWANDISHI
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Yaani kwenye orodha yako mimi nimekosa nafasi?
Ngoja nijitahidi Mkuu ili mara nyingine unijumhishe.
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Mkuu utanisamehe kwa kuingilia maoni yako huyu padri kitima sio wa kumwacha toa no 17 hapo
Screenshot_20240420-150037.png
 
Yaani shida JAMII FORUM SIKU HIZI WASOMI WACHACHE SANA MAJAMAA KAMA HAYA YA FACEBOOK YAMEKUJA HUKU .. toka lini uliona unachanganya kada unasema ndo wameleta impact ilibidi iwe hivi..
Music .watu wake labda watano
Siasa watu wake
Sayansi watu wake
Ulinzi watu wake
Sheria na katiba.....
SHIDA MNADHANI JAMII FORUM NI FACEBOOK KWA WASHAMBA HUMU KUWA WASOMI SIO NGUMBARU KAMA WEWE NA MWANDISHI
Elimu huna au haijakusaidia kitu
Screenshot_20240420-150317.png
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Safi kabisa, ila List bila Magufuli ni Ubatili mtupu.
 
Ikumbukwe tu hakuna aliempita Konde boy kwa kubeba MIZIGO MIZITO, kuhonga, kick na Ushamba + BANGE......, Pengo lake halizibiki.

Lakin List bila JPM na Mondy ni Ubatili pia.
 
Hii ndio 20 bora yangu

1. JULIUS NYERERE
2.JOSEPH MAGUFULI
3.JAKAYA KIKWETE
4.SAMIA SULUHU HASSAN
5. ALI HASSAN MWINYI
6.GETRUDE LWAKATARE
7.RUGE MUTAHABA.
8.DIAMOND PLUTNUMZ.
9.MBWANA SAMATTA
10. FREEMAN MBOWE
11.CHARLES KIMEI
12.REGINALD MENGI
13. SAID SALIM BAKHRESSA
14. MOHAMMED DEWJI
15. RUTH ZAIPUNA CEO NMB
16.ERNEST MASSAWE OWNER EY TZ
17.CHIFU MKWAWA
18. KINJEKITILE MAJI MAJI WAR
19. ABED AMANI KARUME
20. BIBI TITI MOHAMMED
Mimi naona tuwapange kwa hela tu, haiwezekani Samia na Mwinyi nao wawe bora wakati tayar kuna kina Nyerere na JPM hapo kwenye siasa. Samatta huyu asie na impact angali hai ni bora kuliko Lisu?

Alichosema member pale juu kwamba bila kuspecify sector na list yake hii kaz itakua ngumu na ya kiswahili how comes Samatta yuko juu ya Abeid Aman Karume akili gani hii?
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Crap
 
Back
Top Bottom