2002 FIFA WORLD CUP: Taifa kubwa la Tanzania na rafiki yake wa karibu Uganda wakiunganisha nguvu zao wanaweza kuandaa mashindano ya AFCON 2027/2029?

Mkuu, 2031 ni miaka 10 kutoka sasa, je hatuwezi kuboresha hivi vilivyopo kwa sasa ndani ya muda huo ambao mimi ninaona kuwa ni mwingi sana...
Una hoja nzuri sana ya ku host michezo mikubwa kwa kushirikiana na nchi jirani.Kuliko kuboresha viwanja vilivyopo bora kujenga vingine vya kisasa kwenye miji stratejic ili kufanikisha azma hiyo.
 
Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…