Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Una hoja nzuri sana ya ku host michezo mikubwa kwa kushirikiana na nchi jirani.Kuliko kuboresha viwanja vilivyopo bora kujenga vingine vya kisasa kwenye miji stratejic ili kufanikisha azma hiyo.Mkuu, 2031 ni miaka 10 kutoka sasa, je hatuwezi kuboresha hivi vilivyopo kwa sasa ndani ya muda huo ambao mimi ninaona kuwa ni mwingi sana...