wakusoma
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 1,084
- 1,061
Sisi wahenga tunaukumbuka vizuri ugomvi wa mwaka 2001 wa Mr.nice na konki..dudu baya walipokuwa na ugomvi mkubwa ikitajwa walikuwa wakimgombe tajiri maarufu..barbou wa mji kasoro bahari..
Nani anaukumbuka ugomvi huu?nini ilikuwa chanzo?mwenye data atiririke.
Nani anaukumbuka ugomvi huu?nini ilikuwa chanzo?mwenye data atiririke.