Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Heshima yakoForm Two Hai Day Sec School .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima yakoForm Two Hai Day Sec School .
pc ni nini kijana wangu?Shikamoo baba 🤣 nataka pc 3
Sasaiv tugawane basi mipesa iyoDah mwaka huo nilikua home bi mkubwa kila nikimpanga nisepe mjini hataki anaogopa. Ni mwaka niliosimamia miradi ya home kwa hasira kila nikiwaza wenzangu tuliomaliza nao chuo wana uhuru mimi nabanwa home asee ila leo naziona faida za mimi kuzuiwa home kwa mwaka ule.
a ile ya kuchezea game la mpira n magarpc ni nini kijana wangu?
usiandike kama umeishia la tano
Nisinge thubutu ila hapa mpaka mtumzima na mwita wewe mwehuLakini ingekuwa live pengine usingefanya either sababu ya umri, cheo au umaarufu.
Umeona sasa unataka ma last born tukacheze wapi?Kuna watoto wengi sana humu.......mwaka huo tumekusanyika kibanda umiza Advance kuangalia Wema sepetu,Jokate,Sara Kangezi....miss Tz.....nimemiss maisha ya Boys sana
Mgl.........NEVER GIVE UP
Noss numangalia bbc asHahahah ndio natoka chuo cha utalii.
Hapo damu ya moto hatareee niko fiti kinoma yaani barobaro raha zote za dunia nazitaka.sasa hivi nimepoa ni mtu kuchek taarifa ya habari ITV na kuangalia taarifa ya hali ya hewa tu.
Ndio na graduate chuo kikuu mzumbe[emoji3185]2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mbona mdogo wangu unatoa siri ya kambiiiUsitu shike masikio hapa we ni wa 1996 na ubaya zaidi kwenye threads zako nishaona
Anyway sina haja ya kubishana na ww
First born wangu ni WA 2004! Makubwa Tena haya, kweli tumezeeka.2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Khaaaa wewe kumbe mdogo ivyo 😂😂😂Mi nilikuwa na miaka 3
Umenikumbusha mbali sn ndugu.Noss numangalia bbc as
So ymeenda tafuta picha yangu dah umeniweza leo
- Gyygdf
- Vhggh
- Huyjk
😁😁😁😬😬😬 Truth will make you free 2006 ulikuwa na miaka 10 ww sio kuzaliwa acha danganya zakoSasa mbona mdogo wangu unatoa siri ya kambiii
Ndo uache uongo uongo wako 😁😬🚶🚶So ymeenda tafuta picha yangu dah umeniweza leo
Duh kipindi iko ajira zilikuwaje?Ndio na graduate chuo kikuu mzumbe[emoji3185]
We kwetu huwezi kuwa last born......we mtoto wangu...... standard seven wenzangu wanawatoto wakubwa kukuzidi mbali kabisa.....labda we wa nneUmeona sasa unataka ma last born tukacheze wapi?
Shikamoo babaFirst born wangu ni WA 2004! Makubwa Tena haya, kweli tumezeeka.